Rais Samia huna nia njema na Wizara ya Nishati, haifiki kokote kwa teuzi za urafiki

Rais Samia huna nia njema na Wizara ya Nishati, haifiki kokote kwa teuzi za urafiki

Tukubali kwamba hii ni Wizara ambayo waliowekwa ni watu misheni town tu.

Nimesikiliza hata huyo anayeitwa Maharage Chande ni aibu tu. Yaani anahangaika na gharama za kuunganisha umeme! Hizo gharama zinaleta faida ktk shirika?
Yeye anatakiwa azalishe na kuuza umeme kwa faida badala ya kuhangaika na kuunganisha kwa gharama kubwa. Hawa ni watu wasiojitambua.
Nadhani kosa limeanzia kwenye uteuzi. Huwezi kuteua watu 'ngwini' kwenye wizara ambayo mambo yote ni sayansi.

Waziri 'ngwini'. Mkurugenzi Tanesco 'ngwini' Bodi ya watu 8 ina wahandisi wawili ambao walishasahaulika kwenye bodi ya mainjinia, wengine pia ni Ngwini.

Biashara ya umeme inahitaji uzalishaji wa kisayansi na kuuza umeme kisayansi. Ni tofauti na kutafuta wateja wa Multichoice au kuuza ticketi za TFF.
Pole,lakini nakwambia hawa wataku prove wrong

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wahangaika na Legacy vs JNHPP huku kwa uzwazwa tu wakidhani LNG Processing Plant inalenga kuua JNHPP...
JNHHP inaendelea kujengwa kama kawaida mkuu. Hakuna wa kuzuiaJNHPP isikamilike. Serikali inatoa hela zote kwa wakati.

LNG plant haiwezi kuua JNHPP. Hakuna mwenye akili mbovu kama hizo. Hilo liko wazi.
 
Hiyo Bwawa la Nyerere limepotezewa kivipi?!

Tatizo mlikuwa mnadanganywa sana kiasi cha kuamini ujenzi pale JNHPP ulikuwa unaendelea kwa kasi kweli kweli!

Hata mradi ulipokuwa deleyed for 5 months bado mkaambiwa "mambo ni fire"

Hata pale by December 2020 ambapo mradi ulitarajiwa uwe umekamilika kwa 46% lakini ndo kwanza ulikuwa 28%, mkaendelea kudanganywa kwamba "mambo ni fire"!

Leo akina Phillip Mpango wanapoamua kuwa wakweli na kuwaambia mradi umechelewa kwa sababu hii na ile, na kwamba Contractor katoa kazi nyingi muhimu kwa Subcontractors, hamtaki kukubali kwa sababu mlishamaanishwa kila kitu kipo okay huku hata ripoti za CAG za miaka ya nyuma zilikuwa zinaonesha ni namna gani mradi unavyo-delay!!
Kuhusu main contractor ku subcontract kazi nyingi iko kwenye mkataba.

Mkataba unampa haki main contractor kugawa 45% ya kazi pale mgodini.

Na kwa taarifa yako, bila kufanya hivyo tungekua tuko nyuma sana. Hao wachina subcontractors wamefanya kazi kubwa sana.

Nilicho na uhakika nacho 100% ni kwamba huu mradi utakamilika bila shida yoyote. Hakuna mradi wowote utakaozuia huu wa JNHPP usikamilike.

Kuchelewa kwa mradi ni mambo ya kawaida ingawa sio mambo mazuri sana. Hata Eithiopia bwawa lao wamechelewa kwa muda sana ingawa juzi wameanza kuzalisha umeme.
 
Tukubali kwamba hii ni Wizara ambayo waliowekwa ni watu misheni town tu.

Nimesikiliza hata huyo anayeitwa Maharage Chande ni aibu tu. Yaani anahangaika na gharama za kuunganisha umeme! Hizo gharama zinaleta faida ktk shirika?
Yeye anatakiwa azalishe na kuuza umeme kwa faida badala ya kuhangaika na kuunganisha kwa gharama kubwa. Hawa ni watu wasiojitambua.
Nadhani kosa limeanzia kwenye uteuzi. Huwezi kuteua watu 'ngwini' kwenye wizara ambayo mambo yote ni sayansi.

Waziri 'ngwini'. Mkurugenzi Tanesco 'ngwini' Bodi ya watu 8 ina wahandisi wawili ambao walishasahaulika kwenye bodi ya mainjinia, wengine pia ni Ngwini.

Biashara ya umeme inahitaji uzalishaji wa kisayansi na kuuza umeme kisayansi. Ni tofauti na kutafuta wateja wa Multichoice au kuuza ticketi za TFF.
Mkuu unajielewa na kujitambuwa. Salute
 
Kuhusu main contractor ku subcontract kazi nyingi iko kwenye mkataba.

Mkataba unampa haki main contractor kugawa 45% ya kazi pale mgodini.

Na kwa taarifa yako, bila kufanya hivyo tungekua tuko nyuma sana. Hao wachina subcontractors wamefanya kazi kubwa sana.
Contractor hajazuiwa ku-subcontract, na hilo subcontracting ni jambo la kawaida kabisa kwenye shughuli za ujenzi, but according to CAG Report👇👇👇👇
JNHPP SUBCONTRACTING.png

Kumbe jamaa waka-subcontract almost ALL MAJOR PROJECT COMPONENTS...

You're the Building Contractor, nikikupa kazi ya kunijengea mjengo lakini uka-subcontract plumbing na Electrification, UTAELEWEKA kwa 100%!

Lakini pamoja na kwamba wewe ni Building Contractor bado una-subcontract hadi ujenzi wa foundation... sasa huo u-building contractor ulionifanya nikuajiri huwa una-build nini?!
Nilicho na uhakika nacho 100% ni kwamba huu mradi utakamilika bila shida yoyote. Hakuna mradi wowote utakaozuia huu wa JNHPP usikamilike.
Hapa nakubaliana na wewe kwa 100% ndo maana nimekuwa nikijiuliza hii hofu watu wanaitoa wapi! Oh! Ndo kama nilivyosema hapo mwanzoni!
Kuchelewa kwa mradi ni mambo ya kawaida ingawa sio mambo mazuri sana. Hata Eithiopia bwawa lao wamechelewa kwa muda sana ingawa juzi wameanza kuzalisha umeme.
Na kama miradi yenyewe ndo hii ya kutegemea pesa ambazo hauna, ndo shida tupu! Hata hii JNHPP ilianza kwenda smoothly baada ya kupata mkopo wa Standard Chartered Bank (UK) na ule wa Credit Suisse.
 
Kwa hiyo kama ”sisi tulidanganywa” wewe ndio umeambiwa ukweli ?
Mimi siambiwi na mtu...

Mimi huwa natafuta mwenyewe taarifa...

Mimi huwa nasoma ripoti mbalimbali...

The problem watu aina yenu mlikuwa mnawasikiliza wanasiasa, including akina Msukuma ambae anadai yupo kwenye kamati lakini hajui hata ripoti ya CAG inasema nini!!
 
Kwanza anzia na Raisi wenu mwenyewe inaekekea hata logic ya Magu (RIP) kujenga SGR sambamba na Bwawa la Nyerere haijaeleweka, sasa wanasema (Samia) ananunua treni za umeme hapo hapo Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu limeshasimamishwa, sasa umeme wa kusukuma treni utatokea wapi ?
If God whishes nitakuja changia huu uzi 2025.
 
Hata zamani wati wa voda na tigo tulinunua kadi yaani ile chip kwa elfu 20 hadi 25 lakini siku hizi ni bule hadi elfu moja lakini hayo mashilika yana pata faida
Sasa iweje tanesco wao washindwe ka karne zote hizo?
Hapo kwenye kuwaunganishia wateja wapya umeme "kisayansi", ndio bei yake inatakiwa kuwa 27,000 nchi nzima mkuu ?
 
Tukubali kwamba hii ni Wizara ambayo waliowekwa ni watu misheni town tu.

Nimesikiliza hata huyo anayeitwa Maharage Chande ni aibu tu. Yaani anahangaika na gharama za kuunganisha umeme! Hizo gharama zinaleta faida ktk shirika?
Yeye anatakiwa azalishe na kuuza umeme kwa faida badala ya kuhangaika na kuunganisha kwa gharama kubwa. Hawa ni watu wasiojitambua.
Nadhani kosa limeanzia kwenye uteuzi. Huwezi kuteua watu 'ngwini' kwenye wizara ambayo mambo yote ni sayansi.

Waziri 'ngwini'. Mkurugenzi Tanesco 'ngwini' Bodi ya watu 8 ina wahandisi wawili ambao walishasahaulika kwenye bodi ya mainjinia, wengine pia ni Ngwini.

Biashara ya umeme inahitaji uzalishaji wa kisayansi na kuuza umeme kisayansi. Ni tofauti na kutafuta wateja wa Multichoice au kuuza ticketi za TFF.
Hata cabinet imejaa ma juniors sana. Nadhani katika nchi, taasisi muhimu kuwa na seniors ni baraza la mawaziri.
Imagine unabahatika kuwa na Lukuvi kwenye cabinet, halafu unamuondoa.
Unabaki na Mkuchika kama kiranja wa zamu tu!
 
Hapo kwenye kuwaunganishia wateja wapya umeme "kisayansi", ndio bei yake inatakiwa kuwa 27,000 nchi nzima mkuu ?
Ushahidi wa akili kubwa ya JPM ukipunguza bei utawezesha watu wengi kupata huduma ambayo kimsingi ni fursa ya wao kujitegemea kwa kuanzisha shughuri mbalimbali zinazotegemea umeme na kujenga uwezo wa kulipia matumizi yao ya umeme,hivyo kuongeza wateja na mwisho wa siku tanesco kupata Pato kubwa,kuongoza kunahitaji maono,mtaishia kujaa madeni Kama hamna timamu.
 
Hata zamani wati wa voda na tigo tulinunua kadi yaani ile chip kwa elfu 20 hadi 25 lakini siku hizi ni bule hadi elfu moja lakini hayo mashilika yana pata faida
Sasa iweje tanesco wao washindwe ka karne zote hizo?
Okay
 
Ushahidi wa akili kubwa ya JPM ukipunguza bei utawezesha watu wengi kupata huduma ambayo kimsingi ni fursa ya wao kujitegemea kwa kuanzisha shughuri mbalimbali zinazotegemea umeme na kujenga uwezo wa kulipia matumizi yao ya umeme,hivyo kuongeza wateja na mwisho wa siku tanesco kupata Pato kubwa,kuongoza kunahitaji maono,mtaishia kujaa madeni Kama hamna timamu.
Okay
 
JNHHP inaendelea kujengwa kama kawaida mkuu. Hakuna wa kuzuiaJNHPP isikamilike. Serikali inatoa hela zote kwa wakati.

LNG plant haiwezi kuua JNHPP. Hakuna mwenye akili mbovu kama hizo. Hilo liko wazi.
Man, na ndo maana mara kwa mara nimekuwa nikiwaambia raia hapa kwamba LNG Project haina uhusiano wowote na JNHPP, kwahiyo waache vimaneno vya mitaani.

Watu wapo so paranoid.

Kwanza unauaje JNHPP in favor of LNG Plant ambayo hata ukamilikaji wake utachukua at least 5 years. Na nimekuwa nikiwapa changamoto kwamba watumie hata common sense kwamba hivi unawekezaje TSh 70 TRILLION eti ili hatimae hiyo gesi izalishe umeme na kuiua JNHPP!!
 
Usiwalaghai wananchi. Bwawa la Umeme JNHPP unaendelea vizuri na mkandarasi mkuu na wakandarasi wasaidizi wote wako site. Utakufa kwa kijibwa cha roho shauri yako!
Kwanza anzia na Raisi wenu mwenyewe inaekekea hata logic ya Magu (RIP) kujenga SGR sambamba na Bwawa la Nyerere haijaeleweka, sasa wanasema (Samia) ananunua treni za umeme hapo hapo Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu limeshasimamishwa, sasa umeme wa kusukuma treni utatokea wapi ?
 
Hiyo Bwawa la Nyerere limepotezewa kivipi?!

Tatizo mlikuwa mnadanganywa sana kiasi cha kuamini ujenzi pale JNHPP ulikuwa unaendelea kwa kasi kweli kweli!

Hata mradi ulipokuwa deleyed for 5 months bado mkaambiwa "mambo ni fire"

Hata pale by December 2020 ambapo mradi ulitarajiwa uwe umekamilika kwa 46% lakini ndo kwanza ulikuwa 28%, mkaendelea kudanganywa kwamba "mambo ni fire"!

Leo akina Phillip Mpango wanapoamua kuwa wakweli na kuwaambia mradi umechelewa kwa sababu hii na ile, na kwamba Contractor katoa kazi nyingi muhimu kwa Subcontractors, hamtaki kukubali kwa sababu mlishamaanishwa kila kitu kipo okay huku hata ripoti za CAG za miaka ya nyuma zilikuwa zinaonesha ni namna gani mradi unavyo-delay!!
Kwahiyo contractor aki-sub kazi nyingi mradi unachelewa? Hayo mapenzi uliyonayo kwa serikali yasikutie upofu. Hakuna nia ya dhati kukamilisha mradi huo kwa wakati regardless matatizo yaliyokuwepo kwenye kick-off
 
Kwahiyo contractor aki-sub kazi nyingi mradi unachelewa? Hayo mapenzi uliyonayo kwa serikali yasikutie upofu. Hakuna nia ya dhati kukamilisha mradi huo kwa wakati regardless matatizo yaliyokuwepo kwenye kick-off
Umesoma posts zangu au umekurupuka tu?!

Kuna mahali niliposema uli-delay kwa ajili ya subcontracting?

Hivi unafahamu hata kabla Magu hajafa mradi ulikuwa ume-delay kwa muda gani?

Soma post kwa post ili ujifunze na ndipo hatimae utafahamu ni nani!
Haitusaidii tunataka umeme uwake toka JNHP
Watu wanataka umeme bila kujali unatoka wapi! Wewe unayesubiri umeme wa Legacy endelea kusubiri!

Hapa tunazungumzia viroja vyenu vya kusema eti hakuna nia ya dhati ya kukamilisha mradi wakati delay ilitokea tangia zamani!

Na hivi viroja vyenu vinatokana na nyie watu kuamini in a lie na leo hii mnapoambiwa ukweli hamtaki kukubali!!
 
Back
Top Bottom