sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Halafu bado anawambia nadhani huko mliko kwenye maeneo yenu mnapata.Sidhani kama serikali ya ccm inaweza kuwazuia police kukusanya rushwa .Wenyewe ccm wako madarakani kwa kuiba kura,wanawezaje kuwazuia wenzao kupokea rushwa?