Rais Samia Hassan awasili Doha, Qatar maonesho ya kilimo expo 2023

Rais Samia Hassan awasili Doha, Qatar maonesho ya kilimo expo 2023

Ameena kutembea kwao Kwani hujui kuwa samia Waarabu ni wajomba zake...

Nanukuu

"mnamo Oktoba 18, 2017, wakati Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman, Dk. Mohammed Hamad Al Rumhy alipotembelea Tanzania, Rais Magufuli alimtaja Makamu wa Rais Samia kuwa na wajomba wanaoishi Oman. Katika video hiyo, Rais Magufuli alisema: "Nilimtuma jana Makamu wa Rais kwenda kuniwakilisha kule. Na bahati nzuri Makamu wa Rais wajomba zake wapo Oman. Kwahiyo alikuwa nyumbani…"

Dokezo hilo la Rais Magufuli halikufunga mjadala wa uhusiano wa Samia na Oman. Mnamo tarehe 20 Machi 2021, tovuti ya gazeti la The National la nchini Oman lilichapisha makala iliyohusu uhusiano wa Rais Samia na nchi hiyo. Makala hiyo yenye kichwa cha habari "Historia ya Pamoja: Wananchi wa Oman Wafurahia Samia Suluhu Hassan Kuwa Rais wa Tanzania" ilieleza kuwa kiongozi huyo ana uhusiano na Oman kupitia babu yake wa upande wa baba, ambaye alizaliwa katika mji wa Al Mudhaibi, nchini humo.....

Mwisho wa nukuu.......
Qatar si Oman....

Hebu uwe na kiasi basi....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Doha 2 October 2023
Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan awasili Doha, Qatar kwa ajili ya International Horticultural Expo 2023 Doha

Picha na habari : Rais Samia Hassan na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje wa Qatar mheshimiwa Lolwah bint Rashid Al Khater

HABARI KAMILI :
Doha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewasili jumatatu 02 October 2023 mjini Doha kuhudhuria ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo cha Mbogamboga na Maua 2023 Doha.

Mheshimiwa rais , pamoja na ujumbe aliofuatana nao, walikaribishwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamad na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje mheshimiwa Lolwah bint Rashid Al Khater

President of Tanzania arrives in Doha​

Doha: President of the United Republic of Tanzania HE Samia Suluhu Hassan arrived on Monday in Doha to attend the opening ceremony of the International Horticultural Expo 2023 Doha.

Her Excellency and the accompanying delegation were welcomed upon arrival at the Hamad International Airport by Minister of State for International Cooperation at the Ministry of Foreign Affairs HE Lolwah bint Rashid Al Khater.

MAONESHO YA KILIMO YAFUNGULIWA DOHA QATAR

Doha Expo: Qatar seeks global cooperation - PM SAYS

View attachment 2770044
Photo: His Highness the Amir Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani patronised Monday the opening ceremony of International Horticultural Expo 2023 Doha, under the theme 'Green Desert, Better Environment', at Al Bidda Park, in the presence of President of the United Arab Emirates Sheikh Mohamed bin Zayed al-Nahyan, President of the Republic of Uzbekistan Shavkat Mirziyoyev, President of Djibouti Ismail Omar Guelleh, President of the United Republic of Tanzania Samia Suluhu Hassan, Prime Minister of the Republic of Iraq Mohammed Shia' al-Sudani, Prime Minister of the Republic of Yemen Dr Maeen Abdulmalik Saeed, andPrime Minister of the Republic of Rwanda Dr Edouard Ngirente.

The highly-anticipated International Horticultural Expo 2023 Doha officially launched on Monday at the all-green Al Bidda Park, redirecting global attention back to mega-event host Qatar.

View: https://m.youtube.com/watch?v=dOhuyMZeUDc

Maonyesho ya kilimo expo? Qatar ni jangwa,chakushangaza Rais wa Tanzania ameenda kwenye maonyesho ya kilimo huko. Huku akiicha Tanzania gizani. Kilimo cha kibiashara tumefeli. Lakini Qatar wameweza Hadi tunakwenda na kwenye maonyesho. Je hii ni akili au matope. ? Kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Si wakuchekea huyu ni wakufurusha kwa aibu kabisa
 
Doha 2 October 2023
Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan awasili Doha, Qatar kwa ajili ya International Horticultural Expo 2023 Doha

Picha na habari : Rais Samia Hassan na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje wa Qatar mheshimiwa Lolwah bint Rashid Al Khater

HABARI KAMILI :
Doha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewasili jumatatu 02 October 2023 mjini Doha kuhudhuria ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo cha Mbogamboga na Maua 2023 Doha.

Mheshimiwa rais , pamoja na ujumbe aliofuatana nao, walikaribishwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamad na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje mheshimiwa Lolwah bint Rashid Al Khater

President of Tanzania arrives in Doha​

Doha: President of the United Republic of Tanzania HE Samia Suluhu Hassan arrived on Monday in Doha to attend the opening ceremony of the International Horticultural Expo 2023 Doha.

Her Excellency and the accompanying delegation were welcomed upon arrival at the Hamad International Airport by Minister of State for International Cooperation at the Ministry of Foreign Affairs HE Lolwah bint Rashid Al Khater.

MAONESHO YA KILIMO YAFUNGULIWA DOHA QATAR

Doha Expo: Qatar seeks global cooperation - PM SAYS

View attachment 2770044
Photo: His Highness the Amir Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani patronised Monday the opening ceremony of International Horticultural Expo 2023 Doha, under the theme 'Green Desert, Better Environment', at Al Bidda Park, in the presence of President of the United Arab Emirates Sheikh Mohamed bin Zayed al-Nahyan, President of the Republic of Uzbekistan Shavkat Mirziyoyev, President of Djibouti Ismail Omar Guelleh, President of the United Republic of Tanzania Samia Suluhu Hassan, Prime Minister of the Republic of Iraq Mohammed Shia' al-Sudani, Prime Minister of the Republic of Yemen Dr Maeen Abdulmalik Saeed, andPrime Minister of the Republic of Rwanda Dr Edouard Ngirente.

The highly-anticipated International Horticultural Expo 2023 Doha officially launched on Monday at the all-green Al Bidda Park, redirecting global attention back to mega-event host Qatar.

View: https://m.youtube.com/watch?v=dOhuyMZeUDc

Hakuna Rais aliyewahi kufanya trip za kutosha huko Uarabuni tena ndani ya muda mfupi. Lakini tatizo ni moja. Badala ya sisi kufaidi mali za Wajomba, Wajomba wanataka kufaidi mali zetu.
 
Labda mirungi, waarabu na kilimo wapi na wapi??
We angalia kama utaona presdaa smart kutoka Afrika atakayehudhuria huo mkutano.
Dr. Janabi: Haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati.
 
Doha 2 October 2023
Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan awasili Doha, Qatar kwa ajili ya International Horticultural Expo 2023 Doha

Picha na habari : Rais Samia Hassan na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje wa Qatar mheshimiwa Lolwah bint Rashid Al Khater

HABARI KAMILI :
Doha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewasili jumatatu 02 October 2023 mjini Doha kuhudhuria ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo cha Mbogamboga na Maua 2023 Doha.

Mheshimiwa rais , pamoja na ujumbe aliofuatana nao, walikaribishwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamad na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje mheshimiwa Lolwah bint Rashid Al Khater

President of Tanzania arrives in Doha​

Doha: President of the United Republic of Tanzania HE Samia Suluhu Hassan arrived on Monday in Doha to attend the opening ceremony of the International Horticultural Expo 2023 Doha.

Her Excellency and the accompanying delegation were welcomed upon arrival at the Hamad International Airport by Minister of State for International Cooperation at the Ministry of Foreign Affairs HE Lolwah bint Rashid Al Khater.

MAONESHO YA KILIMO YAFUNGULIWA DOHA QATAR

Doha Expo: Qatar seeks global cooperation - PM SAYS

View attachment 2770044
Photo: His Highness the Amir Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani patronised Monday the opening ceremony of International Horticultural Expo 2023 Doha, under the theme 'Green Desert, Better Environment', at Al Bidda Park, in the presence of President of the United Arab Emirates Sheikh Mohamed bin Zayed al-Nahyan, President of the Republic of Uzbekistan Shavkat Mirziyoyev, President of Djibouti Ismail Omar Guelleh, President of the United Republic of Tanzania Samia Suluhu Hassan, Prime Minister of the Republic of Iraq Mohammed Shia' al-Sudani, Prime Minister of the Republic of Yemen Dr Maeen Abdulmalik Saeed, andPrime Minister of the Republic of Rwanda Dr Edouard Ngirente.

The highly-anticipated International Horticultural Expo 2023 Doha officially launched on Monday at the all-green Al Bidda Park, redirecting global attention back to mega-event host Qatar.

View: https://m.youtube.com/watch?v=dOhuyMZeUDc

Mwenye taarifa anijuze, tafadhali!

Kati ya Tanzania na Qatar wapi wanafanya vizuri zaidi katika kilimo?
 
Back
Top Bottom