Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

Huyu rais bana, anadhani hatujui tofauti za vifo vya huko, achia mbali hatua zinazochukuliwa na wahusika kupatikana. Haya mauji na utekani wa sasa wa wapinzani, serekali yake ndio wahusika namba moja, na watu wote wenye akili timamu wanajua serekali yake ndio wahusika wakuu. Hiki kifo cha Ali Kibao kimekuja kuondoa shaka ya wale waliokuwa wanadhani vyombo vya dola sio wahusika. Hii hotuba yake lazima angeitoa hivi hivi maana yeye ndio muhusika, hivyo lazima avitetee vyombo vya dola.

Uzuri pamoja na geresha zake za kitoto, bado hajafanikiwa kubadilisha ukweli uliopo kwenye akili za wananchi walio wengi, wala kurejesha imani kwa vyombo vya dola na serekali yake.
Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable
 
Huyu rais bana, anadhani hatujui tofauti za vifo vya huko, achia mbali hatua zinazochukuliwa na wahusika kupatikana. Haya mauji na utekani wa sasa wa wapinzani, serekali yake ndio wahusika namba moja, na watu wote wenye akili timamu wanajua serekali yake ndio wahusika wakuu. Hiki kifo cha Ali Kibao kimekuja kuondoa shaka ya wale waliokuwa wanadhani vyombo vya dola sio wahusika. Hii hotuba yake lazima angeitoa hivi hivi maana yeye ndio muhusika, hivyo lazima avitetee vyombo vya dola.

Uzuri pamoja na geresha zake za kitoto, bado hajafanikiwa kubadilisha ukweli uliopo kwenye akili za wananchi walio wengi, wala kurejesha imani kwa vyombo vya dola na serekali yake.
Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable
Vibaraka wote hawatapewa nafasi ya kufanya vurugu na watasakwa popote.

Samia must go si ndio? Jitokezeni basi hiyo siku muone.
 
Hi kauli kuwa kifo ni kifo tu inazidi kutupa uchungu watanzania.

Kama huyu mzee angekufa kwa kifo cha kawaida. Nani angelaani?

Sasa hili la kusema kifo ni kifo tu linatoka wapi? Panick au kujisahau?
Speaker wa Bunge Dr Tulia , wakati akitoa Pole baada ya Kifo cha Kibao ( RIP), aliandika katika Page yake kwamba Anachukia Kifo, watu wakamshambulia MTANDONI kwamba hakupswa kusema anachukia Kifo, kwa kuwa kile haikuwa ni Kifo bali yalikuwa ni Mauji. Wachangiaji walitaka waone akisema anachukia MAUAJI. Angalau yeye alisema anchukia Kifo regardless kimetokeaje. Lakini kinapokuwa ni kifo kinachotokana na Mauaji, hicho huwezi kusema eti Kifo ni Kifo tu. Pamekosekana Hekima Hapo, lazima tuwe wakweli, bila kujali itikadi zetu. Ingekuwa ni kule kwa wenzetu, hapo angekuwa alishatoa APOLOGY long.
 
Vibaraka wote hawatapewa nafasi ya kufanya vurugu na watasakwa popote.

Samia must go si ndio? Jitokezeni basi hiyo siku muone.
Nasema hivi, ataua sana, acha watu wajitokeze ili aue vizuri. Kama aliamua kuua wipinazani akitegemea atakuja na porojo za uchunguzi unaendelea, basi muambieni safari hii ameukalia. Arudishe aliowateka wakiwa hai au wamekufa, tutawazika kama tulivyomzika Ali Kibao.
 
Duh.
Wapi hao? Hawahawa wanaozifuata wao wenyewe? Bas mtaua sana....tunawaambia kilasiku pesa haioi....ooh aah....haya sasa ...umefanikiwa kumvuta anatumia ulichomvutia kuvuta wengine.Mtaua sana
Kumbe nimechanganya bandiko. Mods wafute😁.

Salale. Tuzaliane tu. Vifo vipo.
 
Nasema hivi, ataua sana, acha watu wajitokeze ili aue vizuri. Kama aliamua kuua wipinazani akitegemea atakuja na porojo za uchunguzi unaendelea, basi muambieni safari hii ameukalia. Arudishe aliowateka wakiwa hai au wamekufa, tutawazika kama tulivyomzika Ali Kibao.
Mtarudi mlikokuwa awali,vibaraka hawana nafasi Nchi hii,kajifokezeni basi kwenye Samia must go tuone.

Kama mliufya awamu ya 5 na Sasa mtaufyata,mlidhani mnaweza mchezea Rais mnavyotaka si ndio?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kifo Cha kibao kimeibua hisia kubwa kutokana na namna alivyouawa.yaani katekwa hadharani na watu wenye gari za serikali mbele ya umma na kesho yake kupatikana ameuawa.
 
Back
Top Bottom