Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Wewe ni pumbav tu, hao uliowataja Nyerere, Sokoine na Magufuli walikuwa na nini zaidi ya kuitia Tanzania umasikini?
Leo hii unataka turudi kupanga foleni za unga?
 
Jf ni kubwa sana kuliko wengine wanavyoiona

Jf ina heshima zaidi na inasomeka na kila aina ya watu na matabaka ya kila aina
Muwe mnachangia hoja kwa heshima bila kutukanana na pia kuheshimu mawazo ya wengine

Huwa anacheka kwa mengi humu unaweza kuta anamsoma kiduku pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…