Rais Samia huna nia njema na Wizara ya Nishati, haifiki kokote kwa teuzi za urafiki

Rais Samia huna nia njema na Wizara ya Nishati, haifiki kokote kwa teuzi za urafiki

Kwanini isiwe BURE kabisa? We unaonaje? Yaani Tanesco anatafuta WATEJA halafu WATEJA ndio wampe mtaji? Hili unalionaje kwa mtazamo wako? Ngoja nikukumbushe kidog in case you don't know, zamani TTCL, sorry kwanza hata kabla ya TTCL kulikua na kitu inaitwa POSTA na SIMU then ndio zikatengana mwanzoni mwa miaka ya 90, hapa tuizungumzie TTCL, ilikua ukitaka simu kwanza unabembeleza ikibidi uwe na connection lakini bado ilikua lazima ulipe hizo installation charges kama ambavyo wewe unaishangaa hiyo Tsh 27,000/= Yameingia makampuni mengine ya simu, TTCL nao wameondoa hizo unazozishangaa leo.
Nacho taka kusema, huwezi kunidai gharama za installation wakati mimi ni mteja wako, jenga na sambaza kwa gharama zako, mimi nitalipia services kulingana na matumizi yangu. Mbona vitu vingine virahisi tu kueleweka mkuu?
Ni post namba 43.

Nainukuu...

"Mkuu, hili suala mimi naliona katika sura mbili (nina hisia mchanganyiko).

1. Mambo yalivyopaswa kuwa (as it should be).
Kwakuwa umeme na miundombinu yake ni mali ya TANESCO, umeme ulipaswa kuunganishwa kwa mteja bure kabisa. Au pengine kulipaswa kuwa na "bonus" kwa mteja kuunganishiwa umeme.
Mfano, Unganisha umeme ujishindie smartphone, au Unganisha umeme ujishindie unit 100 za bure.

2. Mambo yalivyo (as it is).
Huu sasa ndio UHALISIA wa mambo.
Uwezo wa TANESCO kwa sasa kuunganishia watu umeme bure, au kwa 27,000 ni mdogo mno au haupo kabisa.
Tukiwalazimisha kuunganishia watu umeme kwa hiyo 27,000 au bure, watakua wanachukua buku 27 zetu then wanaanza kutupiga chenga kuunganishia umeme. NJOO KESHO zitakua nyingi.

Msingi mkubwa wa hizi gharama ni "tusaidiane ili mambo yaende" yaani cost sharing.
Hivyo mabishano yote haya msingi wake ni nani achange nini.

Mimi binafsi nawaelewa TANESCO katika hili, elfu 27 kimsingi sio jukumu la mteja, ila kiuhalisia italitia hasara shirika tajwa."

Mwisho wa kunukuu.

1646231210943.gif


1646231211088.gif


1646231211225.gif


1646231211500.gif


1646231211365.gif


1646231211643.gif


1646231211773.gif


1646231211909.gif


1646231212043.gif
 
Tukubali kwamba hii ni Wizara ambayo waliowekwa ni watu misheni town tu.

Nimesikiliza hata huyo anayeitwa Maharage Chande ni aibu tu. Yaani anahangaika na gharama za kuunganisha umeme! Hizo gharama zinaleta faida ktk shirika?

Yeye anatakiwa azalishe na kuuza umeme kwa faida badala ya kuhangaika na kuunganisha kwa gharama kubwa. Hawa ni watu wasiojitambua. Nadhani kosa limeanzia kwenye uteuzi. Huwezi kuteua watu 'ngwini' kwenye wizara ambayo mambo yote ni sayansi.

Waziri 'ngwini'. Mkurugenzi Tanesco 'ngwini' Bodi ya watu 8 ina wahandisi wawili ambao walishasahaulika kwenye bodi ya mainjinia, wengine pia ni Ngwini.

Biashara ya umeme inahitaji uzalishaji wa kisayansi na kuuza umeme kisayansi. Ni tofauti na kutafuta wateja wa Multichoice au kuuza ticketi za TFF.
Mimi nakubaliana na wewe, Tanesco ni shirika kubwa sana, na lenye umuhimu.mkubwa sana, kulihitaji menejiment iliyosheheni watu wenye uzoefu na weledi wa hali ya juu hasa kwenye uhandisi wa umeme, kwani MD usipokuwa na ujuzi huo,wahandisi watakumislead, ndio maana unaskia 10% ya pato ghafi kuwa R&M , miradi ya 1.9b $ maboresho, haya yote tunamsihi Waziri ayapitie kwanza kwa kina,kabla ya kuyaimplement, kumbuka hapo hapo Tanesco ina madeni makubwa ambayo serikali inahangaika nayo, huku ina miradi mingine mingi ikiwemo JNHPP uliochukua 7.5trilion etc, so ni vyema kuangalia namna bora ya kuboresha lakini sio kuendelea kuchota fedha kwenye coffers wakati kuna sekta nyingi kama barabara (Tarura)_maji etc hazina bajeti inayotosheleza.
 
If you don’t have the answers to the very basic and straightforward questions I asked you, just say so! Going round in circles with the same unhinged arguments is a complete waste of time. You initially wanted us to be objective. So, please walk the talk.

If navigating back to my questions is hard, I am repeating them here for you.

1. What government agency, department or ministry was the auditee?

2. What kind of audit opinion did the CAG render?

3. If the CAG’s audit opinion was other than an unmodified opinion, what was the basis of that audit opinion?
Read this extract, Pulchra Animo A great pretender;

Mchanganuo wake ni kama ifuatavyo:
• TZS 290.67 bilioni ambayo ni Overdraft yenye utata.
• TZS 976.96 bilioni iliyotumika Ikulu (Reallocation) bila kupitishwa na Bunge, bila idhini ya CAG na haikukaguliwa matumizi yake.
• TZS 656.6 bilioni ambayo ilikuwatofauti (Mis-match) kati ya Fedha zilizoidhnishwa kutoka akaunti ya mapato (exchequer issue warrants) na ripoti ya fedha iliyotolewa ( exchequer release report )
• TZS 3.45 bilioni ambayo ilikuwa exchequer issues warrant ambayo ilifutwa bila sababu za msingi
• TZS 3.3 bilioni ambayo exchequer issue warrant ambayo haikuwa na vielelezo
• TZS 234.12 bilioni ni fedha ambazo hazikuingizwa kwenye exchequer account na hakukuwa na vielelezo
• TZS 189.99 bilioni hizi zilitumiwa na Katibu Mkuu Hazina bila kupata kibali cha CAG na kinyume na sharia ya Fedha

Jumla ya hoja zote hizo ni Shilingi 2.4 trilioni

7. PAC haikueleza ukweli wote kwa Umma Juu ya Hoja ya Kutoonekana kwa Shilingi 1.5 Trilioni

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kwa makusudi imeupotosha umma, kwa kutangaza kuwa CAG amesema kuwa “Hakuna Shilingi 1.5 Trilioni zilizoibiwa”. Jambo ambalo ni dhahiri kuwa SI KWELI kutokana na masuala hayo sita mabaya kwenye ripoti ya CAG. Narudia nilichosema Bungeni kuwa sio Kazi ya CAG kusema kama kuna wizi au la, isipokuwa yeye alifanya uhakiki na uhakiki huo umeonyesha maeneo ambayo nimeeleza. Hoja zote nilizoeleza Bungeni kama Mtaalamu wa Uhasibu hazikupata majibu isipokuwa viroja kutoka kwa Wabunge wa CCM. Hivyo, ninapendekeza kuwa Uchunguzi wa kina (forensic audit ) ufanyike ili kupata ukweli wa matumizi haya makubwa ya fedha za Umma zikiwemo fedha za Wafadhili. CAG ana mamlaka hayo kwa mujibu wa sheria ya Ukaguzi wa Taifa (Public Audit Act 2008). Ninaamini CAG atafanyia kazi pendekezo langu hili.

Catherine Nyakao Ruge
Mbunge, Viti Maalum Mkoa wa Mara
Februari 5, 2019
Dodoma
 
Mimi nakubaliana na wewe, Tanesco ni shirika kubwa sana, na lenye umuhimu.mkubwa sana, kulihitaji menejiment iliyosheheni watu wenye uzoefu na weledi wa hali ya juu hasa kwenye uhandisi wa umeme, kwani MD usipokuwa na ujuzi huo,wahandisi watakumislead, ndio maana unaskia 10% ya pato ghafi kuwa R&M , miradi ya 1.9b $ maboresho, haya yote tunamsihi Waziri ayapitie kwanza kwa kina,kabla ya kuyaimplement, kumbuka hapo hapo Tanesco ina madeni makubwa ambayo serikali inahangaika nayo, huku ina miradi mingine mingi ikiwemo JNHPP uliochukua 7.5trilion etc, so ni vyema kuangalia namna bora ya kuboresha lakini sio kuendelea kuchota fedha kwenye coffers wakati kuna sekta nyingi kama barabara (Tarura)_maji etc hazina bajeti inayotosheleza.
Tatizo ni ujuaji wa waziri. anajweka kama mtu anayejua sana, kumbe anasoma internet na kuja na akili ya websites. Kwa kuwa hataki kujiona hajui, pia hataki kujifunza.
 
Uko wrong mkuu tanesco walikuwa na cashflow difficulties sababu ya bei zenu za siasa shirika likashindwa kujiendesha sababu kwa sasa shirika halipati subisidies from govt so kwasasa wanahitaji financial stability hayo mengine yatafanyika tu ni suala la muda
 
Chuki za kichokochoko!kusini mwa jangwa la sahara Tanzania ndio inaongoza kwa bei ndogo kuliko nchi zote.
 
Read this extract, Pulchra Animo A great pretender;

Mchanganuo wake ni kama ifuatavyo:
• TZS 290.67 bilioni ambayo ni Overdraft yenye utata.
• TZS 976.96 bilioni iliyotumika Ikulu (Reallocation) bila kupitishwa na Bunge, bila idhini ya CAG na haikukaguliwa matumizi yake.
• TZS 656.6 bilioni ambayo ilikuwatofauti (Mis-match) kati ya Fedha zilizoidhnishwa kutoka akaunti ya mapato (exchequer issue warrants) na ripoti ya fedha iliyotolewa ( exchequer release report )
• TZS 3.45 bilioni ambayo ilikuwa exchequer issues warrant ambayo ilifutwa bila sababu za msingi
• TZS 3.3 bilioni ambayo exchequer issue warrant ambayo haikuwa na vielelezo
• TZS 234.12 bilioni ni fedha ambazo hazikuingizwa kwenye exchequer account na hakukuwa na vielelezo
• TZS 189.99 bilioni hizi zilitumiwa na Katibu Mkuu Hazina bila kupata kibali cha CAG na kinyume na sharia ya Fedha

Jumla ya hoja zote hizo ni Shilingi 2.4 trilioni

7. PAC haikueleza ukweli wote kwa Umma Juu ya Hoja ya Kutoonekana kwa Shilingi 1.5 Trilioni

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kwa makusudi imeupotosha umma, kwa kutangaza kuwa CAG amesema kuwa “Hakuna Shilingi 1.5 Trilioni zilizoibiwa”. Jambo ambalo ni dhahiri kuwa SI KWELI kutokana na masuala hayo sita mabaya kwenye ripoti ya CAG. Narudia nilichosema Bungeni kuwa sio Kazi ya CAG kusema kama kuna wizi au la, isipokuwa yeye alifanya uhakiki na uhakiki huo umeonyesha maeneo ambayo nimeeleza. Hoja zote nilizoeleza Bungeni kama Mtaalamu wa Uhasibu hazikupata majibu isipokuwa viroja kutoka kwa Wabunge wa CCM. Hivyo, ninapendekeza kuwa Uchunguzi wa kina (forensic audit ) ufanyike ili kupata ukweli wa matumizi haya makubwa ya fedha za Umma zikiwemo fedha za Wafadhili. CAG ana mamlaka hayo kwa mujibu wa sheria ya Ukaguzi wa Taifa (Public Audit Act 2008). Ninaamini CAG atafanyia kazi pendekezo langu hili.

Catherine Nyakao Ruge
Mbunge, Viti Maalum Mkoa wa Mara
Februari 5, 2019
Dodoma

How does this breakdown answer my questions? You told me you understand the audit process and have been through an audit for four years. Is this the kind of audit opinions you were receiving from your auditors?
 
How does this breakdown answer my questions? You told me you understand the audit process and have been through an audit for four years. Is this the kind of audit opinions you were receiving from your auditors?
Wewe umepania kubisha tu kupoteza muda. Haya mambo yako kwenye Hansard ya Bunge bado unataka mimi nielezee audit trail ya CAG. Magufuli alikwiba, period. Hivyo vitu vingine ni Nonsense, I log off
 
Wewe umepania kubisha tu kupoteza muda. Haya mambo yako kwenye Hansard ya Bunge bado unataka mimi nielezee audit trail ya CAG. Magufuli alikwiba, period. Hivyo vitu vingine ni Nonsense, I log off

Labda usema hujui audit inafanyikaje. Audit queries sio audit opinion. Kama kweli wewe umewahi kukaguliwa kwa miaka minne, basi ulikuwa auditee wa ajabu sana, kama hulijui hili.

What audit opinion(s) did the CAG render at the end of the day? That’s how you gauge the severity of the issues raised. If you don’t know, just say so. All else is a compendium of BS!
 
Japo alisema ^mimi na JPM ni key-two kimoja,^ kauli hiyo haina ukweli wowote. Uteuzi wake tu ni ushahidi mmojawapo. So, kivuli chake lazima kinamwakisi mtu mwingine ^car-bee-sir! huenda Mstaafu wa Msoga?
kwani jpm mungu kwamba kila mtu lazima afuate style yake?,kila rais na style yajke,Nyerere kuna kipindi alisihi serikali isiuze NBC bank,,, mkapa akaibinafsisha,
kila kiongozi na style yake,,magufuli sio mungu
 
JNHHP inaendelea kujengwa kama kawaida mkuu. Hakuna wa kuzuiaJNHPP isikamilike. Serikali inatoa hela zote kwa wakati.

LNG plant haiwezi kuua JNHPP. Hakuna mwenye akili mbovu kama hizo. Hilo liko wazi.
hao washamba wenzangu wa uswekeni wanaona mradi unachelewa,eti wanachelewa kuanza kumwaga masifa kwa mwendazake,, [emoji23][emoji23]
 
I don’t know about you, but I worship absolutely no human being! By putting racketeers on a pedestal, you’re making mockery of distinguished leadership. When your admired gangster left the high office, the country couldn’t even afford to pay salaries and benefits of its civil servants without donor support. He was a professional beggar and racketeer, who thrived on political thuggery!

It was no accident that he earned a place on CDM’s list of shame!
mkuu utapata tu kazi ,[emoji1745],punguza stress[emoji23][emoji23]
 
If you don’t have the answers to the very basic and straightforward questions I asked you, just say so! Going round in circles with the same unhinged arguments is a complete waste of time. You initially wanted us to be objective. So, please walk the talk.

If navigating back to my questions is hard, I am repeating them here for you.

1. What government agency, department or ministry was the auditee?

2. What kind of audit opinion did the CAG render?

3. If the CAG’s audit opinion was other than an unmodified opinion, what was the basis of that audit opinion?
sasa we jamaa,unataka mwenzako aanze kutoa figure za CAG utadhani yeye ndo ana documents?,CAG alisema pesa trilion 1.5 hazionekani,,,tangu hapo akaanza kusakamwa,,,na hatimae kustaafishwa,
watu wamejijengea viwanja vya kupitisha mapaleti ya manoti vijijini mwao,,,
tueleze mahesabu ya EPA alizokula jk,,

au Richmond na pengine PAP..
mwendazake alishindwa kuwafunga akina mzee Ruge na mhindi,kwasababu zile zilikua ni majungu ya kisiasa tu,
huwezi kutumia umeme wa watu mwisho wa siku kwenye kulipa uanze chenga na kudai eti pesa za umma,,
mwendazake aliwaweka ndani katika mchezo wa kisiasa aonekane eti anakamata mafisadi waliokuwa enzi za Jk, na hivyo kum discredit jk ili yeye achukue point za kisiasa,
pia akaachia kina bob seya kwa kudikiliza maneno ya majungu eti jk aliwafunga,,wakati hao wacongo walikamatwa enzi za utawala wa mkapa,,
akasimamisha project ya gesi,makusudi na kuanzisha yake huku akiponda kuwa project ya gesi ni ya kipigaji,,,
akasimamisha project ya bandari bagamoja,eti ni ya kipigaji,,
mambo mengi sana
 
sasa we jamaa,unataka mwenzako aanze kutoa figure za CAG utadhani yeye ndo ana documents?,CAG alisema pesa trilion 1.5 hazionekani,,,tangu hapo akaanza kusakamwa,,,na hatimae kustaafishwa,
watu wamejijengea viwanja vya kupitisha mapaleti ya manoti vijijini mwao,,,
tueleze mahesabu ya EPA alizokula jk,,

au Richmond na pengine PAP..
mwendazake alishindwa kuwafunga akina mzee Ruge na mhindi,kwasababu zile zilikua ni majungu ya kisiasa tu,
huwezi kutumia umeme wa watu mwisho wa siku kwenye kulipa uanze chenga na kudai eti pesa za umma,,
mwendazake aliwaweka ndani katika mchezo wa kisiasa aonekane eti anakamata mafisadi waliokuwa enzi za Jk, na hivyo kum discredit jk ili yeye achukue point za kisiasa,
pia akaachia kina bob seya kwa kudikiliza maneno ya majungu eti jk aliwafunga,,wakati hao wacongo walikamatwa enzi za utawala wa mkapa,,
akasimamisha project ya gesi,makusudi na kuanzisha yake huku akiponda kuwa project ya gesi ni ya kipigaji,,,
akasimamisha project ya bandari bagamoja,eti ni ya kipigaji,,
mambo mengi sana

Muda zaidi wa kupoteza na wewe sina!
 
Tatizo ni ujuaji wa waziri. anajweka kama mtu anayejua sana, kumbe anasoma internet na kuja na akili ya websites. Kwa kuwa hataki kujiona hajui, pia hataki kujifunza.
ulitaka akasome Tanganyika library?,we wapi,mambo sikuhizi yako digitized,,kwani we bado unadhani tuko mwaka 47 au?[emoji3]
 
Muda zaidi wa kupoteza na wewe sina!
bro mi ndo master wa hii game bro,,hii kichwa huwezi kwenda nayo sawa,sharti mkia uweke katikati ya miguu,why nasnza kukujibu,,?,cause malalamishi yako inaonekana una ulteriol motives,,nasi wajuba tuko online kudeal na watu kama nyie,,
kwani lazima uwe waziri bro,,,[emoji23][emoji23],
 
Back
Top Bottom