Rais Samia: Kabla sijaingia, biashara na Kenya ilikuwa ngumu. Asema kuchoma vifaranga wa Kenya yalikuwa makosa

Rais Samia: Kabla sijaingia, biashara na Kenya ilikuwa ngumu. Asema kuchoma vifaranga wa Kenya yalikuwa makosa

Fikra mfu kabisa kutoka kwa asiyeelewa kitu.

Haya, tukubali vifaranga walikuwa na ugonjwa. Wangefungiwa mahali bado ugonjwa ungesambaa nchini? Hata hivyo hakuna mtu yeyote, aliyefanya vipimo vyovyote juu ya afya ya wale vifaranga.

Yule kichaa wetu alikurupuka tu na kusema, "choma moto". Akakurupuka tena, "hao ng'ombe wote waliokanyaga ardhi ya Tanzania, taifisha wote, hili siyo shamba la bibi".

Yule mtu alikuwa mgonjwa, hata baba zake wadogo wana ugonjwa huo huo wa akili, wapo pale Bukoba. Inaonekana ni tatizo ambalo lipo kwenye ukoo wao. Tatizo ni mifumo yetu. Iliwezekana vipi mtu ambaye aliwahi kuugua tatizo la akili, huku kukiwa na matendo yake mengi yanayotia shaka ukamilifu wa akili yake, anapenya mpaka kuja kupewa nafasi ya juu ya uongozi. Kosa siyo la mgonjwa, bali walio wazima.
Unajua Sheria inasemaje kuhusu, bidhaa za chakula au mifugo kuvuka mipaka ya Nchi!? ... anyways summarization ya hoja yako inaonesha ubongo wako umelalia wapi...so let us agree not to agree.
 
Alikuwa na chiki na Kenyata, kwenye kampeni Odinga alisema nichagueni nitaongoza kama Magufuli. Kenyata akasema mnataka muongozwa kidikteta, magazeti yazuiwe, vyama vya upinzani viziwe? Jiwe akajenga kisasi. Lilikuwa likichaa Sana!

Angejenga kisasi angempa Rais Kenyatta jr tausi? Huruma hiyo ya vifaranga vya Kenya iwafikie na wananchi wa Tanzania wapatiwe ufumbuzi kwenye bei za bidhaa muhimu za matumizi yao ya maisha ya kila siku.
 
Back
Top Bottom