Nakumbuka Baba wa Taifa Mwal. Nyerere, miaka ya 70, Wabunge walitaka kujiongezea mishahara.
Akauliza “Nchi hii masikini, mnaotaka wawape mishahara mikubwa ni wananchi masikini, watatoa wapi hizo hela za kuwapa?”
Wakang’ang’ania. Akasema basi hili sikubaliani nalo. Twende kwa wananchi watuamulie. Akasema, nitavunja Bunge wananchi waamue nani atarudi.
Wakaufyta kwa kujua kuwa wengi wao hawatarudi.
Rais alisema atafanya reforms kubwa, Sasa Rais Samia ana guts /ubavu wa kufanya hilo? Si ataogopa kufanya reforms kwa vile CCM wenzake watakataa kumpitisha kwenye kura za kugombea Urais!
Can she dare to make substantial reforms?
Nadhani nimeeleweka
Akauliza “Nchi hii masikini, mnaotaka wawape mishahara mikubwa ni wananchi masikini, watatoa wapi hizo hela za kuwapa?”
Wakang’ang’ania. Akasema basi hili sikubaliani nalo. Twende kwa wananchi watuamulie. Akasema, nitavunja Bunge wananchi waamue nani atarudi.
Wakaufyta kwa kujua kuwa wengi wao hawatarudi.
Rais alisema atafanya reforms kubwa, Sasa Rais Samia ana guts /ubavu wa kufanya hilo? Si ataogopa kufanya reforms kwa vile CCM wenzake watakataa kumpitisha kwenye kura za kugombea Urais!
Can she dare to make substantial reforms?
Nadhani nimeeleweka