Rais Samia ikiwezekana kwepa kuwalenga Wasukuma moja kwa moja kwenye hotuba zako

anasema ngombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku.

anasema kwato za ngombe wa wasukuma zinakanyaga ardhi na kuharibu ecolojia na hivyo kiusababisha ukame

my take. michongo iendelee.
Akili huna unakalia ukabila maji
 
Kama ni kweli asiseme kisa kuwahofia?

Mbona Wachaga wanasemwa waziwazi wezi miaka nenda Rudi..


Acha vitisho vya kitoto
 
.........pia asiwataje wamachinga moja kwa moja awaite wajasiriamali wa kujitegemea..........
 
Kwa kweli mama ameteleza mno kuwananga tena kwa kuwataja kabisa huku akiwa amezungukwa na Maaskofu Wasukuma zaidi ya Saba 🤔 tena wakatoliki!
Lawama ziwaendee hao maaskofu. Kulikuwa na ulazima wa yeye kualikwa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…