Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Kumbe mnasaka uteuzi humu?
 
Tatizo sio thread Bali wachangiaji hawana staha
 
anacheka.....
 
Hata Mimi nimemshangaa yaani alivyoongea Catherine Ruge ni kistaarabu ila Mbowe ameongeza utumbo na shida kubwa hana IQ..

Huwezi alika mtu ambae hamna maoni sawa yet unamzodoa tena Kwa Kauli chafu mara useme uchafu wa uchaguzi nk nk hii sio sawa.
 
nafarijika kuona hata mama huwa anapitia uzi humu mjengoni mwwtu na kusoma halafu anacheka
ngoja niendelleee kuleta nyuzi zangu nahisi nitapanda pale mlimani

happy women's day
 
Kwakweli mama umeupigwa mwingi sana, wanawake wa CDM wamefarikika sana nikupongeze sana kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu, umefungua njia naamini wema huo ni mola pekee atakaye kulipa.

Unakwenda kuandika historia ambayo wengi walishidwa, ubarkiwe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…