Rais Samia: Kabla sijaingia, biashara na Kenya ilikuwa ngumu. Asema kuchoma vifaranga wa Kenya yalikuwa makosa

Rais Samia: Kabla sijaingia, biashara na Kenya ilikuwa ngumu. Asema kuchoma vifaranga wa Kenya yalikuwa makosa

Tumesha zoea maigizo, sasahivi mgao wa umeme wanaita UPUNGUFU wa umeme, wanasema kutakuwa na UPUNGUFU wa umeme sehemu x x x.

Wanaona aibu kutumia neno mgao.
 
Vifaranga waliochomwa walipatikana na nini?
Villingizwa nchini bila ya kufuata taratibu za sheria, unatakiwa uwe na certificate za mamlaka ya nchi vilipotoka ya kuwa havina magonjwa, muuzaji nae awe na kibali cha ku-export na viingilie mipaka rasmi.

Sio ukajinnunulie vifaranga kwa yeyote tu, halafu uviingize kwa njia ya panya, hiyo ni risk kubwa sana ya infection control. Ndio maana kuna taratibu za kisheria usipofuata madhara yenyewe Ndio kama hayo.
 
Vitu vingine ni kumchafua Magufuli haonekane hakufaa, Magufuli anausika nanini kuhusu kuchoma vifaranga? hayo Mambo angeulizwa Waziri wa mifugo na maafisa mifugo, wakati vifaranga vinachomwa yeye alikuwa Ikuru na kushughuli zake pengine alikuja kupata tarifa mambo yameisha tokea,Mimi mwenyewe iliisha wahi kunitokea,nilikamatwa na Mabwana Hafyia wa Samaki,nikaombwa kibali cha kusafirisha hao Samaki,nikawaonyesha kumbe hawana tatizo na kibali wao wanataka rushwa,wakataka ela nyingi nikawakatalia waliona nawakatalia,wakachukua wale Samaki wakawamwagia mafuta ya taa na kuwateketeza eti walikuwa hawafahi kuliwa,hivi kweli ninaweza kutoka hapo ninasema Magufuli ameteketeza Samaki wangu.Mengine tunawatwisha mizigo Rais ambayo hawayafahamu.
Twende mbele turudi nyuma Jiwe alikuwa na roho mbaya na muuaji, ndiyo maana kila kitu kiovyu watu wanamsukumia yeye
 
Yeye vipi Serikali yake ilipowaacha watu wa ajali ya ndege masaa matatu wakiwa wamefunikwa na maji hadi kufa kule Kagera? Anaona liko sawa? Kwa vifaranga ndio kinamuuma.

Mama yupo kwenye harakati za mfa maji. Uongozi umemshinda kila kitu kinaenda halijojo.

Tulivyokuwa na matatizo ya maji, umeme na bei ya vyakula angekuwa na muda wa kushughulika nayo wala asingekumbuka habari ya vifaranga vya kuku.

Kama ana guts azungumzie namna Kenya walipokuwa wanasema tanzanite inatoka Kenya.
Sukuma gang mtapata tabu sana
 
Fanyeni kazi mwacheni marehemu apumzike hapa tupo gizani basi muone hata vibaya basi
 
Tukio lilitokea akiwa wapi?
Aache mipasho afanye kazi inayotakiwa kufanywa na hizi mambo kama hizi zimeongeza kumpunguzia credibility, hata akiongea hivi haijengi chochote kwa mtanzania
Arusha akiwa anaongea na mawakili wa wanasheria wa Afrika mashariki...
 
Yeye si alikuwa makamu wa Rais, alitoa ushauri gani? Aache unafiki
Unaloweza kuzuia kwa mikono yako unazuwia, usipoweza kuzuia kwa mikono yako unazuwia kwa kulisemea kwa mdomo wako, usipoweza kulisemea unabaki kulichukia moyoni mwako.

Hakunna zaidi ya hayo. Haitatokea Tanzania hii makamu wa Rais akampinga Rais (boss wake) hadharani. Labda kwenye vikao vyao walipingana, utayajuwa?
 
Back
Top Bottom