dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
Mbowe mwenyewe hajionei huruma kwahiyo hastaili kuonewa huruma abaki huko alipo,kumchekea nyani shambani ujira wake ni kuvuna mabua.
Unamuonea huruma,unamfutia kesi,akirudi uraiani anakusanya tena wapumbav wenzie waandamane[emoji3525]
Ukitaka uonewe huruma,jionee huruma mwenyewe kwanza kisha waonee huruma na wenzio...
Angemuacha mama afanye kazi ngumu aliyonayo ya kuongoza nchi.
Mkumbuke those first days za mama alifanya huruma nyingi kwa wana CHADEMA na Mbowe wao,aliwafutia makesi, alitengua ile hukumu ya fine na mamilioni ya pesa walirudishiwa
Sasa mama awafanyie nini hawa watu au awanyonyeshe ndo waone wanahurumiwa???[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
HARAKATI ZINGINE ZA KI FALA...
Unamuonea huruma,unamfutia kesi,akirudi uraiani anakusanya tena wapumbav wenzie waandamane[emoji3525]
Ukitaka uonewe huruma,jionee huruma mwenyewe kwanza kisha waonee huruma na wenzio...
Angemuacha mama afanye kazi ngumu aliyonayo ya kuongoza nchi.
Mkumbuke those first days za mama alifanya huruma nyingi kwa wana CHADEMA na Mbowe wao,aliwafutia makesi, alitengua ile hukumu ya fine na mamilioni ya pesa walirudishiwa
Sasa mama awafanyie nini hawa watu au awanyonyeshe ndo waone wanahurumiwa???[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
HARAKATI ZINGINE ZA KI FALA...