Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

Ni ujinga kutafuta kujifariji kwa kumtaka Rais arudi aje kudanganya uma kuwa ameeleweka vibaya.Huo ni utahira.Alichosema jana ndiyo msimamo wa serikali yake.View attachment 2080239

Tunavyopiga debe hapa kila siku kuwa CCM haifai kuongoza nchi hii we mean a business folks.
Hangaya hii video kaonesha ni Utopolo hatari hii ni laana ya Ndugai
 
JF Member unataka Rais atoe ufafanuzi gani tena wakati kwenye ile hotuba amesema kuwa ile kauli ni mara ya pili anaitoa?

Hii maana yake ni kwamba alichoongea jana wala hajateleza bali ndiyo msimamo wa serikali yake.View attachment 2080262
Du hii mpya kweli kweli. Rais wangu if you leave the door open like that how are you going to control it, jipimie!!.
 
Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.

1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?

2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.

Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.

Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.

VEDIO HII HAPA
wakivimbiwa watajamba sana na hivyo kuchafua hali ya hewa
 
Mimi nataka kujua chief Hangaya yeye anajipimia ngapi au keshavimbiwa mara ngapi? 😁😁😁😁😊😊😊😊😊🤭🤭🤭 mimi naona ana struggle for acceptance kutaka kumplease kila mtu ndio matokeo yake hayo unaongea utumbo
 
Lilikuwa ni onyo la tabia za kifisadi zilizoshamiri tangu 2010 to 2020 ambazo hazijawahi kuachwa. 2015 to 2020 hazikuzungumzwa tu ila zilikuwepo za kibabe.

Hata hivyo ametoa onyo very weak, ukisha amua kuweka udhaifu wa mtendaji wazi ni umemshtaki kwa jamii basi unatakiwa umuwajibishe, kinyume na hapo muite faragha muonye. Sasa hapa tunajua kuwa kuna mawaziri walafi ila wanatakiwa wajipime wenyewe.

Tunahitaji mpango mkakati bora wa kudhibiti utendaji wa serikali.
Ndo mnajaribu kumtetea kwa namna hii kweli kazi ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lilikuwa ni onyo la tabia za kifisadi zilizoshamiri tangu 2010 to 2020 ambazo hazijawahi kuachwa. 2015 to 2020 hazikuzungumzwa tu ila zilikuwepo za kibabe.

Hata hivyo ametoa onyo very weak, ukisha amua kuweka udhaifu wa mtendaji wazi ni umemshtaki kwa jamii basi unatakiwa umuwajibishe, kinyume na hapo muite faragha muonye. Sasa hapa tunajua kuwa kuna mawaziri walafi ila wanatakiwa wajipime wenyewe.

Tunahitaji mpango mkakati bora wa kudhibiti utendaji wa serikali.
katiba mjomba
 
Serikali inaongozwa na MWANADAMU na si MUNGU......


Mwanadamu huyo anawakumbusha WATENDAJI KUSIMAMIA VIAPO VYAO vifuatavyo........

1)Kutoingiliana katika majukumu ya mipaka ya kazi zao....kazi yoyote ina maslahi binafsi na Yale makuu zaidi(kutoa huduma kwa jamii)

2)Kutochafuana ,kubagazana na kufitiniana kwa kiongozi mkuu(kwenda kusema kwa mama)

Mh.SSH amefafanua vyema tu ila baadhi yetu tumeamua kufanya UPOTOSHAJI WA MAKUSUDI.....

#Siempre JMT🙏
 
Ulikuwa unapunguza uzito wa maneno aliyotamka. Rudi kwenye andiko lako
Sijapunguza uzito wa maneno ila nina utaratibu wangu wa kumkosoa raisi wa nchi. Ameonyesha udhaifu kama amirijeshi mkuu kuwataka walafi wajitathimini wenyewe badala ya kuwawajibisha, still sina sababu ya kutumia maneno makali kutoa hoja yangu.
 
Hajataka kua mnafiki kauli za kuongopeana zishapitwa na wakati hakuna rais au chombo chochote kinachoweza kuwadhibiti kwa 100%, ata umuweke malaika lazima atafanya yake , sema wanatofautiana kiasi cha upigaji ukiona hadi wenye nchi limetufikia ujue alikula akashiba akaleta urafi kutaka kuendelea kula had I kavimbiwa Ila kusemà wasile kabisa haiwezekani
 
Lilikuwa ni onyo la tabia za kifisadi zilizoshamiri tangu 2010 to 2020 ambazo hazijawahi kuachwa. 2015 to 2020 hazikuzungumzwa tu ila zilikuwepo za kibabe.

Hata hivyo ametoa onyo very weak, ukisha amua kuweka udhaifu wa mtendaji wazi ni umemshtaki kwa jamii basi unatakiwa umuwajibishe, kinyume na hapo muite faragha muonye. Sasa hapa tunajua kuwa kuna mawaziri walafi ila wanatakiwa wajipime wenyewe.

Tunahitaji mpango mkakati bora wa kudhibiti utendaji wa serikali.

Kama alilenga kutoa onyo basi sidhani kama ilitoka moyoni. nilioona mimi Rais anajua kabisa mawaziri na manaibu ni wapigaji, sasa anachowaambia wasipige sana, na yeye hana shida na hilo kama watapiga ila wasizidishe na kuvimbiwa. Maneno ambayo naona kama Rais wetu mpendwa alikosea kuyatamka.
 
Dah aisee ipo kazi. Nilimsikiliza kikadhani mm sijaelewa. Hii ni kama kuhalalisha rushwa lkn iwe ndani ya himaya yako. Too bad.
 
Back
Top Bottom