Rais Samia, jipunguzie kazi kwa kumuweka Makonda au Nape kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Hao vijana ni wajasiri, wenye kuthubutu, wanajiamini na hawaogopi mtu yeyote yule isipokuwa Rais tu, of course! Mwenye sifa hizo, unamuhitaji sana kipindi hiki:

Watazuia, kikamilifu na bila uoga, chokochoko zozote zile zenye nia mbaya na hivyo kukupatia pumziko la akili (amani) itakayokuwezesha kupanga mipango yako madhubuti ya kimaendeleo.

Nawasilisha, ukifutwa uzi basi nitaendelea kujilalia tu!
 
Kwani kuna chokochoko?? Mama hana muda wa kupumzika?? Unataka Simbachawene atolewe? Utasubiri sana
 

Makonda umeamua kuomba kazi kwa kujianzishia uzi?
 
Kwani kuna chokochoko?? Mama hana muda wa kupumzika?? Unataka Simbachawene atolewe? Utasubiri sana
Ulinzi unafraid 100% huyo! Mangalore vzr......busara zimo, mdomo wake unaweza kusubiri kuongea n.k
 
Ni sahihi kuna kipindi unahitaji watu wa hivyo Ili Nchi iende kwa sababu tumefika mahala kila mtu ana sharubu na anaweza kutoa tamko,kupinga nk

Kwa sasa nikiangalia ni kama Serikalini haina nidhamu au kuna watu wanesusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…