Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Lazima awaseme ili wabadili tabia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajua hatujui [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na wanavyo juaga kuzitumia fursa sasaTuwaulize maaana wanasumu kali sana! Nahisi tatizo la wasukuma kuacha kufuga mifugo na kuanza kusoma na kufanya biashara walitakiwa wawe watu wa porini huko maana sasa wamekuwa tishio kwa jamii! Mambo yamebadilika na tena bado ngoja 2030 mtawafahamu ni akina nani!
Kama waozavyo marehemu wa ukoo wakoMwendazake ananuka damu zisizokuwa na hatia.
Now keshaoza.
He is nothing but a yesterday news.
Exactly.Dawa ya moto ni moto
Shetani lile limekufa nmefurahi sana.Kama waozavyo marehemu wa ukoo wako
We au wazazi wako unafikiri wakifa watu hawatafurahi! Mda ni mwalimu mzuri!Shetani lile limekufa nmefurahi sana.
Utamfanya nini? ShitholeDawa ya huyu madame inachemka
Hahahha hata mimi ningejibu hivyo! Siwezi kwenda kumchagua mtu zuzu! Maneno mengi vitendo zero!Juzi Geita mtaa wa samina, Shaka aliwaambia wananzengo Samia mitano tena wakaJIBU NDOHO KWA SAUTI YA JUU
Wasukuma ni watu wa hovyo sanaNi leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
Wacha tabia za kuendekeza ubaguzi wewe.Ni leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
Waueni wote mbaki nyinyi watu wa maana!Wasukuma ni watu wa hovyo sana
Nenda zako wewe.We au wazazi wako unafikiri wakifa watu hawatafurahi! Mda ni mwalimu mzuri!
Punguza ukazuzu awavute kwa lipi?Hivi unajua saa hizi ndo wanampasua kichwa ndo maana kila muda Mwanza! Hajaenda Mbeya wala Lindi anajitahidi kuwavuta wana kanda ya ziwa!
Mtamfanya nini nyinyi ?Dawa ya huyu madame inachemka
Ni leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
WahavutikiHivi unajua saa hizi ndo wanampasua kichwa ndo maana kila muda Mwanza! Hajaenda Mbeya wala Lindi anajitahidi kuwavuta wana kanda ya ziwa!
Kipi kinamfanya ajisombe kila siku kwenda mikoa ya kanda ya ziwa?Punguza ukazuzu awavute kwa lipi?
Mna nini cha ziada hadi rais awahangaikieni nyinyi?
Tulieni dawa iwaingie vyema na hamna mamlaka ya kumkosoa mh rais wa nchi.Mhe Rais ana ghaflika mno kuwasema tena kwa mabaya haimjengi kwai ni ushauri mzuri anapaswa auzingatie