MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Wakati ule mlitaka Magufuli aongezewe muda atake asitake, Sasa mmehamia kwa Mabeyo.Rais wangu Samia Suluhu Hassan nitafurahi mno kama ukikataa CDF General Mabeyo asistaafu sasa bali nakuomba muombe umuongezee muda mpaka 2025 na ikiwezekana pia nenda nae hadi 2030 ikikupendeza.
Ameliheshimisha JWTZ na ni Jemedari sahihi, makini na aliyetukuka kabisa. Tafadhali usiiache hii Hazina bali endelea nae kwani ni Mtu Makini hasa Kimedani na Kiutendaji. Namkubali mno na hata Sisi Wananchi pamoja na 99% ya Wanajeshi tunamkubali sana CDF General Mabeyo.
Maza naye aongezewe MudaWakati ule mlitaka Magufuli aongezewe muda atake asitake, Sasa mmehamia kwa Mabeyo. Hivi Tanzania tuna matatizo gani?
Mbowe nae aongezewe muda.Maza naye aongezewe Muda
Akipewa Mtu wa Zanzibar hiyo nafasi ya CDF itakuwa si vyema sana kwa sababu zangu ambazo kwa sasa naomba nizihifadhi.Wazanzibar wanahitaji hiyo nafasi mkuu
Nawajua baadhi na Mmoja wapo yuko Mbweni ndiyo Bingwa wa Majungu kwa CDF General Mabeyo kwakuwa tu kuna Maslahi fulani kayabana na hicho Cheo alikuwa akikitaka sana Yeye.Wee unasema wakati waliopo chini yake wanatamani hata kesho atoke.
Mrushie taulo mkuuNawajua baadhi na Mmoja wapo yuko Mbweni ndiyo Bingwa wa Majungu kwa CDF General Mabeyo kwakuwa tu kuna Maslahi fulani kayabana na hicho Cheo alikuwa akikitaka sana Yeye.
Ninamstahi na pia namhifadhi Kimaadili.Mrushie taulo mkuu
AstaghafurlahMaza naye aongezewe Muda