Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mnashindana na Mungu?Hatukubali ng'o,Baba anatuuma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnashindana na Mungu?Hatukubali ng'o,Baba anatuuma sana
Hukatazwi kuogopa endelea kuogopa na mtasemwa sana kama mnaendelea kuchafua vyanzo vya maji.Niliogopa mno aliposema "tena Wasukuma!"
Wanazidi kusomeshwa namba.Aisee push gang again
Kama imewaumiza basi fuateni sheria za nchi maana enzi zenu tayari zimekwishaSasa anakosea kuwananga moja kwa moja tena kwao jamani [emoji23]
Nani kakupa wadhifa wa kumpangia rais wa nchi ratiba?Kipi kinamfanya ajisombe kila siku kwenda mikoa ya kanda ya ziwa?
Hii hutokea pale Walevi wanapojiona VERY SPECIAL kisa tu bia wanazokunywa zinachangia kiwango kikubwa cha kodi serikalini...Mama na kikundi chake kinahasira sana na wasukuma maana wanajua hakiwakubaki hata kidogo! Kwa kifupi anakuja mwanza kuangalia hali ya hewa ya kisiasa!
Mtakuwa mmemlisha maneno...! ? Sitaamini mpaka nisikie na kuona mwenyewe kwa masikio na macho yangu!Niliogopa mno aliposema "tena Wasukuma!"
Kila mtu atakufa. Kuwa na hek'ma we mtoto uliyezaliwa chooni.Shetani lile limekufa nmefurahi sana.
Jana MALCOM LUMUMBA alituhimiza tugeukie diplomasia....! Na aliuliza swali kujua kama tunajua diplomasia. Nilidhani swali hilo ulilijibu.Hii hutokea pale Walevi wanapojiona VERY SPECIAL kisa tu bia wanazokunywa zinachangia kiwango kikubwa cha kodi serikalini...
Acheni kujipa faraja... you're not that special
Lau kama SSH angewaona mpo special namna hiyo, asingefyeka mmoja baada ya mwingine serikalini!!!
HUO NDO UKWELI MCHUNGU MNAOTAKIWA KUUMEZA...
Kipindi Msukuma mwenzenu Magufuli anatukana kila kabila akipita njiani wewe ulikuwa wapi?Ni leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
Punguza ashki we mtoto wa kahaba.Kila mtu atakufa. Kuwa na hek'ma we mtoto uliyezaliwa chooni.
Km wengine wafurahivyo mizoga ya kwenu inavyoliwa na simbiliziShetani lile limekufa nmefurahi sana.
Rais hakoseagi,Dawa ya huyu madame inachemka
Huo uzi sijauona...Jana MALCOM LUMUMBA alituhimiza tugeukie diplomasia....! Na aliuliza swali kujua kama tunajua diplomasia. Nilidhani swali hilo ulilijibu.
Hamjamzoea?Mhe Rais ana ghaflika mno kuwasema tena kwa mabaya haimjengi kwai ni ushauri mzuri anapaswa auzingatie
Sasa ulitaka aseme wakurya au wagogo wakati ni kweli ni wasukuma?? Hivi karne ya 21 bado mnakimbizana na ma mifugo meeengiii!! Juzi nilikuwa natoka Kigoma kwenda Katavi hapo katikati tukakuta wasukuma wamekatatwa na ng'ombe elfu mbili ndani ya hifadhi ya Misitu ya serikali, imagine ng'ombe 2,000 unazurura nao Maporini kama kichaaaa wakati unaweza kuuza 1500 na kupata fedha ya kununua ardhi yako nzuri hata ekari 500 ukaweka miundombinu ya ng'ombe wako waliobaki 500 (bwawa la maji, josho, solar, nyumba mzuri ya kuishi au biashara ingine nk).Niliogopa mno aliposema "tena Wasukuma!"
Kwani uongo?Ni leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.