Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Imagine maoni yangu yanasomwa na raisi wa nchi. [emoji1787]
Ndiyo tujitahidi kuandika mambo ya kujenga na kama ni kukosoa tukosoe kwa ukweli na kwa nidhamu.
Naamini ni mchukuaji wa maoni mengi ya humu jukwaani.
Kongole Mh. Rais Samia Suluhu Hassan.
Kongole JamiiForum.
Mungu mbariki Rais Samia.
Mungu ibariki Jamii Forum.
Mungu tubariki wana Jamii Forum wote.
 
Now all is Well ?!!!!!

Apunguze kupita huku au apite huku; wakati akipita kule na kuhakikisha mambo hayaendei mrama (hizi story za kwamba we are better off kushinda majirani) tunasahau kwamba tuna resources kushinda majirani....
 
Point kabisaaa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…