AFRICAN POWER
Senior Member
- Jun 17, 2022
- 151
- 234
Kwani siyo nchi huru?Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Zitaje hizo dalili ili watu wazijadili. Namna nyingine, hili andiko lako linakuwa nibumvea au majungu.Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Itakuwa ni nchi ya kwanza jirani ya Tanganyika kuwa na tatizo hilo? Tutawapokea kama wakimbizi haina shida maana tumeshawapokea majirani zetu toka kila pande wakitaka hifadhi ya ukimbiziPolitical instability ya nchi jirani huwezi kusema it’s none of your business. Labda kama hujui unachoongea!
Hili ni swali ambalo Tanganyika hawajiulizi! ni kipi wanapata kwa uwepo wa Zanzibar?Hamna cha maana ambacho Zanzibar inaipatia Tanganyika
Mbona hatujaungana na Comoro upande wa kusini mashariki
All in all kila upande uwe na mamlaka yake, yaani kuwe na Zanzibar huru na Tanganyika huru
Tuambizane tu mipaka yetu ya bahari ilipo waende zao tuwaache wapambane vita yao ya identity crisis.
Hakuna faida yoyote ya muungano kwa bara unawanufaisha wao halafu ungrateful people.
Wana akili za kitoto kweli kama utalii wao wanadhani utalipa, ebu waangalia visiwa vya Caribbean kama Jamaica, Barbados wanaenda watu wangapi halafu wajilinganishe nao. Na hizo nchi bado maskini.
Bila ya bara ndio wataelewa amani waliyo nayo nani alikuwa anawatunzia.
Ifike wakati tuwaache waende inatosha; hakuna cha serikali tatu let Zanzibar go.
Karume, who is also First Vice-President of Tanzania, resented Nyerereʼs interference in his persecution of the Arabs and Asians left on the island. He now fears that Nyerereʼs government is trying to gain control over Zanzibarʼs relatively hefty foreign exchange reserves.
"Mbuzi alichinjwa wazee wakaniambia ruka nami nikaruka" J k Nyerere si rahisi kuitenganisha bara na visiwaniKuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Nchi huru zina mwakilishi UN, zina uhuru wa kusaini international treaties. Zanzibar ilitaka kujiunga na Organisation of Islamic Cooperation (OIC), Nyerere akarukwa na akili uanachama wa OIC ukafutwa. Nchi huru gani inayokatazwa kujiunga na ushurikiano wa kimataifa?Kwani siyo nchi huru?
Good for them ni muda wa kurudisha uchumi wao kwanini tuwe kikwazo; issue ni mipaka ya bahari.Punguza jazba halafu soma historia hapo chini. Zanzibar ilikuwa na uchumi mzuri kabla Nyerere hajaifilisi.
Ndiyo Nyerere alivyowadanganya? Zanzibar ni taifa lenye historia ya zaidi ya miaka 2000. Kama unayotabiri yangekuwa ni kweli yangeshatokea huko nyuma. Leo hii wanaoivuruga na kutaka kuigawa Zanzibar ni wale waliovamia mwaka 1964. Tangu wafanye uvamizi, kazi yao ni kumwaga damu za Wazanzibari, kuwapa watu vilema, kunajisi watu, na maovu mengine mengi sana.
Kwa hio we unataka Muungano ili Pemba na unguja wakae salama, kabla ya Muungano hawakuwa salama?
Sawa ila kuwa makini unaweza jinyeaKuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Kulinganisha pre-independence Zanzibar na post-independence Zanzibar ni uvivu wa kufikiria. Unadhani Karume alikuwa mjinga aliposema yeye alikuwa tayari kuwa VP ndani ya Muungano wa Serikali?
Mkuu Suzy Elias, ungekuwa umetutendea haki kama ungesema hilo tishio la usalama wa JMT ni tushio gani endapo Zanzibar itepewa hadhi sawa na haki sawa ndani ya JMT kama ilivyo Tanzania Bara, mfano muungano wa federation au muungano wa mkataba?.Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
PWanabodi,
Kwa hoja za muungano Mama Samia alizoshusha, ningekuwa ni uwezo wangu, ningeshauri October 2020, Mama Samia ndiye ampokee Dr. Shein kule Zanzibar, ili 2025, aje ampokee Magufuli, maana kwa maoni yangu, kwa uongeaji huu, huyu mama ndiye Mzanzibari pekee anayekubalika kuweza kuchagulika kuwa rais wa JMT kutokea Zanzibar, vinginevyo Wazanzibari wausahau kabisa urais wa Muungano, wao mwisho wao ni umakamo wa rais pekee.
Anasema Zanzibar inafaidika sana na muungano, kisiasa, kiuchumi na kijamii, ikiwemo kufaidika kielimu, wakati wa muungano, Zanzibar haikuwa na chuo kikuu chake hivyo Wanzanzibari wote wa enzi hizo waliofika elimu ya vyuo vikuu, wamesomea bara.
Mama Samia amesema watu waachiwe kuujadili muungano kadri watakavyo na hata kutema nyongo kuhusu muungano, na serikali inazitumia hizo hoja zinazolalamikiwa kuimarisha muungano, akasema ni heri watu wafunguke na kusema hivyo kuyatoa madukuduku yao, kuliko kunyamaza na madukuduka ndani yao, siku wakilipuka moto utawaka, hivyo watu waachwe waseme.
Amesema Zanzibar ni visiwa hivyo viko wazi pande zote, hivyo faida kubwa kabisa ya muungano ni ulinzi usalamax amani na na utulivu wa Zanzibar, bila muungano, ilikuwa ni rahisi sana kuivamia Zanzibar na Zanzibar ikivamiwa ni rahisi sana kuivamia bara, hivyo muungano umeimarisha sana ulinzi na usalama, amani na utulivu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Amezungumza mengi na kumalizia kwa kusisitiza Muungano ni jambo jema, tuulinde na kuuenzi.
Kwa hoja kama hizi za huyu mama Samia, kama age sio issue sana, si huyu mama atatufaa sana 2025 au tuwashauri kwa vile Magufuli analamika sana kuhusu urais, mara ni mateso, mara ni kazi ngumu, mara ni mzigo mzito, tumshauri rais Magufuli, kwa vile Samia anatosha sana, hivyo tumpunguzie mateso, hana haja ya kuendelea na mateso, mzigo mzito na kazi ngumu ya urais, na hata kama ni wale tausi au wanyama wa Magogoni, au yale majabali ya Chamwino, tutamjengea Chato na kumuomba bora apumzike tuu mapema, na kumpisha Mama Samia ndio amalizie ngwe yake iliyobakia?.
Paskali
Sultan wa Oman atarudi kutawala ZanzibarKukiwa na serikali tatu kuna tatizo gani?