Pre GE2025 Rais Samia: Jeshi na vikosi vyote vya Ulinzi vikae tayari kwa lolote wakati wa uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hajiamini, ndio maana aliburuta jeshi kwenye uchaguzi.
Ukiwa na majeshi yote katika chama chako hauwezi kosa jiamini hizo ndizo haiba za watu madikteta na vyama vya kidikteta.
 
Kenya walipeleka Jeshi mtaani still raia wakaandamana sasa Samia anazania tunawaogopa wanajeshi
 
Kenya walipeleka Jeshi mtaani still raia wakaandamana sasa Samia anazania tunawaogopa wanajeshi
Watanzania sio wakenya.

Katiba ya Kenya haikupatikana kwa njia ya maridhiano huu ni utofauti wa kwanza mkubwa kati ya Tanzania na Kenya, Mtanzania na Mkenya.
 
Ndio safi hata Bangladesh Wapinzani Wakuu wamesusa lakini Shekh Yasina ameshinda na maisha yanaendelea.

Vyama vingine vitashiriki, Chadema ndio nani kwenye Nchi hii?
We poyoyo, hiyo Hasina Yuko wapi? Alikimbia Hadi kkasahau magagulo yake,
Ndio safi hata Bangladesh Wapinzani Wakuu wamesusa lakini Shekh Yasina ameshinda na maisha yanaendelea.

Vyama vingine vitashiriki, Chadema ndio nani kwenye Nchi hii?
 
Watani zangu CHADEMA wataanza kulialia kama kawaida yao.maana wamezoea malalamiko na kulialia kama vifaranga vya kuku vilivyotelekezwa
🤣🤣🤣🤣
Anaogopa huyo Mama yako, Sasa uoga wote huo wa nini? Wakati amani ipo tele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…