F35-Bomber
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 1,345
- 1,069
Changamoto ijp kutoka znz ,CDF kutoka znz au the first woman ijp au cdf ni maoni yangu tuuWazanzibar wanahitaji hiyo nafasi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto ijp kutoka znz ,CDF kutoka znz au the first woman ijp au cdf ni maoni yangu tuuWazanzibar wanahitaji hiyo nafasi mkuu
Hivi ni mzee kumbe?, Mi naona kama yuko 50'sMzee kachoka, nikimtazama machoni naiona kabisa tamaa yake ya kustaafu akingali na heshma zake
Hivi mnadhimu yakub alishiaga wapi?Wee unasema wakati waliopo chini yake wanatamani hata kesho atoke.
Sawa, na mainland iwe lake zone,,, [emoji28][emoji28]Akipewa Mtu wa Zanzibar hiyo nafasi ya CDF itakuwa si vyema sana kwa sababu zangu ambazo kwa sasa naomba nizihifadhi.
CDF atokee Tanzania Mainland tu sawa?
SawaNamkubali sana jenerali akifika miaka 75 ya umri ndio wamstaafishe
He's around 62 kama sijasahauHivi ni mzee kumbe?, Mi naona kama yuko 50's
Astaafishwe wengine wakamate hakuna mtu muhimuRais wangu Samia Suluhu Hassan nitafurahi mno kama ukikataa CDF General Mabeyo asistaafu sasa bali nakuomba muombe umuongezee muda mpaka 2025 na ikiwezekana pia nenda nae hadi 2030 ikikupendeza.
Ameliheshimisha JWTZ na ni Jemedari sahihi, makini na aliyetukuka kabisa.
Tafadhali usiiache hii Hazina bali endelea nae kwani ni Mtu Makini hasa Kimedani na Kiutendaji.
Namkubali mno na hata Sisi Wananchi pamoja na 99% ya Wanajeshi tunamkubali sana CDF General Mabeyo.
AondokeMtu aliyetaka kumfuta Rashid Abdallah, kumbe wana wanamkubali? [emoji2][emoji2]
Astaafu kwani lazima aongezewe muda chawa mnajipendekeza sanaNawajua baadhi na Mmoja wapo yuko Mbweni ndiyo Bingwa wa Majungu kwa CDF General Mabeyo kwakuwa tu kuna Maslahi fulani kayabana na hicho Cheo alikuwa akikitaka sana Yeye.
Atake AsitakeMaza naye aongezewe Muda
Majenerali huwa ukomo wao ni 70 kama akiwa na afya.Namkubali sana jenerali akifika miaka 75 ya umri ndio wamstaafishe
Chawa Aliyeshiba DamuAstaafu kwani lazima aongezewe muda chawa mnajipendekeza sana
Majenerali huwa ukomo wao ni 70 kama akiwa na afya.
Hahahaha..Kwa njinsi alivyofanikisha misheni kali ya kuwanasa magaidi bila kutumia hata kiwembe; Commando Lt. Urio afikiriwe.
Au mnataka kumtupa kama toilet paper? Hamna utu kabisa ninyi.