Rais Samia huna nia njema na Wizara ya Nishati, haifiki kokote kwa teuzi za urafiki

Rais Samia huna nia njema na Wizara ya Nishati, haifiki kokote kwa teuzi za urafiki

Mimi huwa najiuliza,Ina maana hata Kama Ni msomi na unao uzoefu wa kutosha kwamba umeshakifanyia kazi Serikalini kwa muda mrefu kile ulichosomea.Ina maana huwezi kuteuliwa Nafasi ya juu ya uongozi Hapa nchini kwa vile TU unatokea familia isiyofahamika(ya ki-masikini) ? Maana teuzi nyingi za maana Ni za Watoto wa wanasiasa(viongozi) wa zamani na wa Sasa.Ukienda walioajiriwa mashirika muhimu Ni ndugu haohao.e.g huko TRA,BOT,UHAMIAJI,TRAFIC POLICE,MAWAZIRI NA MANAIBU WAO,MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU,WAKUU WA WILAYA,WAKUU WA MIKOA,WAKURUGENZI KWENYE MASHIRIKA NA MANAIBU WAO,n.k.familia hizi hazikosi Watoto wao kwenye Hayo maeneo niliyoyataja hata Kama Watoto hao Ni vilaza.Viongozi wetu kumbukeni kutunyanyua na Sisi ndogo mdogo Watoto familia masikini waliosoma.
 
huyo jamaa sio ngwini mkuu, ila labda useme experience tu kwenye hiyo sector

View attachment 2128953
Huyo mlevi alipoanza kutoa hoja kwa kuattack ungwini nikajua hana akili. Sasa hii ndio faida ya ngwini anafanya research, yeye anadhani pale ni kushika nyundo tu, Kuna mikataba, negotiations nk.

VP mwenyewe alisema wazi mkandarasi ni kanjanja amesubcontract kazi nyingi na ni za muhimu Sasa anajikuta wanamchelewesha . Sasa tukiingia ndani kwenye hizi subcontracts mtakimbia wenyewe Kuna mtu aliingiza kampuni yake akaagiza malori (semi truck-mende) kama Mia ya kubeba kokoto, plus subs almost nyingi tu, tafuteni wenyewe mainjinia wasomi na wengine mnausemea huu mradi.

Uzuri ni kwamba hii nchi kila mtu akipigia chapuo mradi ujue kuna interest yake, same ya bandari ya Bagamoyo kwa Kikwete it's all the same tu. Magu nae hakuwa Mungu wacha mtafute wenyewe. Mradi unafika sehemu anaingia mtu mpya anakuta mambo mengine ambayo subcontractor anakuelezea unaona nae alikuwa anashindwa sababu aliyempa kazi ni bwana mkubwa Hana namna.

Sasa labda tuulizane , aliyemsema mkandarasi kwamba ni kanjanja ni kijana wenu wa Magu, kwani huyu mkandarasi alipewa kazi kipindi gani na nani??

Mambo mengine hayahitaji uwe rocket scientist kuyatambua.
 
Leo akina Phillip Mpango wanapoamua kuwa wakweli na kuwaambia mradi umechelewa kwa sababu hii na ile, na kwamba Contractor katoa kazi nyingi muhimu kwa Subcontractors, hamtaki kukubali kwa sababu mlishamaanishwa kila kitu kipo okay huku hata ripoti za CAG za miaka ya nyuma zilikuwa zinaonesha ni namna gani mradi unavyo-delay

Huyo Mpango mwenyewe ndio alikuwa right hand man wa Jiwe ,hayo mapungufu hakuyaona wakati anafanya malipo kwenye huo mradi alipokuwa waziri wa Fedha? Awe mkweli tu asifanye unafiki ingawa opportunism is in his blood!
 
Anatekeleza maelekezo kutoka Msoga. Sasa ni zamu ya wahuni kushika hatamu!
Unaowaona wahuni wa Msoga ndiyo waliopiga kazi mpaka nchi ikafikia uchumi huu tulionao baada ya kupokea kutoka kwa Mkapa.

Wale washamba wa Chato walikuwa wanaharibu uchumi, kwa uwongo wao na uwizi wa fedha za umma, Tsh 2.4 Trillion
 
Unaowaona wahuni wa Msoga ndiyo waliopiga kazi mpaka nchi ikafikia uchumi huu tulionao baada ya kupokea kutoka kwa Mkapa.

Wale washamba wa Chato walikuwa wanaharibu uchumi, kwa uwongo wao na uwizi wa fedha za umma, Tsh 2.4 Trillion

Utter nonsense!
 
Utter nonsense!
I can also insult you but I am wise enough not to do so. When you use abusive language it symbolises that you can't beat me on objectivity. If you think the person we buried at Chato whom you WORSHIP had superior performance, come here with numbers.
 
I can also insult you but I am wise enough not to do so. When you use abusive language it symbolises that you can't beat me on objectivity. If you think the person we buried at Chato whom you WORSHIP had superior performance, come here with numbers.

I don’t know about you, but I worship absolutely no human being! By putting racketeers on a pedestal, you’re making mockery of distinguished leadership. When your admired gangster left the high office, the country couldn’t even afford to pay salaries and benefits of its civil servants without donor support. He was a professional beggar and racketeer, who thrived on political thuggery!

It was no accident that he earned a place on CDM’s list of shame!
 
I don’t know about you, but I worship absolutely no human being! By putting racketeers on a pedestal, you’re making mockery of distinguished leadership. When your admired gangster left the high office, the country couldn’t even afford to pay its civil servants’ salaries and benefits without donor support. He was a professional beggar and racketeer, who thrived on political thuggery!
You are just a victim of Magufuli false propaganda. You think he was patriot because that's what you heard from him in absence of free media. You think he wasn't thug by his mere utterance. Shall you forget that he sacked the CAG after raising a querry on expenditures of Ths 2.4 Trillion in the 2016-8 financial years. Our nation for all the entire four past regimes has never been robbed by a sitting president more than what Magufuli did
 
You are just a victim of Magufuli false propaganda. You think he was patriot because that's what you heard from him in absence of free media. You think he wasn't thug by his mere utterance. Shall you forget that he sacked the CAG after raising a querry on expenditures of Ths 2.4 Trillion in the 2016-8 financial years. Our nation for all the entire four past regimes has never been robbed by a sitting president more than what Magufuli did

Do you know a thing or two about auditing? If you do, then make a tenable argument. Otherwise, avoid straying into uncharted territories!

In this country’s history, no presidency has been as scandalous as that of the gangster from Msoga. The list of dubious deals is almost endless. Do you need anyone to remind you of EPA, Escrow, Richmond and other racketeering moves that characterized his presidency?
 
Hakika umenikosha. Nafarijika kujua kuna watu wanafikiri exactly kama mimi. Kama unakumbuka pale mama akifuta shs 27000 kuunganisha umeme ndio utajua akili yao hawa watu. Mama alisema 'january waambie kama unaogopa, hakuna umeme wa shs 27000' wataonaje kuna umeme wa shs 27000 wakati wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba. Anaondoa ma Phd wazalendo anaweka jamaa zake wenye ujuzi wa kula hela umma halafu maquini.
Kupenda bure kunaufanya umaskini wetu uendelee kuwepo. SSH ameamua kuwa mkweli, gharama za kulifanya TANESCO liweze kuendelea kuwepo ni kubwa.
 
Kupenda bure kunaufanya umaskini wetu uendelee kuwepo. SSH ameamua kuwa mkweli, gharama za kulifanya TANESCO liweze kuendelea kuwepo ni kubwa.

Ningekuelewa vizuri zaidi kama ungekemea uombaomba ambao tumeuendekeza kwa zaidi ya miaka 60 ya uhuru wetu. Kutokufanya hivyo essentially ni kukumbatia double standard!

All in all, kwa maoni yangu, kuunganisha umeme kwa gharama ya 27,000/= is a fair deal to both the customer and TANESCO. Why? Kwasababu nguzo ni mali ya TANESCO; mteja hapewi haki ya kuimiliki au kuitumia hiyo nguzo monopolistically, bali anapata service activation/connection. Ni kawaida kwa utility companies duniani kufikisha huduma mpaka nje ya jengo la mteja. Gharama za miundombinu ya ndani na service activation/connection ndiyo responsibility ya mteja!
 
Do you know a thing or two about auditing? If you do, then make a tenable argument. Otherwise, avoid straying into uncharted territories!

In this country’s history, no presidency has been as scandalous as that of the gangster from Msoga. The list of dubious deals is almost endless. Do you need anyone to remind you of EPA, Escrow, Richmond and other racketeering moves that characterized his presidency?
You know nothing about the so called scandals. How was he involved in EPA as Minister for foreign affairs? What did the government suffer from Richmond transaction?

I know auditing sf course and was once an accounting officer for a public parastatal. I have always been audited by the CAG and had received unqualified opinion over my accounts for four years when I supervised the entity
 
You know nothing about the so called scandals. How was he involved in EPA as Minister for foreign affairs? What did the government suffer from Richmond transaction?

I know auditing sf course and was once an accounting officer for a public parastatal. I have always been audited by the CAG and had received unqualified opinion over my accounts for four years when I supervised the entity

You just ain’t serious; there’s no flight to safety by cherry-picking. If you were serious, you definitely wouldn’t try to downplay the gravity of a racketeering move that culminated in a dissolution of a cabinet!

Help me and your other readers get to the bottom of the TZS 2.4 trillion issue you brought up, by providing answers to the following questions:

1. What government agency, department or ministry was the auditee?

2. What kind of audit opinion did the CAG render?

3. If the CAG’s audit opinion was other than an unmodified opinion, what was the basis of that audit opinion?
 
You just ain’t serious; there’s no flight to safety by cherry-picking. If you were serious, you definitely wouldn’t try to downplay the gravity of a racketeering move that culminated in a dissolution of a cabinet!

Help me and your other readers get to the bottom of the TZS 2.4 trillion issue you brought up, by providing answers to the following questions:

1. What government agency, department or ministry was the auditee?

2. What kind of audit opinion did the CAG render?

3. If the CAG’s audit opinion was other than an unmodified opinion, what was the basis of that audit opinion?
If you are not aware of the CAG query regarding the Tsh 2.4 Trillion and subsequent sacking from office by Magufuli you are a bumbclaat twat.
 
If you are not aware of the CAG query regarding the Tsh 2.4 Trillion and subsequent sacking from office by Magufuli you are a bumbclaat twat.

I cautioned you not to stray into an uncharted territory. If you believe you have a good understanding of the audit process and are privy to that issue, please respond to my questions. Your answers will help us put the issue under a professional microscope. Anyone who is intimately familiar with the audit process knows (or should know) that, in any financial audit, internal control issues abound, but not very such issue has direct bearing on the auditor’s opinion.

I hope you ain’t recklessly propagating unhinged hearsay stories just to create a faux appearance of being in the know. Leave that to the laypeople, if you aren’t one of them!
 
I cautioned you not to stray into an uncharted territory. If you believe you have a good understanding of the audit process and are privy to that issue, please respond to my questions. Your answers will help us put the issue under a professional microscope. Anyone who is intimately familiar with the audit process knows (or should know) that, in any financial audit, internal control issues abound, but not very such issue has direct bearing on the auditor’s opinion.

I hope you ain’t recklessly propagating unhinged hearsay stories just to create a faux appearance of being in the know. Leave that to the laypeople, if you aren’t one of them!
You are becoming an imbecile now! How come do you claim that the 2016/17 and 2017/8 CAG report was a hearsay. Is it because you are a product of Magufuli brainwash?

Come on man get out of such indoctrination and be yourself. That authoritarian dictator was a great liar, thief and dumb. He has expired , don't be afraid
 
You are becoming an imbecile now! How come do you claim that the 2016/17 and 2017/8 CAG report was a hearsay. Is it because you are a product of Magufuli brainwash?

Come on man get out of such indoctrination and be yourself. That authoritarian dictator was a great liar, thief and dumb. He has expired , don't be afraid

If you don’t have the answers to the very basic and straightforward questions I asked you, just say so! Going round in circles with the same unhinged arguments is a complete waste of time. You initially wanted us to be objective. So, please walk the talk.

If navigating back to my questions is hard, I am repeating them here for you.

1. What government agency, department or ministry was the auditee?

2. What kind of audit opinion did the CAG render?

3. If the CAG’s audit opinion was other than an unmodified opinion, what was the basis of that audit opinion?
 
Tukubali kwamba hii ni Wizara ambayo waliowekwa ni watu misheni town tu.

Nimesikiliza hata huyo anayeitwa Maharage Chande ni aibu tu. Yaani anahangaika na gharama za kuunganisha umeme! Hizo gharama zinaleta faida ktk shirika?

Yeye anatakiwa azalishe na kuuza umeme kwa faida badala ya kuhangaika na kuunganisha kwa gharama kubwa. Hawa ni watu wasiojitambua. Nadhani kosa limeanzia kwenye uteuzi. Huwezi kuteua watu 'ngwini' kwenye wizara ambayo mambo yote ni sayansi.

Waziri 'ngwini'. Mkurugenzi Tanesco 'ngwini' Bodi ya watu 8 ina wahandisi wawili ambao walishasahaulika kwenye bodi ya mainjinia, wengine pia ni Ngwini.

Biashara ya umeme inahitaji uzalishaji wa kisayansi na kuuza umeme kisayansi. Ni tofauti na kutafuta wateja wa Multichoice au kuuza ticketi za TFF.
Nimeupenda sana huu uzi. Watu wa mission town ndio mama anapenda.😂 Sijui kama safari tutafika hata chalinze.
 
Hapo kwenye kuwaunganishia wateja wapya umeme "kisayansi", ndio bei yake inatakiwa kuwa 27,000 nchi nzima mkuu?
Kwanini isiwe BURE kabisa? We unaonaje? Yaani Tanesco anatafuta WATEJA halafu WATEJA ndio wampe mtaji? Hili unalionaje kwa mtazamo wako? Ngoja nikukumbushe kidog in case you don't know, zamani TTCL, sorry kwanza hata kabla ya TTCL kulikua na kitu inaitwa POSTA na SIMU then ndio zikatengana mwanzoni mwa miaka ya 90, hapa tuizungumzie TTCL, ilikua ukitaka simu kwanza unabembeleza ikibidi uwe na connection lakini bado ilikua lazima ulipe hizo installation charges kama ambavyo wewe unaishangaa hiyo Tsh 27,000/= Yameingia makampuni mengine ya simu, TTCL nao wameondoa hizo unazozishangaa leo.
Nacho taka kusema, huwezi kunidai gharama za installation wakati mimi ni mteja wako, jenga na sambaza kwa gharama zako, mimi nitalipia services kulingana na matumizi yangu. Mbona vitu vingine virahisi tu kueleweka mkuu?
 
Kwanini isiwe BURE kabisa? We unaonaje? Yaani Tanesco anatafuta WATEJA halafu WATEJA ndio wampe mtaji? Hili unalionaje kwa mtazamo wako? Ngoja nikukumbushe kidog in case you don't know, zamani TTCL, sorry kwanza hata kabla ya TTCL kulikua na kitu inaitwa POSTA na SIMU then ndio zikatengana mwanzoni mwa miaka ya 90, hapa tuizungumzie TTCL, ilikua ukitaka simu kwanza unabembeleza ikibidi uwe na connection lakini bado ilikua lazima ulipe hizo installation charges kama ambavyo wewe unaishangaa hiyo Tsh 27,000/= Yameingia makampuni mengine ya simu, TTCL nao wameondoa hizo unazozishangaa leo.
Nacho taka kusema, huwezi kunidai gharama za installation wakati mimi ni mteja wako, jenga na sambaza kwa gharama zako, mimi nitalipia services kulingana na matumizi yangu. Mbona vitu vingine virahisi tu kueleweka mkuu?
Tumejadili sana suala la bure huko juu....

Hebu ngoja nitafute comment nilimjibu mtu siku kadhaa zilizopita katika uzi huu huu...
 
Back
Top Bottom