Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo



Kifo kimetokana na watu wanaolipwa na kodi zetu!
 
Kuna kazi ya Mungu na kazi ya mwanadamu, hizi hisia zilizoibuka kuhusu tukio hili ni sauti ya Mungu maana Mungu husema na mioyo, ni heri leo tusikie sauti yake na turekebishe, kinyume na hilo tutashangazwa na njia zake za kufanya mambo maana njia zake si sawa na njia zetu.
 
Mna uhakika hayo maneno yametamkwa na Rais wa nchi?
Yaani hata yeye mwenyewe samia akikaa baadaye akayasikiliza maneno yake atakataa kama kayasema....inabidi in future awe anasoma script neno kwa neno....hana kabisa kipaji cha free style... ChoiceVariable naona rais amevibubujisha machozi ya furaha vyombo vya ullinzi...4Rs
 
Kwakweli kauli hii SI mjalabu kabisa kwahiyo serikali inaunga mkono matendo ya utekaji na wanajua kina nani wanausika ndio maana anato kauli za hovyo kama hizi
 
Msiba kwa JIRANI....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…