Rais Samia ikiwezekana kwepa kuwalenga Wasukuma moja kwa moja kwenye hotuba zako

Rais Samia ikiwezekana kwepa kuwalenga Wasukuma moja kwa moja kwenye hotuba zako

Tuwaulize maaana wanasumu kali sana! Nahisi tatizo la wasukuma kuacha kufuga mifugo na kuanza kusoma na kufanya biashara walitakiwa wawe watu wa porini huko maana sasa wamekuwa tishio kwa jamii! Mambo yamebadilika na tena bado ngoja 2030 mtawafahamu ni akina nani!
Tutajua hatujui [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na wanavyo juaga kuzitumia fursa sasa
 
Nakubaliana na wewe, maana wasukuma si wafugaji pakee hapa Tanzania... Kuna makabila mengine ya wafugaji pia.

SUKUMA gang watalichukua kwa namna tofauti na dhamira yake
 
Ni leo tena.

Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.

Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.

Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji

Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa

Mungu ibariki Tanzania.
Wasukuma ni watu wa hovyo sana
 
Ni leo tena.

Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.

Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.

Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji

Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa

Mungu ibariki Tanzania.
Wacha tabia za kuendekeza ubaguzi wewe.

Mmesha watesa sana watanzania kwa tabia zenu za kibaguzi kipindi kirefu
 
We au wazazi wako unafikiri wakifa watu hawatafurahi! Mda ni mwalimu mzuri!
Nenda zako wewe.

Wazazi wangu kama wamewatendea watu mabaya lazima hao watu wafurahi tu.

Mimi sitaweza kuwazuia.

Unafikiri ndugu na jamaa wa ben sa nane wamehuzunika na kifo cha shetani kuu jiwe?
 
Hivi unajua saa hizi ndo wanampasua kichwa ndo maana kila muda Mwanza! Hajaenda Mbeya wala Lindi anajitahidi kuwavuta wana kanda ya ziwa!
Punguza ukazuzu awavute kwa lipi?

Mna nini cha ziada hadi rais awahangaikieni nyinyi?
 
Ni leo tena.

Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.

Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.

Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji

Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa

Mungu ibariki Tanzania.


Mbona wamassai na wamang'ati wanasemwa kila siku. Ukweli ni ukweli tu kama ni ukweli aseme bila woga. Hakuna kundi la watu maalumu kwenye nchi hii!!
 
Back
Top Bottom