N NIMEONA JF-Expert Member Joined Aug 4, 2019 Posts 3,862 Reaction score 5,693 Aug 19, 2021 Thread starter #41 wajibisha said: Sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana. Tunataka Raisi aendeshe nchi kwa ubabe na hofu Click to expand... Ni kweli, sisi ni wa ajabu mno maana akitokea asiyeendesha nchi kwa namna hiyo huitwa dhaifu, anaendeshwa, hana maono n.k., mwishowe hufanyiwa kila aina ya vitimbi ashindwe
wajibisha said: Sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana. Tunataka Raisi aendeshe nchi kwa ubabe na hofu Click to expand... Ni kweli, sisi ni wa ajabu mno maana akitokea asiyeendesha nchi kwa namna hiyo huitwa dhaifu, anaendeshwa, hana maono n.k., mwishowe hufanyiwa kila aina ya vitimbi ashindwe