Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Hizo taasisi hawana chanzo chochote cha data zaidi ya serikali husika. So Magufuli alikua mpika data zilizotuweka tusipostahili. We popoma umeelewa?Kwahiyo WB au IMF wanatumia data za uongo?aisee kweli huna akili.yaani taasisi kubwa Kama hizo zitumie data za uongo?