msana
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 215
- 307
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana ya kuupiga naona sasa mmeanza kuelewa alafu uzuri yani sio kuupiga tu peke ake ni kuupiga mwingi [emoji23]
Hivi unakumbuka Kikwete au mwinyi Kama sikosei aliwahi kulisema neno Hilo,na unajua Nini kilitokea baada ya hapo? Mh subiri matokeo ya hiyo kauli utaniambia.Serikali inaongozwa na MWANADAMU na si MUNGU......
Mwanadamu huyo anawakumbusha WATENDAJI KUSIMAMIA VIAPO VYAO vifuatavyo........
1)Kutoingiliana katika majukumu ya mipaka ya kazi zao....kazi yoyote ina maslahi binafsi na Yale makuu zaidi(kutoa huduma kwa jamii)
2)Kutochafuana ,kubagazana na kufitiniana kwa kiongozi mkuu(kwenda kusema kwa mama)
Mh.SSH amefafanua vyema tu ila baadhi yetu tumeamua kufanya UPOTOSHAJI WA MAKUSUDI.....
#Siempre JMT🙏
Mh baada ya hapo alihalalisha na wengine kufanya makosa Kisha tunyamaze?Mtawala mbovu zaidi aliyekuwa ashaondoka, alivunja maduka ya kubadilisha pesa za kigeni ya watu na kuzichukua kama zake
Wanasiasa hawapo kwa ajili ya maslahi ya wananchi bali wapo kwa maslahi ya kwao binafsi, mama namuelewa sana anajaribu kutuweka wazi ili tuelewe tabia za watawala wa kisiasa walivyo akiwamo na yeye maana kajiwekea wigo wa upigaji kwa kurudisha wezi madarakani.Ndio maana mzunguko huwa ni uleule ili waendelee kutafuna! Hii nchi hovyo kabisa!
Oh, sorry nilimaanisha comment. Ukigonga link itakupeleka. Nyingine ni hii hapa: Legacy zinavyopotea haraka, nahisi hurumaHuwa sipost mkuu kazi yangu huwa na-comment pekee hapo umechemka mkuu
Wapemba kule walipelekewa waburundiHuyu ni hatari sn
DuWapemba kule walipelekewa waburundi
Ilikuwa ndani ya siku 100 za mwanzo alifanya vzr sn kabla hajapigwa ndumbaOh, sorry nilimaanisha comment. Ukigonga link itakupeleka. Nyingine ni hii hapa: Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma
Nilikuwa nakukumbusha tu! wala sina neno nawe!Ilikuwa ndani ya siku 100 za mwanzo alifanya vzr sn kabla hajapigwa ndumba
Wana polisi, wana jeshi, usalama wa taifa. Huwezi kuiondoa CCM kwa kura za uchaguzi. Ingekuwa kura zinaondoa CCM ingekuwa chama pinzani miaka mingiInasikitisha sana!
Means hakuna anayeweza kufanya lolote...What kind of mentality is this? Dola ina levya watu hivi?
sawa dingiNilikuwa nakukumbusha tu! wala sina neno nawe!
Mimi naona Mh.Raisi yuko sahihi.Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.
1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?
2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.
Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.
Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.
VEDIO HII HAPA
tunajua nchi inaliwa kwanini kateua walaji ?Kasema ukweli au mnadhani nchi hailiwi?
Nani aliyewahi kuteuliwa na hajawahi kula?tunajua nchi inaliwa kwanini kateua walaji ?
Tena wale jamaa wa msoga kawapa wizara zenye kamba refu. Bure sana huyu mama. Utakaaje na mawaziri wamevimbiwa kwa upigaji. Kiapo cha urais sio mzaha. Haiwezekani kuendesha nchi kimzahamzaha.Lilikuwa ni onyo la tabia za kifisadi zilizoshamiri tangu 2010 to 2020 ambazo hazijawahi kuachwa. 2015 to 2020 hazikuzungumzwa tu ila zilikuwepo za kibabe.
Hata hivyo ametoa onyo very weak, ukisha amua kuweka udhaifu wa mtendaji wazi ni umemshtaki kwa jamii basi unatakiwa umuwajibishe, kinyume na hapo muite faragha muonye. Sasa hapa tunajua kuwa kuna mawaziri walafi ila wanatakiwa wajipime wenyewe.
Tunahitaji mpango mkakati bora wa kudhibiti utendaji wa serikali.