Rais Samia ingilia kati suala la Mbowe ukubalike zaidi kisiasa; kesi ikitupwa au akishinda itakuharibia taswira yako na ya CCM

Kwanini aingilie kati, wacha sheria zichukue mkondo wake, akiingilia kati si ndio mnasema anaingilia uhuru wa mahakama? kila siku mnadai serikali isiingilie mahakama au ndio mnajitoa ufahamu, haki haipatikani kwa raisi kuingilia kati bali haki hupatikana mahakamni.
 
Umesikiliza mahojiano ya BBC leo!!..ulimsikia na mkuu wa police vizuri!!..narudia tena Mbowe akifungwa,akiachiwa huru whatever the case is Bado atakua mshindi!!..
 
Nawaza tu..
Muelekeo wa kesi ukionesha tu upande wa Jamhuri kushindwa ama kesi ikaonekana ni ya kubumba kulingana na ushahidi wenye mashaka basi walioko pale juu hawataweza kukubali kuaibika kitakachofuata kuna watu watabebeshwa zigo la lawama na kutolewa kafara kwamba hawakutenda majukumu yao kwa weledi..
 
Hili jambo uwezekano wa kuisha kwa namna ya kumuaibisha Raisi Samia ni mkubwa sana. Na mbaya zaidi ameanza kuliongelea kishabiki. Namuonea huruma, hajui siasa huyu.
 
Aingilie kati kwa sababu atakuja kuaibika na kupoteza heshima yake
 
Hili jambo uwezekano wa kuisha kwa namna ya kumuaibisha Raisi Samia ni mkubwa sana. Na mbaya zaidi ameanza kuliongelea kishabiki. Namuonea huruma, hajui siasa huyu.
Yaani leo Chadema ndiyo mnamhurumia Rais Samia asiaibike.? Subirini aibike mfurahi. Kelele nyingi za nini. Huku mnasema kesi inamharibia hapo hapo mnataka afute kesi? Acheni kesi imharibie ili mchukue advantage hiyo kisiasa.
 
Umesikiliza mahojiano ya BBC leo!!..ulimsikia na mkuu wa police vizuri!!..narudia tena Mbowe akifungwa,akiachiwa huru whatever the case is Bado atakua mshindi!!..
Kama ni hivyo kweli na Chadema mnaamini hivyo, kwa nini mna lia lia aachiwe kwa huruma ya Rais. Acheni gaidi afungwe miaka 20 jela ili awe mshindi. Ndiyo mtajua kama kufungwa ni ushindi au la. Na wewe andaman a ufungwe ili ukajiunge naye uwe mshindi
 
Mpaka hapa mama kashachafuka, aingilie asiingilie, amfunge amuache huru kosa la kiufundi limeshafanyika na hakuna njia yoyote ya kujisafisha. Walikuwa wakimsifu mama anaupiga mwingi mpaka nje ya uwanja kumbe ndio walimaanisha haya?
 

..ccm kutumia polisi na mahakama kupambana na wapinzani siyo jambo jema kwa nchi yetu.

..tunaweza tukafika mahali wananchi wakawa hawana imani na polisi na mahakama zetu.

..vyama vya siasa vingeachwa vipambane kwenye majukwaa kwa hoja bila polisi kuingilia kwa niaba ya chama tawala / ccm.
 
Hata mjadala huu hujui unaongelea nini kwasababu umeshaonyesha interest ya chama wacha nikuache great thinking siyo siasa tu Rafiki yangu siyo kila mwenye mawazo mbadala ni mwanasiasa wa upinzani
 
Umemaliza kila kitu
Hakuna lolote lenye mantiki kutoka kwenye hiyo post ya TOHATO . Amemaliza kila kitu???? You guys are joking...

Mabadiliko ya namna Mama anavyoendesha nchi hayatokani na kusoma risala yoyote ile na CCM.

Kuna msemo wa kiarabu unasema "Punda haendi isipokuwa kwa magongo"

Tafakari
 
Wanajitekenya na kucheka wenyewe hawa watu hahahahahahaahahahaa
 
Si ndio vizuri iwe mbaya kwa Mheshimiwa Rais Samia ili 2025 wapinzani washinde uchaguzi hahaahahahahahaha
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kweli kabisa ndugu
 
Hawa vijana akili zao ni fupi sana.

Hapa umejaribu kumuelewesha unadhani hata amekuelewa???
 
Serikali ya Marekani imetoa ushauri serikali ya ccm wakae na chadema meza ya mazungumzo, je serikali ya cccm watakubali? wanaweza kuwakatalia Marekani? kwa hili la Mbowe serikali imejiweka pagumu sana?
Jidanganyeni tu hahahahahaha.

Eti serikali ya Marekani imetoa ushauri.

Kesho ukiambiwa serikali ya China imetoa ushauri watu wanaotaka kuvuruga amani si wa kuchekea utasema nini???
 
Kama umemsikiliza Samia akihojiwa na Salim Kikeke, kuna kitu kimoja utakuwa umeelewa…. kitu gani hicho?
 
Ukurasa mpya mnautaka leo???

Kwani sio yeye aliyewaambia hivyo??? Akasema apewe muda kidogo halafu atakaa nanyi muongee, kilichotokea ni nini?? Matusi ya nguoni sio??

Kesi na iendelee, alishasema mapema ukimzingua anakuzingua. Hatutaki kelele na lawama hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…