Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.

1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?

2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.

Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.

Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.

VEDIO HII HAPA
 
Lilikuwa ni onyo la tabia za kifisadi zilizoshamiri tangu 2010 to 2020 ambazo hazijawahi kuachwa. 2015 to 2020 hazikuzungumzwa tu ila zilikuwepo za kibabe.

Hata hivyo ametoa onyo very weak, ukisha amua kuweka udhaifu wa mtendaji wazi ni umemshtaki kwa jamii basi unatakiwa umuwajibishe, kinyume na hapo muite faragha muonye. Sasa hapa tunajua kuwa kuna mawaziri walafi ila wanatakiwa wajipime wenyewe.

Tunahitaji mpango mkakati bora wa kudhibiti utendaji wa serikali.
 
Lilikuwa ni onyo la tabia za kifisadi zilizoshamiri tangu 2010 to 2020 ambazo hazijawahi kuachwa. 2015 to 2020 hazikuzungumzwa tu ila zilikuwepo za kibabe. Hata hivyo ametoa onyo very weak. Tunahitaji mpango mkakati bora wa kudhibiti utendaji wa serikali.
Lilikuwa ni onyo la kula kwa kiwango sio kupitiliza ingawa wizi ni wizi tu.
 
Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.

1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?

2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.

Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.

Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.

VEDIO HII HAPA
Hizi ni kati ya kauli dhaifu kabisa kutamkwa na mkuu wa nchi. Madhara yake ni kuhalalisha ufisadi kwa urefu wa kamba ya mhusika. Very bad.
 
Mama alipofikia ni sawa na mashindano ya marathon yanaanza alafu yeye anakimbia opposite side huku anaamini atashinda!

Ameharibu mapema sana kuliko hata matarajio yetu tuliokuwa tuna wasiwasi nae. Ni sawa na Padre au shekhe aseme msifanye dhambi kupitiliza, fanyeni kwa kiasi! Astaghafulah!!!
 
Ni ujinga kutafuta kujifariji kwa kumtaka Rais arudi aje kudanganya uma kuwa ameeleweka vibaya.Huo ni utahira.Alichosema jana ndiyo msimamo wa serikali yake.


Tunavyopiga debe hapa kila siku kuwa CCM haifai kuongoza nchi hii we mean a business folks.
 
Lilikuwa ni onyo la tabia za kifisadi zilizoshamiri tangu 2010 to 2020 ambazo hazijawahi kuachwa. 2015 to 2020 hazikuzungumzwa tu ila zilikuwepo za kibabe.

Hata hivyo ametoa onyo very weak, ukisha amua kuweka udhaifu wa mtendaji wazi ni umemshtaki kwa jamii basi unatakiwa umuwajibishe, kinyume na hapo muite faragha muonye. Sasa hapa tunajua kuwa kuna mawaziri walafi ila wanatakiwa wajipime wenyewe.

Tunahitaji mpango mkakati bora wa kudhibiti utendaji wa serikali.
Hiyo video umesikiliza? Kwahiyo ndio awape maagizo wale vipi kweli? Kwamba kila mtu ale kwake na asivimbiwe? Tunajaribu kutetea nini? Ameyakoroga mengi ikiwemo la Spika na sasa anazidi kuyakoroga kwenye ufisadi.
 
Hiyo video umesikiliza? Kwahiyo ndio awape maagizo wale vipi kweli? Kwamba kila mtu ale kwake na asivimbiwe? Tunajaribu kutetea nini? Ameyakoroga mengi ikiwemo la Spika na sasa anazidi kuyakoroga kwenye ufisadi.
Katetewa wapi sasa hapo?
 
Back
Top Bottom