Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mada zingine zinachefua sana.Hivi kafanya nini ku-deserve this.Kwanza hata mwaka haujaisha,and his performance so far has much to be desired.This is typical of Tanzanian stupidity and hypocrisy.Mwalimu Nyerere alitawala kwa miaka 24 (1961-1985).
Kwa mujibu wa katiba ya sasa iwapo rais Samia atatawala kwa katiba ya sasa bila kuibadili, anaweza kutawala kwa muda wa miaka 9, Lakini akileta katiba mpya kabla ya mwaka 2030, maana yake ataanza upyaaa kwa katiba mpya, na hatofungwa na masharti ya vipindi viwili vya katiba ya zamani!
Tena basi akitengeneza katiba mpya ya vipindi viwiliviwili vya miaka Saba saba, maana yake ana potential ya kutawala 9+7+7=23
Mama ashindwe yeye tu, lakini njia ya kutawala miaka 23 nyeupeeee, ajipange tu
Kama unataka Jambo hilo litimie jitahidi kusali kwa ajili yake maana picha iliyoonekana katika ulimwengu wa roho ni kuwa awamu yake hamalizi.Omba Mungu yasijirudie ya March 17
Uko sawa Mama ni JembeAngela Merkel ametawala miaka 17; kama Mama anaweza kufanya kazi vizuri hakuna tabu aendelee tu.
Mshasahaubmambobya mwenda zake kuedit katibaMwalimu Nyerere alitawala kwa miaka 24 (1961-1985).
Kwa mujibu wa katiba ya sasa iwapo rais Samia atatawala kwa katiba ya sasa bila kuibadili, anaweza kutawala kwa muda wa miaka 9, Lakini akileta katiba mpya kabla ya mwaka 2030, maana yake ataanza upyaaa kwa katiba mpya, na hatofungwa na masharti ya vipindi viwili vya katiba ya zamani!
Tena basi akitengeneza katiba mpya ya vipindi viwiliviwili vya miaka Saba saba, maana yake ana potential ya kutawala 9+7+7=23
Mama ashindwe yeye tu, lakini njia ya kutawala miaka 23 nyeupeeee, ajipange tu
Kama hawataki atawale beyond 2030 basi tuendelee na katiba hii hii ya ya sasa, ila kama tunalilia katiba mpya basi consequence za kuja kwa katiba mpya ni kuanza upyaa kila mtu upyaaa. Na mama atakuwa na haki ya kushiriki. mambo ya nchi kwa mujibu wa katiba hiyo mpyaMama atawale mpaka aanze kutembelea mkongojo!!! Daaaaaaadeki wenye chuki mtakufa manina zenu!! Na huyu mama ni mtoto wa mjini hafi kizembe kama mwanachato
Nani wa kumpinga wakat yeye ndo mwenye nyundo?? Akikuona una dalili za kutaka kugombea kiti chake anakupiga nyundo kweny chama na kweny uteuzi yaani kwa sasa mama ndo boss lady hamna wa kumpinga hata umchukie vip nawaambieni kwa huyu mama ccm wamepatikana na bado watajuta kuwa na katiba mbovu namna hii na kwanini hawajamaliza mchakato wa ile katiba mpya wa WARIOBA, watagombana wao kwa wao sana japo kwa sasa wamaompinga wapo kimya kuogopa kufukuzwa chamani na kutenguliwa teuzi zao ila mda sio mrefu watasikika hadharani wa kimpinga maana hawataweza kuvumilia ndoja tuendelee kunywa gahawa na kachoru wakuu mda haujawahi kudanganya.2030 iwapo atapitishwa 2025 na chama.
Kwa nini miaka 7 na si 5 wala 4 kama US?Mwalimu Nyerere alitawala kwa miaka 24 (1961-1985).
Kwa mujibu wa katiba ya sasa iwapo rais Samia atatawala kwa katiba ya sasa bila kuibadili, anaweza kutawala kwa muda wa miaka 9, Lakini akileta katiba mpya kabla ya mwaka 2030, maana yake ataanza upyaaa kwa katiba mpya, na hatofungwa na masharti ya vipindi viwili vya katiba ya zamani!
Tena basi akitengeneza katiba mpya ya vipindi viwiliviwili vya miaka Saba saba, maana yake ana potential ya kutawala 9+7+7=23
Mama ashindwe yeye tu, lakini njia ya kutawala miaka 23 nyeupeeee, ajipange tu
Yaani hayo matokeo ya uchaguzi ya 2030 tayari mnayo leo hii?! Halafu huyo Rais anaonekana muda wote anawaza uchaguzi tu!Kama hawataki atawale beyond 2030 basi tuendelee na katiba hii hii ya ya sasa, ila kama tunalilia katiba mpya basi consequence za kuja kwa katiba mpya ni kuanza upyaa kila mtu upyaaa. Na mama atakuwa na haki ya kushiriki. mambo ya nchi kwa mujibu wa katiba hiyo mpya
Sikia Suala la kupitishwa na chama halikwepeki hata kama atatengeneza mazingira mgombea awe yeye tu ila lazima apitishwe kwanza.Nani wa kumpinga wakat yeye ndo mwenye nyundo?? Akikuona una dalili za kutaka kugombea kiti chake anakupiga nyundo kweny chama na kweny uteuzi yaani kwa sasa mama ndo boss lady hamna wa kumpinga hata umchukie vip nawaambieni kwa huyu mama ccm wamepatikana na bado watajuta kuwa na katiba mbovu namna hii na kwanini hawajamaliza mchakato wa ile katiba mpya wa WARIOBA, watagombana wao kwa wao sana japo kwa sasa wamaompinga wapo kimya kuogopa kufukuzwa chamani na kutenguliwa teuzi zao ila mda sio mrefu watasikika hadharani wa kimpinga maana hawataweza kuvumilia ndoja tuendelee kunywa gahawa na kachoru wakuu mda haujawahi kudanganya.
Nachokiona mama atatawala kwa miaka 15 japo Mleta uzi yy amesema miaka 9 hapana ni 15 kwa nini fikiria anamalizia mi5 ya marehemu 2025 atagombea na alishaaema kwa mara ya kwanza yy kama yy ikifika 2030 atakuwa na miaka 10, hiyo hiyo 2030 atagombea tena kwa kigezo kuwa yy ameanza kugombea mwka 2050 kwaiyo anamiaka mi5 tu ya utawala wake kwaiyo nataka kugombea mi5 tena toka 2030 hadi 2035 kwa kuwa ile mi5 ya mwanzo nilikuwa namalizia mhura wa mtu mwingine yaani marehemu Jpm na ukiangalia yuko sahihi sasa fikiria yy ndo boss wq chama na ndo rais na amiri jeshi mkuu hivi hapo kuna wakumzuia??? Ikiwa ataamua??!! Ndo maana nmesema ccm watajuta kumjua mama hakuna kipindi kigumu kwa ccm kama hiki cha huyu mama
Tuombe Mungu mama asiwe na mawazo kama haya yangu ila mimi naona mbali yatakuja haua tusubir tutaona mengi. Ila swala kugombea 2025 tayari alishasema mda toka mwaka jana 2021.
Wanaojipendejeza sasaiv ndio wameshilia maamuzi ya katiba mpyaUoga, afya, stress chamani, umri, ni baadhi ya vikwazo kwake kufikia hilo lengo.
CCM ukiwaambia Katiba Mpya wanarukwa na akili, hawajui itakuwa na manufaa hata kwao, itawafanya wasijipendekeze tena ili wateuliwe, na wakiteuliwa watakuwa huru kufanya kazi huku wakilindwa na sheria sio mwenyekiti wa chama.
Katiba mpya na mambo mapya
Mama atawale mpaka aanze kutembelea mkongojo!!! Daaaaaaadeki wenye chuki mtakufa manina zenu!! Na huyu mama ni mtoto wa mjini hafi kizembe kama mwanachato
Washindani wako unasumbua kupitia TRA, Tiss, Wengine unawafukuza uanachama.Sikia Suala la kupitishwa na chama halikwepeki hata kama atatengeneza mazingira mgombea awe yeye tu ila lazima apitishwe kwanza.
Hii ndio kete moja tu iliyopo kwa wanaoutaka uraisi, kutafuta mbinu upenye kwenye hiyo nafasi ya ushindani na ushinde.
Kufanikisha hili ni lazima uwe mtu mwenye ushawishi mkubwa, akili na nguvu kuweza kufanya hivyo. 2020 kuna waliojaribu ikashindikana.
Hata katiba ya nchi ikibadilishwa akagombea mara 3 still chama kinatakiwa kimpitishe. Kama una guts za kuitaka hiyo nafasi hii ndo kete yako.
By the way ni nafasi ya kukiwakilisha chama kuwa raisi wa JAMHURI lazima uwe na upekee na ushawishi wa kijeshi.
Mungu anamuangalia tu!Mwalimu Nyerere alitawala kwa miaka 24 (1961-1985).
Kwa mujibu wa katiba ya sasa iwapo rais Samia atatawala kwa katiba ya sasa bila kuibadili, anaweza kutawala kwa muda wa miaka 9, Lakini akileta katiba mpya kabla ya mwaka 2030, maana yake ataanza upyaaa kwa katiba mpya, na hatofungwa na masharti ya vipindi viwili vya katiba ya zamani!
Tena basi akitengeneza katiba mpya ya vipindi viwiliviwili vya miaka Saba saba, maana yake ana potential ya kutawala 9+7+7=23
Mama ashindwe yeye tu, lakini njia ya kutawala miaka 23 nyeupeeee, ajipange tu