Rais Samia ikikupendeza muongezee muda CDF General Mabeyo

Rais Samia ikikupendeza muongezee muda CDF General Mabeyo

Soon anakuja general makame wa kutoka mchambawima au kibanda maiti

Huyo ngosha atastaafu kwa mujibu
 
Akipewa Mtu wa Zanzibar hiyo nafasi ya CDF itakuwa si vyema sana kwa sababu zangu ambazo kwa sasa naomba nizihifadhi.

CDF atokee Tanzania Mainland tu sawa?
Sawa, na mainland iwe lake zone,,, [emoji28][emoji28]
 
Yaani watu wengine sijui mkoje mwanzo mlikua mnamkataa na kupiga sana kelele kwa mwenda zake kumpendelea home boy wake. Leo baada ya kukupa cheo umeanza kumpigia debe kwa mama apate kuongezewa mda ili ujipendekeze tena upate cheo kingine cha mserereko. We mwache aende tu mda wake umefika ingekua hivyo wengi tulitamani Mwamnyange aendelee mpaka kufa kwake. Kama umetumwa ndugu umefeli.
 
Nashauri na Sirro aongezewe muda si ndio ukweli mtupu ndugu zangu?
 
Rais wangu Samia Suluhu Hassan nitafurahi mno kama ukikataa CDF General Mabeyo asistaafu sasa bali nakuomba muombe umuongezee muda mpaka 2025 na ikiwezekana pia nenda nae hadi 2030 ikikupendeza.

Ameliheshimisha JWTZ na ni Jemedari sahihi, makini na aliyetukuka kabisa.

Tafadhali usiiache hii Hazina bali endelea nae kwani ni Mtu Makini hasa Kimedani na Kiutendaji.

Namkubali mno na hata Sisi Wananchi pamoja na 99% ya Wanajeshi tunamkubali sana CDF General Mabeyo.
Astaafishwe wengine wakamate hakuna mtu muhimu
 
Nawajua baadhi na Mmoja wapo yuko Mbweni ndiyo Bingwa wa Majungu kwa CDF General Mabeyo kwakuwa tu kuna Maslahi fulani kayabana na hicho Cheo alikuwa akikitaka sana Yeye.
Astaafu kwani lazima aongezewe muda chawa mnajipendekeza sana
 
1. Kaimarisha mahusiano ya jedhi na wananchi, siku hizi hakuna ile wanajezi wa depo wanavamia kijiji na kuembeza mkongoto au wanakukamata na kukupeleka kambini kula vichura vya kutosha

2. Siku hizi hakuna yale ma bifu ya kupigana na mapolisi, naona wanaheshimiana, wanapendana kushirikiana na kusalimia zamani walikuwa wanapishana barabarani hawasalimiani wakati wote wamevaa nguo za serikali
 
Kwa njinsi alivyofanikisha misheni kali ya kuwanasa magaidi bila kutumia hata kiwembe; Commando Lt. Urio afikiriwe.

Au mnataka kumtupa kama toilet paper? Hamna utu kabisa ninyi.
Hahahaha..
 
Kwani hawajaandaliwa wengine, punguzeni umwinyi......
 
Back
Top Bottom