Rais Samia ikiwezekana kwepa kuwalenga Wasukuma moja kwa moja kwenye hotuba zako

Rais Samia ikiwezekana kwepa kuwalenga Wasukuma moja kwa moja kwenye hotuba zako

yalipokua yaanandamwa makabila mengine kwa kudhalilishwa kuwa ni wezi ulikaa. Wafugaji wa kienyeji ni waharibufu sana wa mazingira wanachojali ni mifugo yao tu ambayo hata hivyo haijawahi kuboresha maisha yao
 
Wasukuma wenyewe wanasemaje?
Tuwaulize maaana wanasumu kali sana! Nahisi tatizo la wasukuma kuacha kufuga mifugo na kuanza kusoma na kufanya biashara walitakiwa wawe watu wa porini huko maana sasa wamekuwa tishio kwa jamii! Mambo yamebadilika na tena bado ngoja 2030 mtawafahamu ni akina nani!
 
Back
Top Bottom