100% upo sahihi… Anachoshindwa kutambua waliomzunguka wameshamjua anautaka urais sana sasa kila mmoja anampa ahadi za kufikirika akiahadi atawapa uteuzi watoto wa mjomba na shangazi hao watamsaidia kupiga kampeni 2025Nakumbuka Baba wa Taifa Mwal Nyerere, miaka ya 70, wabunge walitaka kujiongezea mishahara. Akasema: nchi hii masikini, mnaotaka wawape mishahara mikubwa ni wananchi masikini, watatoa wapi hizo hela za kuwapa...
Ni mwendo wa kufunika kombe mwanaharamu apiteNakumbuka Baba wa Taifa Mwal Nyerere, miaka ya 70, wabunge walitaka kujiongezea mishahara. Akasema: nchi hii masikini, mnaotaka wawape mishahara mikubwa ni wananchi masikini, watatoa wapi hizo hela za kuwapa...
Hakuna mwana CCM yeyote mwenye ubavu wa kumgomea Rais wa Jamuhuri ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM.Nakumbuka Baba wa Taifa Mwal Nyerere, miaka ya 70, wabunge walitaka kujiongezea mishahara. Akasema: nchi hii masikini, mnaotaka wawape mishahara mikubwa ni wananchi masikini, watatoa wapi hizo hela za kuwapa...
Anaeweza maana alisema anaweza hata kama itagharimu Urais wake,so tusubiri tuone.Nakumbuka Baba wa Taifa Mwal Nyerere, miaka ya 70, wabunge walitaka kujiongezea mishahara. Akasema: nchi hii masikini, mnaotaka wawape mishahara mikubwa ni wananchi masikini, watatoa wapi hizo hela za kuwapa...
Mambo ya hovyo unayo yasema ndiyo akili yenyewe ....tanzania tunataka viongozi ma dictator wazalendo ...siyo wahuni wauza ngada wa msoga na sa100 ambao kwao "UZALENDO NI MAVIII"Kapoteza mvuto gani au wewe ndio ulikuwa mpenzi wa mambo ya hovyo ya awamu ile?
Mama anaupiga mwingi
Madikteta wazalendo wanaochinja wenzao? Kama bipi hamia Burundi huko ndio kuna mambo hayo.Mambo ya hovyo unayo yasema ndiyo akili yenyewe ....tanzania tunataka viongozi ma dictator wazalendo ...siyo wahuni wauza ngada wa msoga na sa100 ambao kwao "UZALENDO NI MAVIII"
Na strategies kwa kiasi fulani tunaziona.Anaeweza maana alisema anaweza hata kama itagharimu Urais wake,so tusubiri tuone.
We need a break! Reform? Reform? Kwenye jeshi la polisi tumeona akiteua wauaji na wabambikiaji kesi kuwa viongozi.Nakumbuka Baba wa Taifa Mwal Nyerere, miaka ya 70, wabunge walitaka kujiongezea mishahara. Akasema: nchi hii masikini, mnaotaka wawape mishahara mikubwa ni wananchi masikini, watatoa wapi hizo hela za kuwapa...
Unakumbuka ile dhahabu iliyokamatwa Mwanza? Wale waliokamatwa nayo JPM aliwapeleka wapi maana aliwataja na majina baadhi yao.Nashauri askari wa usalama barabarani wapunguzwe, hah hah na wanapunguzwa ni pale mwanasiasa hata kama ni kanali mstaafu anapoingilia taaluma za wengi kwa msingi wa kisiasa...
Aa thubutu!! Hakika nakwambia 2025 hakutakuwa na mgombea mwingine wa CCM isipokuwa mamaSidhani kama mama ana moyo tena wa kugombea urais 2025 sasa hivi si unaona kaacha kabisa kujipigia debe kuhusu kugombea 2025 .....sasa hivi hata kaacha kusema sema mimi mwanamke sijui wanawake wenzangu sijui tupate rais mwanamke wa kuchaguliwa ......kama hali ya mambo ikiendelea hivi hivi basi samia awezi kujitokeza kuwania urais
MWENYEKITI wa CCM angekuwa na Nguvu JK angemweka MEMBE kuwa RAIS nwaka 2015Unaijua nguvu ya mwenyekiti wa CCM wewe?
Fatuma Mwasa unamuona hafai kwa kuwa hajawahi kuhudumu eneo lenu.Huko Tabora raia wamesikitika kwa kuondoka kwake.Acheni wivu na chuki wakati mama zenu hata uenyekiti tu wa mtaa hawawezi.Never,hawezi kamwe! Anateua akina Fatuma Mwasa???[emoji706][emoji706]
Vipi kama Chegeni yeye mwenyewe ndiye aliyeomba kutoipokea hiyo nafasi,ulitaka Rais amlazimishe tu?.We need a break! Reform? Reform? Kwenye jeshi la polisi tumeona akiteua wauaji na wabambikiaji kesi kuwa viongozi.
Nonsense! Hakuna reform yoyote huyu opportunist anaweza kufanya! She is eyeing 2025 period! Kama huelewi muulize Ndugai!. Kuna RC aliyekuwa ameteuliwa na sisi tukamuona ni SMART Dr Chegeni. Amemtengua! Anahitaji akina Sabaya na aina ya Sabaya walio upande wake! Trust me this is a SHE dracular in veil.
Hakuna mtu aliyezungumzia mama zetu,ni hivi,Fatuma Mwasa:Fatuma Mwasa unamuona hafai kwa kuwa hajawahi kuhudumu eneo lenu.Huko Tabora raia wamesikitika kwa kuondoka kwake.Acheni wivu na chuki wakati mama zenu hata uenyekiti tu wa mtaa hawawezi.
Unaijua nguvu ya mwenyekiti wa CCM wewe?
Hatogombea!!!!!! Maana hapatakuwa na UCHAGUZI 2025.Sidhani kama mama ana moyo tena wa kugombea urais 2025 sasa hivi si unaona kaacha kabisa kujipigia debe kuhusu kugombea 2025 .....sasa hivi hata kaacha kusema sema mimi mwanamke sijui wanawake wenzangu sijui tupate rais mwanamke wa kuchaguliwa ......kama hali ya mambo ikiendelea hivi hivi basi samia awezi kujitokeza kuwania urais
Vipindi viwili ni Kwa Rais aliyechaguliwa na wananchi.Hakuna mwana CCM yeyote mwenye ubavu wa kumgomea Rais wa Jamuhuri ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM.
Itoshe kusema fomu itachapwa moja na Rais anayetetea nafasi ataichukua ili akamilishe vipindi vyake viwili.
Alisema Yuko tayari kukabidhi Kwa Upinzani akishindwa.Anaeweza maana alisema anaweza hata kama itagharimu Urais wake,so tusubiri tuone.
Umenena !! Ndani ya Ccm hata mimi simuoni mwingine yeyote badala yake !Mama has the right kind of ingredients kuwa rais wa nchi (hana uchu wa kifisadi, siyo power monger, etc) lakini hana msuli wa kukabiliana na mafisi wa kitaifa na kimataifa kupambania maslahi ya nchi. Pia sidhani kama ana vision yoyote kuhusu nchi. She is there kama care taker administrator.
Ila nikizoom ndani ya CCM sioni mtu yeyote bora zaidi.
Ukimya wa Mbowe Si wa kupuuzwa, ni KWEMA MBELENI.Mabadiliko aliyopropose hadi sasa ni:
1. Tume huru ya Uchaguzi na mazingira bora ya kidemokrasia nchini..