Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi? Umekwazika?I can see!
Unaikumbuka hii post yako? Samia atakuwa Rais bora kwa kuwa karuhusu kukosolewaBora hata ya dikteta huyu kila kitu kipo juu mara 300%
Hivi ni nani yule nguli aliesema kuwa hapa duniani tunapaswa kuogopa vitu viwili, navyo ni MUNGU NA TEKNOLOJIA????Unaikumbuka hii post yako? Samia atakuwa Rais bora kwa kuwa karuhusu kukosolewa
Mie naona kwamba mfumo wa uendeshaji serikali Tz na katiba mbovu ndo imeruhusu mambo haya na Mama anatuambia ' ukweli mchungu'.....bila overhaul ni kazi kwelikweli.Jiwe Alisema Rushwa Kwa Askari Ni Pesa Ya Ku~Brush
Hangaya Naye Atakuwa Na Kuvimbiwa
Siyo jiwe tena?Huyu ni mtawala mbovu kuliko wote waliopita hapa Tz
Siyo kukwazika, just concurring with your observation....Vipi? Umekwazika?
Mabichwa hayo yatakaa sawa tu! Ni suala la muda tu.Bora hata ya dikteta huyu kila kitu kipo juu mara 300%
Hahahhaha... Huyo mimi nlishamdharau siku nyingi sana!Unaikumbuka hii post yako? Samia atakuwa Rais bora kwa kuwa karuhusu kukosolewa
Ni wewe mwenyewe au kuna mtu ame hack account yako!!??Bora hata ya dikteta huyu kila kitu kipo juu mara 300%
Tetetete nini mkuu?Ni wewe mwenyewe au kuna mtu ame hack account yako!!??
UVCCM wazee wa mizingaMabichwa hayo yatakaa sawa tu! Ni suala la muda tu.
UVCCMSiyo jiwe tena?
Mabavicha jamani
Mbovu kwa mdomoni kwako au kwa ku deliver? Ukinijibu ntakuja tenaHuyu ni mtawala mbovu kuliko wote waliopita hapa Tz
Huwa sipost mkuu kazi yangu huwa na-comment pekee hapo umechemka mkuuUnaikumbuka hii post yako? Samia atakuwa Rais bora kwa kuwa karuhusu kukosolewa
ku-deliverMbovu kwa mdomoni kwako au kwa ku deliver? Ukinijibu ntakuja tena
Huyu ni hatari snMtawala mbovu zaidi aliyekuwa ashaondoka, alivunja maduka ya kubadilisha pesa za kigeni ya watu na kuzichukua kama zake