- Thread starter
- #41
Ni kweli, sisi ni wa ajabu mno maana akitokea asiyeendesha nchi kwa namna hiyo huitwa dhaifu, anaendeshwa, hana maono n.k., mwishowe hufanyiwa kila aina ya vitimbi ashindweSisi Watanzania ni watu wa ajabu sana. Tunataka Raisi aendeshe nchi kwa ubabe na hofu