BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Umeandika sawa, ila wanaosema Rais ndo tatizo kwa kumlinganisha na JPM ndo hawapo sawa.
JPM alimchagua Samia kuwa mgombea mweza mara 2. Alifanya hivi akijua Makamu wa Rais ni mtu mwenye sifa zote za urais.
Angeweza kumpeleka Zanzibar akawe Rais kama alivofanya kikwete kwa shein 2010, lakini alimuacha akijua anayaweza majukumu aliyonayo.
Magufuli pia alimteua Makonda kuwa mkuu wa mkoa, Kitwanga kuwa waziri, Muhongo kuwa waziri na Ninja kuwa waziri wa mambo ya ndani.
JPM alimchagua Samia kuwa mgombea mweza mara 2. Alifanya hivi akijua Makamu wa Rais ni mtu mwenye sifa zote za urais.
Angeweza kumpeleka Zanzibar akawe Rais kama alivofanya kikwete kwa shein 2010, lakini alimuacha akijua anayaweza majukumu aliyonayo.
Magufuli pia alimteua Makonda kuwa mkuu wa mkoa, Kitwanga kuwa waziri, Muhongo kuwa waziri na Ninja kuwa waziri wa mambo ya ndani.