JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Akija huko mbebeeni mabango kuwa "URais Unakupwaya" au "2025 Tutakunyoosha"Dawa ya huyu madame inachemka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akija huko mbebeeni mabango kuwa "URais Unakupwaya" au "2025 Tutakunyoosha"Dawa ya huyu madame inachemka
Mmh! Hii imepitiliza sasa. Sio poa.Unafikiri mama ni kama lile zezeta lenu lililokuwa na betri kifuani?
Akili huna unakalia ukabila majianasema ngombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku.
anasema kwato za ngombe wa wasukuma zinakanyaga ardhi na kuharibu ecolojia na hivyo kiusababisha ukame
my take. michongo iendelee.
Usikariri. Huyo bibi atapinduliwa humo humo chamani. Ccm inaweza kushinda ila asiwe huyo bibi.CCM itashinda pakubwa sana utake usitake
Swala langu ni lile lile wasukuma mnatupigia kelele mitandaoni kwa sababu ya ukabila wenuPunguani mkubwa.
Huna wafu wanaooza kwenye ukoo wako?
Mawazo ya kijinga na huijui ccmUsikariri. Huyo bibi atapinduliwa humo humo chamani. Ccm inaweza kushinda ila asiwe huyo bibi.
Unataka kusema awe bze na Kenge wewe hunijuiiiiiiiiiii?Mama ajikite na Wakojani.
Haya hongera wewe unayeijua.Mawazo ya kijinga na huijui ccm
Senge sana we k*maUnafikiri mama ni kama lile zezeta lenu lililokuwa na betri kifuani?
.........pia asiwataje wamachinga moja kwa moja awaite wajasiriamali wa kujitegemea..........Ni leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
Lawama ziwaendee hao maaskofu. Kulikuwa na ulazima wa yeye kualikwa?!Kwa kweli mama ameteleza mno kuwananga tena kwa kuwataja kabisa huku akiwa amezungukwa na Maaskofu Wasukuma zaidi ya Saba 🤔 tena wakatoliki!
Naona ngosha kaandamanaMamaaaaaaee zake
Mbona we una mavi tumboni na m.a.t..k.o.n.i hatusemiUnafikiri mama ni kama lile zezeta lenu lililokuwa na betri kifuani?
Umepanic mjane wa magu fool.Mbona we una mavi tumboni na m.a.t..k.o.n.i hatusemi