Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na mamlaka na kuweza kuyatumia mamlaka hayo ni vitu viwili tofautiKasome upya katiba ya nchi yako na ile ya CCM ndo ujue nguvu ya Mama Samia kama rais na mwenyekiti wa chama. Kama Rais anaweza kung'oa kiongozi wa mhimili mwingine wa serikali huyo Mwigulu ni dakika sifuri anapigwa chini. Pia jikumbushe jinsi mwenyekiti wa CCM JK Nyerere alivyomg'oa madarakani Rais wa Zanzibar ndani ya masaa 24. Kijana acha mchezo na Rais wa TZ ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM.
Job, but kesi ya Mwigulu ni very perculiar, hasa issue ya timing, mama hana guts za Kumgusa nakuambiakati ya Mwigulu na Job nani mkubwa
usicheze na mamlaka ya rais
Rais Samia na Mwigulu hawajahitilafiana
Mwigulu kila muda ni kumlamba miguu mama halafu wewe uniambie eti anamuogopa
Kesi ya Mwigulu ni very perculiarPengine nguvu ya Rais wa JMT unafanya nayo mchezo mkuu. Kama anaweza kumuondoa mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama, Mwigulu ni nani?
Duu, unaweza kuwa sawa, ila madam uijue ni TRA na issue ya Kariakoo.Nani alikudanganya kuwa Samia anapenda mawaziri wanaowajibika? Huoni kuwa mawaziri sampuli ya Mwingulu ndiyo anaowapenda?
Hamna, MWIGULU NI DUBWANA KUBWA SANA, KUDEAL NAYE INAHITAJI MBINU.Kasome upya katiba ya nchi yako na ile ya CCM ndo ujue nguvu ya Mama Samia kama rais na mwenyekiti wa chama. Kama Rais anaweza kung'oa kiongozi wa mhimili mwingine wa serikali huyo Mwigulu ni dakika sifuri anapigwa chini. Pia jikumbushe jinsi mwenyekiti wa CCM JK Nyerere alivyomg'oa madarakani Rais wa Zanzibar ndani ya masaa 24. Kijana acha mchezo na Rais wa TZ ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM.
Sure???watu wanajifurahisha sana humu, hoja ni kwamba Michezo ya Madilu iko pale kumfurahisha Mama..
Hiyo ni mbinu ya kumpiga kofo mtoto akilia unampa pipiJuzi Rais kasema Mwenda wa TRA atakuwa anafuatiliwa utendaji wake na Mshauri wa Rais mh Kadata
Unaelewa maana yake? 🐼
Katiba ni jambo moja, kufanya maamuzi ni kitu kingineKasome upya katiba ya nchi yako na ile ya CCM ndo ujue nguvu ya Mama Samia kama rais na mwenyekiti wa chama. Kama Rais anaweza kung'oa kiongozi wa mhimili mwingine wa serikali huyo Mwigulu ni dakika sifuri anapigwa chini. Pia jikumbushe jinsi mwenyekiti wa CCM JK Nyerere alivyomg'oa madarakani Rais wa Zanzibar ndani ya masaa 24. Kijana acha mchezo na Rais wa TZ ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM.
Sizungumzii nguvu ya mamlaka na katiba, la hasha, nazungumzia utashi wa kumng'oa hanakati ya Mwigulu na Job nani mkubwa
usicheze na mamlaka ya rais
Rais Samia na Mwigulu hawajahitilafiana
Mwigulu kila muda ni kumlamba miguu mama halafu wewe uniambie eti anamuogopa
Kwa katiba ya Tanzania hakuna kenge yeyote wa kumvimbia Rais.Hamna, MWIGULU NI DUBWANA KUBWA SANA, KUDEAL NAYE INAHITAJI MBINU.
Kumnyofoa Mwigulu ni sawasawa na KUCHEZEA SHARUBU AU PUMBU ZA SIMBA 🤣😅🤣😅
Jidanganye.Kuwa na mamlaka na kuweza kuyatumia mamlaka hayo ni vitu viwili tofauti
Jidanganye.Katiba ni jambo moja, kufanya maamuzi ni kitu kingine
Wewe ndiyo unajidanganya na kujifariji 🤔😅🤣Jidanganye.