Rais Samia: Kabla sijaingia, biashara na Kenya ilikuwa ngumu. Asema kuchoma vifaranga wa Kenya yalikuwa makosa

Vifaranga tu, watu wanachinja mazizi ya ng'ombe mkoa mzima wakipatikana wachache tu wenye ‘mad cow’ disease na kuwapa hasara wafugaji ya kufa mtu.

Export ya mifugo ina taratibu zake ukivunja hakuna negotiations kwenye wasimamizi makini. Hata paka na mbwa wa ndani nchi za wenzetu akitoka tu nje ya nchi kurudi lazima awe amechomwa vaccination ya rabies vinginevyo haingii.

Seuse mtu anaeingiza vyakula wakati sheria ipo wazi inataka certification yenye kuonyesha hawana magonjwa, halafu unatetea uvunjifu wa sheria.
 
Yeye vipi Serikali yake ilipowaacha watu wa ajali ya ndege masaa matatu wakiwa wamefunikwa na maji hadi kufa kule Kagera? Anaona liko sawa? Kwa vifaranga ndio kinamuuma.

Mama yupo kwenye harakati za mfa maji. Uongozi umemshinda kila kitu kinaenda halijojo.

Tulivyokuwa na matatizo ya maji, umeme na bei ya vyakula angekuwa na muda wa kushughulika nayo wala asingekumbuka habari ya vifaranga vya kuku.

Kama ana guts azungumzie namna Kenya walipokuwa wanasema tanzanite inatoka Kenya.
 
Halafu akisema hayo ndio yatatuhakikishia umeme na maji.
 
Sina wanajulikana hao waliochoma vile Vifaranga why nao wasichomwe vingaja. Siamini kama Magu alitoa tamko la kuvichoma bali naamini walikuwa waimba nyimbo zake.
 
Kwenye hili Rais Samia yupo sahihi. Kila mwenye akili timamu alijua uamuzi ule ulikuwa ni ukichaa, na Dunia nzima iliiona Tanzania kama ni nchi ya watu wenye uwendawazimu.
 
Ilikuwa ni amri ya marehemu.

Mengine yote umenena vema.
 
Akili nyingine ni ya ajabu sana, inakuwaje unachoma Moto viumbe hai bila huruma??? Hata kama mmiliki ameingiza kimakosa haikufaa apigwe faini ili siku nyingine afuate utaratibu!?

Hatuwezi kuunga mkono Jambo hilo!
 
Mbona hasemi na Ben Saanane yuko wapi Azory Gwanda na Tundu Lissu nani aliwapiga risasi na watu waliookotwa bahari wamekufa nani aliwaua au vifaranga kwake ni bora kuliko roho za binadamu.
 
Absolutely right.
 
Jumapili iwe siku maalumu ya kuwaomba wakenya msamaha, lakini wakati huo maafisa wote waliochoma waje TBC na watubu na yule aliyeagiza kama yupo kaburini aombewe msamaha!
 
Akili nyingine ni yaajabu sana ,,inakuwaje unachoma Moto viumbe hai bila huruma??? Hata kama mumiliki ameingiza kimakosa haikufaa apigwe faini ili siku nyingine afuate utaratibu!?

Hatuwezi kuunga mkono Jambo hilo!
Ungekuwa na akili ungeuliza kwanza sababu iliyosababisha vikachomwa.
 
Akili nyingine ni yaajabu sana ,,inakuwaje unachoma Moto viumbe hai bila huruma??? Hata kama mumiliki ameingiza kimakosa haikufaa apigwe faini ili siku nyingine afuate utaratibu!?

Hatuwezi kuunga mkono Jambo hilo!
We na mama yako mmeona vifaranga ila watu waliopotea na waliouawa sio bora kuliko kitoweo.
 
Fikra mfu kabisa kutoka kwa asiyeelewa kitu.

Haya, tukubali vifaranga walikuwa na ugonjwa. Wangefungiwa mahali bado ugonjwa ungesambaa nchini? Hata hivyo hakuna mtu yeyote, aliyefanya vipimo vyovyote juu ya afya ya wale vifaranga.

Yule kichaa wetu alikurupuka tu na kusema, "choma moto". Akakurupuka tena, "hao ng'ombe wote waliokanyaga ardhi ya Tanzania, taifisha wote, hili siyo shamba la bibi".

Yule mtu alikuwa mgonjwa, hata baba zake wadogo wana ugonjwa huo huo wa akili, wapo pale Bukoba. Inaonekana ni tatizo ambalo lipo kwenye ukoo wao. Tatizo ni mifumo yetu. Iliwezekana vipi mtu ambaye aliwahi kuugua tatizo la akili, huku kukiwa na matendo yake mengi yanayotia shaka ukamilifu wa akili yake, anapenya mpaka kuja kupewa nafasi ya juu ya uongozi. Kosa siyo la mgonjwa, bali walio wazima.
 
Do you really, from the deep bottom of your heart believe the guy could sign off on something like that?
... did it happen or just a mere story? If it happened, who authorized it? If it was wrongly done, was anybody accountable? If none was accountable, who do you think was behind that saga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…