Sidhani kama jeshi litakubali hilo. Wakikubali wanaiweka nchi hii katika precedence mbaya. Maana kesho hao hao ambao wamechomekwa Wanaweza tumia jeshi kubakia madarakani.Kura zitaibwa ndo maana jeshi wamewekwa at pa
Duu kumbeeeNimeelewa sasa kauli ya member mmoja humu kuwa CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
Ili wakulindie kura sio.
Ombi langu kwenu (JWTZ) ni kwamba mwaka huu na mwakani tunaelekea kwenye chaguzi za nchi yetu na hapa ndipo usalama mkubwa ndani ya nchi unapotakiwa kuangaliwa kwa ukaribu zaidi, niwaombe sana Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenye Kamandi zenu tofauti kujipanga kwa ajili hii, mwaka huu tunaanza na chaguzi za serikali za mitaa kwa sababu tuko wengi, ni chaguzi zinazoshirikisha vyama vingi vyenye nia tofauti, hatuoni kwamba kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa kwahiyo ni vyema tukakaa tayari kukabiliana na chochote kile kitakachojitogeza.
Hatusemi tukafanye chaguzi za kutumia nguvu hapana, taratibu, sheria na miongozo ya uchaguzi itafuatwa lakini Jeshi na vikosi vyote vya ulinzi na usalama vikae tayari kukabiliana na hali yoyote itakayojitokeza, mwakani tunaenda kwenye uchaguzi mkuu na ule ndiyo wenye vishindo vikubwa basi ikabidi nitoe tu taarifa na kuwaweka 'alert' kwamba hayo mambo yanakwenda kutokea na jeshi hatuna budi kujiweka tayari.
Iliandaliwa na huyo huyo mama wa kizimkazi.Duu kumbeee
Ilekesi ya ugaidi ya Mbowe iliandaliwa!!??
Mwizi wa kura anajiandaa kuibaAmiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT amevitaka vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama na hasa Jeshi kukaa tayari Kwa Lolote Ili kulinda amani ya Nchi wakati Taifa linajitayarisha na uchaguzi Mkuu kuanzia mwaka huu.
Sio Kwa Nia mbaya ni Kwa Nia njema tuu maana Machadema hayakawii kuogopa 😆😆
===
Ukweli ndiyo huo.Mwizi wa kura anajiandaa kuiba
Kwa vile na yeye ni wa Oman [emoji1190] hawezi kutia nenoRais anawaza uchaguzi badala ya kuwakabili wakimbizi wanao shikiria nyazifa za juu
Aisee nimeshangaa sana kwamba rais ajaongezea neno kabisa, au sababu hai wakimbizi ni CCMKwa vile na yeye ni wa Oman [emoji1190] hawezi kutia neno
Anajiamini kwa sababu jeshi lipo upande wa chama chake.Hajiamini