#COVID19 Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

#COVID19 Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

Basi hangaya ni dhaifu sana
Aaah wapi acha aseme ukweli. Ana hofu ya Mungu huyo. Umesikia watu wangapi wamepotea katika utawala wake toka 19th March? Hayupo na hatakuwepo.
 
Kama kweli walitofautiana lakini akashindwa kusimamia alichokiamini mpaka mwisho basi hakuwa na msimamo.

Sikuwahi kumuona Samia akiwa amevaa barakoa wakati wa Magufuli, mtu pekee niliyemuona amevaa barakoa alikuwa ni Kikwete pekee, au kama, yupo aliyemuona Samia kuvaa barakoa wakati ule hata anioneshe picha na Magufuli akionekana.

Inawezekana Samia aliogopa kitumbua chake kisiingie mchanga akawa tayari kuweka reheni afya yake.
Ni unafiki wa hali ya juuuu
 
Basi hangaya ni dhaifu sana
lakini kunaminong'ono iliwahi tokea wakati wa utawala wa jiwe kuwa huyu mama alikuwa hapatani nae .
Na kuna maneno kuwa huyu mama hakuwa chaguo lake . Wanasema alimpendekeza Mwinyi huyu aliepo Zanzibar, you never know.
 
Makosa ya JPM hayawezi kumfanya Chief Hangaya Rais Bora. Afocus kwenye mipango yake, aachane na story za mtu ambae hawezi kujitetea tena. Ni juzi tuu kasema kwa mdomo wake kuwa nchi ilikua imefikia Uchumi wa Kati, lakini imerudi kuwa low income country. Apambane walau Uchumi urudi alipouacha JPM. Apambane na mfumuko wa Bei, ashushe Bei za pembejeo za kilimo na Vifaa vya ujenzi.
 
Kama kweli walitofautiana lakini akashindwa kusimamia alichokiamini mpaka mwisho basi hakuwa na msimamo.

Sikuwahi kumuona Samia akiwa amevaa barakoa wakati wa Magufuli, mtu pekee niliyemuona amevaa barakoa alikuwa ni Kikwete pekee, au kama, yupo aliyemuona Samia kuvaa barakoa wakati ule hata anioneshe picha na Magufuli akionekana.

Inawezekana Samia aliogopa kitumbua chake kisiingie mchanga akawa tayari kuweka reheni afya yake.
Huenda denoo J pia asingevaa kama angekuwa sehemu ya utendaji chini ya JPM.
 
Sema yote mom wetu. Yule Dictator tunajua ya ndani alivyo Ku treat. Mungu akupe nguvu. Unayo support kubwa nyuma yako. Ningekuwa Mimi ni wewe katika hiyo nafasi na Yule Jamaa ningekimbikla uhamishoni kabisa. Lakini ulivumilia. Siku zote mvumilivu hula mbivu[emoji140][emoji140][emoji140][emoji140]

KAZI Iendelee. Endelea kuimarisha mahusiano mazuri ndani na nje ya nchi. Tanzania siyo kisiwa.
Akisema ndio umasikini wako na familia yako utaondoka?
 
lakini kunaminong'ono iliwahi tokea wakati wa utawala wa jiwe kuwa huyu mama alikuwa hapatani nae .
Na kuna maneno kuwa huyu mama hakuwa chaguo lake . Wanasema alimpendekeza Mwinyi huyu aliepo Zanzibar, you never know.
Hilo naamini, na ukiangalia nature ya Jiwe alikuwa haamini katika mwanamke hasa katika nafasi za juu.

Yaani pale alimu'appoint' tu kama bahati mbaya kulinda 'empire' kwa ajili ya future yake ya 'umilele'!
 
Rais Samia akiwa Washington Dc, anasema wakati wa utawala wa awamu ya 5, mara kadhaa alijikuta anatofautiana na Rais Magufuli.

Mojawapo ya tofauti zao zilikuja kwenye suala zima la kudili na ugonjwa wa Uviko-19.

My take:
Rais Samia inatosha sasa, marehemu hasimangwi tumuache apumzike, tugange yajayo.

View attachment 2188626
Achà theories za kijinga. Marehemu atasemwa Sana Kama legacy yake alivyoiandika. Kama aliua atasemwa kuwa aliua, Kama alipoteza watu tutamsema Sana kuwa alipoteza watu. Hakuna kupumzika, aje aseme Kwanini ALITENDA aliyoyatenda. Mbonà Hitler anasemwa kwa maovu yake.
 
Yaani nilitaka uteketeze kila kitu. Mshenzi yule anakebehi COVID. Yaani mi ilinichapa Mungu akaniokoa. Nikapoteza Shangazi zangu wawili na Kaka zangu wawili. Achilia mbali ndugu, Jamaa na marafiki na majirani. Yaani alaaniwe Lucifer Yule aungue Motoni. Ninaamini alikutana na wale waliopotea enzi zake.
Kwahiyo walipotea sababu ya Magu?

Mbona Marekani walikufa watu laki 5 pamoja na kuchukua hatua zote zile?

Usiwe mpumbavu!
Tena usipoangalia hata wazazi wako utazika hivi karibuni
 
Back
Top Bottom