Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
- Thread starter
- #21
Kafufue waozao huko kwenu km unavyomnanga JPMTeeh.
Acha kutoa povu wewe sukuma gang.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafufue waozao huko kwenu km unavyomnanga JPMTeeh.
Acha kutoa povu wewe sukuma gang.
Mama na kikundi chake kinahasira sana na wasukuma maana wanajua hakiwakubaki hata kidogo! Kwa kifupi anakuja mwanza kuangalia hali ya hewa ya kisiasa!Kwa kweli mama ameteleza mno kuwananga tena kwa kuwataja kabisa huku akiwa amezungukwa na Maaskofu Wasukuma zaidi ya Saba 🤔 tena wakatoliki!
Ebu jaribu tukuone, hayo masaburi yako yatajazwa ... . Kisha upae hewaniDawa ya huyu madame inachemka
Mwendazake ananuka damu zisizokuwa na hatia.Kafufue waozao huko kwenu km unavyomnanga JPM
utamfuata huyo baba yako bandia huko halipo!Hatukubali ng'o,Baba anatuuma sana
Mbona nyie wasukuma mkiongozwa na jiwe mlikuwa na chuki na wachaga?Mama na kikundi chake kinahasira sana na wasukuma maana wanajua hakiwakubaki hata kidogo! Kwa kifupi anakuja mwanza kuangalia hali ya hewa ya kisiasa!
Hahahahha jamani mlikofikia kama humu mnahamakiana hivi kama ni live si zinapigwa kabisa na kutoana Roho!utamfuata huyo baba yako bandia huko halipo!
Daaa kimbe ilikuwa hivo? Mbona mama sio mchaga kwanini awe na hasira nao?Mbona nyie wasukuma mkiongozwa na jiwe mlikuwa na chuki na wachaga?
Kunyweni kwenye kikombe mlichokuwa mnawanywisha wenzenu.
Binti wewe ukitokwa kugongwa ndo unakuwa hauogi?Unagongwa hauogi
kwaiyo Kama kweli msiambiwe??!Niliogopa mno aliposema "tena Wasukuma!"
Zipigwe tu maana kama kutukanana tushatukanana sana sasa tunataka live zipigwe!Kama vipi zipigwe humu humu jf kati ya wafuasi wa john na hangaya
Utafanya nn ww lofaDawa ya huyu madame inachemka
Ukiweka Clip itapendeza zaidi. Natamani nisikie kabisa alivyotamka.Sasa anakosea kuwananga moja kwa moja tena kwao jamani 😂
CCM itashinda pakubwa sana utake usitakeNgonja tumwendee kwa Nfumu ndo atatujua Sukumagang hatuna mchezo. 2025 urais atausikia tu.
Dawa ya moto ni motoMbona nyie wasukuma mkiongozwa na jiwe mlikuwa na chuki na wachaga?
Kunyweni kwenye kikombe mlichokuwa mnawanywisha wenzenu.
Tuwaulize maaana wanasumu kali sana! Nahisi tatizo la wasukuma kuacha kufuga mifugo na kuanza kusoma na kufanya biashara walitakiwa wawe watu wa porini huko maana sasa wamekuwa tishio kwa jamii! Mambo yamebadilika na tena bado ngoja 2030 mtawafahamu ni akina nani!Wasukuma wenyewe wanasemaje?