JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.
1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?
2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.
Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.
Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.
VEDIO HII HAPA
1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?
2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.
Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.
Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.
VEDIO HII HAPA