Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Mbona iko wazi hiyo? Shida ya nyie chawa mnatumia jicho jingine lisilo rasmi kuona mambo!Jidanganye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona iko wazi hiyo? Shida ya nyie chawa mnatumia jicho jingine lisilo rasmi kuona mambo!Jidanganye.
Anaweza bhana, km Ndugai kafurushwa, mkuu wa muhimili unaojitegemea, ndo ashindwe huyu anae mteua yeye?Sio Mwigulu Mchemba, ataishia kwa dagaa
Wee nae em acha uongo wako hapa. KhaaahHamna, MWIGULU NI DUBWANA KUBWA SANA, KUDEAL NAYE INAHITAJI MBINU.
Kumnyofoa Mwigulu ni sawasawa na KUCHEZEA SHARUBU AU PUMBU ZA SIMBA [emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28]
acha uchonganishi au unataka upewe wewe cheo hicho?watu mna roho mbaya sanaMoja kwa moja kwenye madam.
Mwigulu Mchemba Waziri Mwenye dhamana ya mambo ya fedha, ni miongoni mwa vigogo ambao Mh Rais anawaogopa.
Mgogororo wa wa kariakoo ulipotokea awali , wafanyabiashara waliongea wazi kuwa tatizo lipo TRA na kwa ujumla wake Wizara ya fedha mintarafu waziri Mwenye dhamana.
Yalitolewa maelekezo na Waziri Mkuu, Mwigulu na TRA wakampuuza PM.
Juzijuzi mgomo wa wafanyabiashara KARIAKOO ulirejea Tena, kwa sababu zilezile na mazingira yaleyale.
Kwa lugha rahisi ni kuwa kumekuwa na Kudharau, Mwigulu alibehua maagizo ya PRINCIPAL assistant yaani Waziri Mkuu kuhusu kumaliza changamoto za wafanya biashara.
Tumeona Rais Samia amemtoa kafara Kamishna Mkuu wa TRA.
katika Mgogororo ule hamna linalomuhusu Kamishna lisilomiuhusu waziri wa Fedha.
Lakini Mama ameogopa kumgusa Mwigulu, na kamwe hawezi kumgusa Mwigulu kwa ajili ya woga wa Uchaguzi Mkuu 2025.
Mh Rais anaaminishwa kuwa Mwigulu, Makamba Jr na Nape Mnauye kuwa wao ndo watu potential ambao hawapaswi kuguswa hata wakiharibu.
Kifupi Mwigulu ni msanii tu, ambaye anajijenga mwenye kwa Urais.
Ni mtu Mwenye Dharau, anadharau PM na hamuogopi yeyote yule.
Kutokana na mazingira haya, na failures nyingi kwa wizara yake,hastahili kuendelea Kwenye hiyo nafasi.
Anaendelea kuwepo kwa sababu Mh Rais ,kati ya watu anawaogopa sana ni Mwigulu Mchemba.
Ningekuwa mimi, Nape , Mwigulu, Makamba Piga Ubalozi huko Masharki ya mbali, ondoa kwenye local politics,watakuharibia hao kulekea uchaguzi mkuu.
Ukicheka na nyani unavuna mabua.
Narudia MAMA HANA UWEZO WA KUMFANYA CHOCHOTE KILE MWIGULU MCHEMBA, NAONGEZA NA NAPE NA MAKAMBA JR
Muwe na Jumapili njema.
Huo ndo UKWELI, uchonganishi ni yeye mwenyewe ansyedharau maagizo na kujiona super staracha uchonganishi au unataka upewe wewe cheo hicho?watu mna roho mbaya sana
Mwigulu ana Waganga kutoka Gabon West Africa kawaweka hapo Dodoma, wale ni Blaaa tupu ndio wanaoumpumbaza MamaMoja kwa moja kwenye madam.
Mwigulu Mchemba Waziri Mwenye dhamana ya mambo ya fedha, ni miongoni mwa vigogo ambao Mh Rais anawaogopa.
Mgogororo wa wa kariakoo ulipotokea awali , wafanyabiashara waliongea wazi kuwa tatizo lipo TRA na kwa ujumla wake Wizara ya fedha mintarafu waziri Mwenye dhamana.
Yalitolewa maelekezo na Waziri Mkuu, Mwigulu na TRA wakampuuza PM.
Juzijuzi mgomo wa wafanyabiashara KARIAKOO ulirejea Tena, kwa sababu zilezile na mazingira yaleyale.
Kwa lugha rahisi ni kuwa kumekuwa na Kudharau, Mwigulu alibehua maagizo ya PRINCIPAL assistant yaani Waziri Mkuu kuhusu kumaliza changamoto za wafanya biashara.
Tumeona Rais Samia amemtoa kafara Kamishna Mkuu wa TRA.
katika Mgogororo ule hamna linalomuhusu Kamishna lisilomiuhusu waziri wa Fedha.
Lakini Mama ameogopa kumgusa Mwigulu, na kamwe hawezi kumgusa Mwigulu kwa ajili ya woga wa Uchaguzi Mkuu 2025.
Mh Rais anaaminishwa kuwa Mwigulu, Makamba Jr na Nape Mnauye kuwa wao ndo watu potential ambao hawapaswi kuguswa hata wakiharibu.
Kifupi Mwigulu ni msanii tu, ambaye anajijenga mwenye kwa Urais.
Ni mtu Mwenye Dharau, anadharau PM na hamuogopi yeyote yule.
Kutokana na mazingira haya, na failures nyingi kwa wizara yake,hastahili kuendelea Kwenye hiyo nafasi.
Anaendelea kuwepo kwa sababu Mh Rais ,kati ya watu anawaogopa sana ni Mwigulu Mchemba.
Ningekuwa mimi, Nape , Mwigulu, Makamba Piga Ubalozi huko Masharki ya mbali, ondoa kwenye local politics,watakuharibia hao kulekea uchaguzi mkuu.
Ukicheka na nyani unavuna mabua.
Narudia MAMA HANA UWEZO WA KUMFANYA CHOCHOTE KILE MWIGULU MCHEMBA, NAONGEZA NA NAPE NA MAKAMBA JR
Muwe na Jumapili njema.
Viongozi karibu wote wa awamu ya sita ni watu wenye maadili tata, ukijua undani wa tabia zao utatokwa na machoziMoja kwa moja kwenye madam.
Mwigulu Mchemba Waziri Mwenye dhamana ya mambo ya fedha, ni miongoni mwa vigogo ambao Mh Rais anawaogopa.
Mgogororo wa wa kariakoo ulipotokea awali , wafanyabiashara waliongea wazi kuwa tatizo lipo TRA na kwa ujumla wake Wizara ya fedha mintarafu waziri Mwenye dhamana.
Yalitolewa maelekezo na Waziri Mkuu, Mwigulu na TRA wakampuuza PM.
Juzijuzi mgomo wa wafanyabiashara KARIAKOO ulirejea Tena, kwa sababu zilezile na mazingira yaleyale.
Kwa lugha rahisi ni kuwa kumekuwa na Kudharau, Mwigulu alibehua maagizo ya PRINCIPAL assistant yaani Waziri Mkuu kuhusu kumaliza changamoto za wafanya biashara.
Tumeona Rais Samia amemtoa kafara Kamishna Mkuu wa TRA.
katika Mgogororo ule hamna linalomuhusu Kamishna lisilomiuhusu waziri wa Fedha.
Lakini Mama ameogopa kumgusa Mwigulu, na kamwe hawezi kumgusa Mwigulu kwa ajili ya woga wa Uchaguzi Mkuu 2025.
Mh Rais anaaminishwa kuwa Mwigulu, Makamba Jr na Nape Mnauye kuwa wao ndo watu potential ambao hawapaswi kuguswa hata wakiharibu.
Kifupi Mwigulu ni msanii tu, ambaye anajijenga mwenye kwa Urais.
Ni mtu Mwenye Dharau, anadharau PM na hamuogopi yeyote yule.
Kutokana na mazingira haya, na failures nyingi kwa wizara yake,hastahili kuendelea Kwenye hiyo nafasi.
Anaendelea kuwepo kwa sababu Mh Rais ,kati ya watu anawaogopa sana ni Mwigulu Mchemba.
Ningekuwa mimi, Nape , Mwigulu, Makamba Piga Ubalozi huko Masharki ya mbali, ondoa kwenye local politics,watakuharibia hao kulekea uchaguzi mkuu.
Ukicheka na nyani unavuna mabua.
Narudia MAMA HANA UWEZO WA KUMFANYA CHOCHOTE KILE MWIGULU MCHEMBA, NAONGEZA NA NAPE NA MAKAMBA JR
Muwe na Jumapili njema.
Na ndio maana nimemjibu mtu mmoja kuwa MWIGULU NI "DUBWANA flani kubwa sana". Kumshughulikia ni sawasawa na " KUCHEZEA SHARUBU AU PUMBU ZA SIMBA"🤔🤔Mwigulu ana Waganga kutoka Gabon West Africa kawaweka hapo Dodoma, wale ni Blaaa tupu ndio wanaoumpumbaza Mama
watu wanajifurahisha sana humu, hoja ni kwamba Michezo ya Madilu iko pale kumfurahisha Mama..
Kwa Tanzania hata katibu kata wa ccm ana nguvu kuliko huyo wa usalama
kwenye siasa kubambikiwa kosa ni chap sana wakiamuaJob, but kesi ya Mwigulu ni very perculiar, hasa issue ya timing, mama hana guts za Kumgusa nakuambia
Jamaa nimemshitukia akili zake 🚶🚶Katika harakati za kusagiana kunguni, watu waangalie mbinu zenye mashiko na sio hizi za eti Rais anamuogopa mtu fulani ili Rais aone apate hasira amtumbue huyo mtu. Ni mbinu za kizamani sana!
Mwigulu ndio TRA?Moja kwa moja kwenye madam.
Mwigulu Mchemba Waziri Mwenye dhamana ya mambo ya fedha, ni miongoni mwa vigogo ambao Mh Rais anawaogopa.
Mgogororo wa wa kariakoo ulipotokea awali , wafanyabiashara waliongea wazi kuwa tatizo lipo TRA na kwa ujumla wake Wizara ya fedha mintarafu waziri Mwenye dhamana.
Yalitolewa maelekezo na Waziri Mkuu, Mwigulu na TRA wakampuuza PM.
Juzijuzi mgomo wa wafanyabiashara KARIAKOO ulirejea Tena, kwa sababu zilezile na mazingira yaleyale.
Kwa lugha rahisi ni kuwa kumekuwa na Kudharau, Mwigulu alibehua maagizo ya PRINCIPAL assistant yaani Waziri Mkuu kuhusu kumaliza changamoto za wafanya biashara.
Tumeona Rais Samia amemtoa kafara Kamishna Mkuu wa TRA.
katika Mgogororo ule hamna linalomuhusu Kamishna lisilomiuhusu waziri wa Fedha.
Lakini Mama ameogopa kumgusa Mwigulu, na kamwe hawezi kumgusa Mwigulu kwa ajili ya woga wa Uchaguzi Mkuu 2025.
Mh Rais anaaminishwa kuwa Mwigulu, Makamba Jr na Nape Mnauye kuwa wao ndo watu potential ambao hawapaswi kuguswa hata wakiharibu.
Kifupi Mwigulu ni msanii tu, ambaye anajijenga mwenye kwa Urais.
Ni mtu Mwenye Dharau, anadharau PM na hamuogopi yeyote yule.
Kutokana na mazingira haya, na failures nyingi kwa wizara yake,hastahili kuendelea Kwenye hiyo nafasi.
Anaendelea kuwepo kwa sababu Mh Rais ,kati ya watu anawaogopa sana ni Mwigulu Mchemba.
Ningekuwa mimi, Nape , Mwigulu, Makamba Piga Ubalozi huko Masharki ya mbali, ondoa kwenye local politics,watakuharibia hao kulekea uchaguzi mkuu.
Ukicheka na nyani unavuna mabua.
Narudia MAMA HANA UWEZO WA KUMFANYA CHOCHOTE KILE MWIGULU MCHEMBA, NAONGEZA NA NAPE NA MAKAMBA JR
Muwe na Jumapili njema.
Use your gift of intellect ulopewa na Mungu, so that you will be capable to associate between TRA an Mwigulu.Mwigulu ndio TRA?
Upuuzi tuuUse your gift of intellect ulopewa na Mungu, so that you will be capable to associate between TRA an Mwigulu.
Vinginevyo endelea kutia akili zako mfukoni.
To associate Idea ni level ndogo sana katika learning kuliko level ya kufanya Manipulation.
Kwahiyo kama huelewi nenda Facebook kacheze na watoto wenzako, uache kuchezea cm janja ya BABAKO.
Hapa ni mahali pa great thinker wenye uwezo wa KU DIGEST CONCRETE IDEAS, hutaki nenda REDIO Fm kuwasikiliza Mwijaku,Zembwela, Oscar Oscar, mada za hapa ni ngumu kuelewa ukiwa mtoto au una ubongo wa 5 MB .
Hopefully you understand DUDE 😎 😎 😎
Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyaoMoja kwa moja kwenye madam.
Mwigulu Mchemba Waziri Mwenye dhamana ya mambo ya fedha, ni miongoni mwa vigogo ambao Mh Rais anawaogopa.
Mgogororo wa wa kariakoo ulipotokea awali , wafanyabiashara waliongea wazi kuwa tatizo lipo TRA na kwa ujumla wake Wizara ya fedha mintarafu waziri Mwenye dhamana.
Naam , kweli kweli tupuWaarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao