Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Jitengeni! Anzisheni sukumagang empire!Kipi kinamfanya ajisombe kila siku kwenda mikoa ya kanda ya ziwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitengeni! Anzisheni sukumagang empire!Kipi kinamfanya ajisombe kila siku kwenda mikoa ya kanda ya ziwa?
Ndugu msoso mpeseni ,tuachane na hizi chuki za kikabila kwani muasisi wake hayupo tena,tumshukuru Mungu kwa kutuondolea huyu mwendakuzimu.Wasukuma ni watu wa hovyo sana
Well saidNdugu msoso mpeseni ,tuachane na hizi chuki za kikabila kwani muasisi wake hayupo tena,tumshukuru Mungu kwa kutuondolea huyu mwendakuzimu.
Sasa chuki yetu inapaswa kuwa dhidi ya CCM, na tumuombe Mungu sana atende kama alivyotuondolea yule muovu, atuondolee na CCM.
Hydroxo... Umepanic sana mkuu ebu relax.Unafikiri mama ni kama lile zezeta lenu lililokuwa na betri kifuani?
JF imekuwa na mambo ya hovyo.Mtakuwa mmemlisha maneno...! ? Sitaamini mpaka nisikie na kuona mwenyewe kwa masikio na macho yangu!
Mamaaaaaaee zakeWasukuma wenyewe wanasemaje?
Wanaongelea mambo ya kifugaji wote wanaongea theories tu hakuna mfugaji practical hapo anayejua ng'ombe anakunywa maji kiasi gani na mbona ng'ombe tu na wanyama wengine je? Kesho tutaambiwa Tembo wa Ruaha wamekausha vyanzo vya maji.Sasa kwa nini kila kukicha huko huko kwa wafugaji wa ng'ombe wa kunywa lita 40 kwa siku?
Kafeli zero hilo jituHivi unajua saa hizi ndo wanampasua kichwa ndo maana kila muda Mwanza! Hajaenda Mbeya wala Lindi anajitahidi kuwavuta wana kanda ya ziwa!
Mkuuu acha na hao watoto wadgo Zuia hisia zakoPunguani mkubwa.
Huna wafu wanaooza kwenye ukoo wako?
Adui wetu samiaHahahhaa nchi hii watu kweli wamegawanyika sana! Yaani siku wakikutana watauana maana chuki imetanda si mchezo kuna mda mtu hajui hata adui yake ni nani!
Aogope kwani walimpigia kura?Ni leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
Naunga mkono hoja [emoji1666][emoji1666] jamani hawa wenzetu tuwasaidie, haiwezekani mtu una ng'ombe 1000 halafu unazurura nao mwanzo mwisho huko Maporini... Yaani mtu anazurura na milioni Mia mbili au Mia tatu porini badala ya kuiweka kwa biashara??? Noooo...Sasa ni wakati muafaka wa Kutenga maeneo ili wafugaji wasizurure hovyo na mifugo kuharibu mazingira na mashamba.
Hii ni kweli kabisa, huko Katavi na Kigoma nimekuta uharibifu mkubwa sana wa hawa wenzetu.. Kwenye misitu kuna kitu wanaita 'kutahiri miti' aisee ukiona hiyo kitu utalia machozi. Huwa najiuliza hawa wenzetu wana ugomvi gani na misitu????Wasukuma waharibifu wa mazingira,wameharibu kwao Sasa wapo rukwa huko wanachunga ng'ombe,wanakata Sana miti bila sababu
Ndiyo maana nikasema kisiasa,siyo kiutawala,elewa!!..na tabora kiutawala ipo Kanda ya magharibi siyo katiKwa hiyo Kanda zinagawanywa kwa kufuata makabila? Na Bukoba, Kigoma, Mara, kote ni wasukuma? Ama kweli usione mtu anajua kuandika ukadhani ameelimika.
Ni babako lile, au ukikuwa huoni likitoka na taulo chumbani kwa bimkubwawakoUnafikiri mama ni kama lile zezeta lenu lililokuwa na betri kifuani?
Hawa Ng"ombe wanaokunywa Lita 40 Kwa siku wako mkoa gani Jamani?Sasa kwa nini kila kukicha huko huko kwa wafugaji wa ng'ombe wa kunywa lita 40 kwa siku?