Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huyu rais bana, anadhani hatujui tofauti za vifo vya huko, achia mbali hatua zinazochukuliwa na wahusika kupatikana. Haya mauji na utekani wa sasa wa wapinzani, serekali yake ndio wahusika namba moja, na watu wote wenye akili timamu wanajua serekali yake ndio wahusika wakuu. Hiki kifo cha Ali Kibao kimekuja kuondoa shaka ya wale waliokuwa wanadhani vyombo vya dola sio wahusika. Hii hotuba yake lazima angeitoa hivi hivi maana yeye ndio muhusika, hivyo lazima avitetee vyombo vya dola.
Uzuri pamoja na geresha zake za kitoto, bado hajafanikiwa kubadilisha ukweli uliopo kwenye akili za wananchi walio wengi, wala kurejesha imani kwa vyombo vya dola na serekali yake.
Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable
Uzuri pamoja na geresha zake za kitoto, bado hajafanikiwa kubadilisha ukweli uliopo kwenye akili za wananchi walio wengi, wala kurejesha imani kwa vyombo vya dola na serekali yake.
Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable