Rais Samia kaniangusha na kunisononesha sana ripoti ya CAG 2021-2022

Mkuu anazungumzia mfumo maanisha mfano Waziri kaiba pesa PCCB wanaweza kumkamata na kumshtaki bila kuwasiliana na Rais? Au Katibu mkuu kiongozi kafanya ufisadi je mkurungezi anaweza akamfungulia mashtaka bila kumuomba kibali Raisi?
Ndipo umuhimu wa Katiba unapokuja !!
 
Mkuu anazungumzia mfumo maanisha mfano Waziri kaiba pesa PCCB wanaweza kumkamata na kumshtaki bila kuwasiliana na Rais? Au Katibu mkuu kiongozi kafanya ufisadi je mkurungezi anaweza akamfungulia mashtaka bila kumuomba kibali Raisi?
Ndomaana nasema kwamba mfumo uliopo unampa raisi nguvu ya kumuwajibisha mtu yoyote anaeiibia serikali.
Kwahiyo kama mkurugenzi hawezi kumchukulia hatua katibu mkuu, basi raisi anao uwezo huo na autumie kunyoosha nchi.
 
Ndomaana nasema kwamba mfumo uliopo unampa raisi nguvu ya kumuwajibisha mtu yoyote anaeiibia serikali.
Kwahiyo kama kama mkurugenzi hawezi kumchukulia hatua katibu mkuu, basi raisi anao uwezo huo na autumie kunyoosha nchi.
Hapo hapo mkutanoni unaagiza wote waliohusika wakamatwe !! Hivyo ndivyo inavyotakiwa ! Bila hivyo miaka yote itakuwa ni kukopa na kuyaletea pesa majizi yazichukue !!
 
Hapo hapo mkutanoni unaagiza wote waliohusika wakamatwe !! Hivyo ndivyo inavyotakiwa ! Bila hivyo miaka yote itakuwa ni kukopa na kuyaletea pesa majizi yazichukue !!
Kweli kabisa. Raisi umeitisha kikao ambacho kimehudhuriwa na ..

1)mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama
2) mkuu wa jeshi lote la polisi
3) mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa
4) mkurugenzi mkuu wa Takukuru
5) mkurugenzi wa mashtaka
6) mwanasheria mkuu
7) jaji mkuu
8) na kadhalika

Alafu bado unashindwa kuwachukulia hatua watuhumiwa wa wizi serikalini.

Unahofia nini tena na wakati hiyo list yote hapo juu iko mikononi kwako?
 
Nafikiri anaamisha hata hivyo vyama vingine vina wapigaji kibao, na hili lipo clear.

Cha kufanya ni kuwa na kiongozi ambae hatokani na chama chochote cha siasa.
Hata kwenye Chama tawala wapo watu waadilifu lakini wanashindwa kujua wafanye nini kwa sababu taratibu za kuanzisha Chama zimewekwa ngumu sana ili kuwazuia wenye nia njema wasipate nafasi ya kuanzisha Chama cha siasa kipya !! Na humo ndani ndio hawafurukuti kabisaaa ! Wanaogopa kushughulikiwa !!
 
Wote wale wanasubiri Order tu ya Mkuu wa Nchi na Kazi ianze palepale !!
 
nimesihia hapo nilipoona jina la JPM nikajua anayeandika akili zake kama hazipo makalioni basi zipo chato
 
Kweli kabisa mkuu. Na hata wakifanikiwa kuanzisha basi watadumbukiziwa mamluki ambao kazi yao itakuwa kukichafua chama hicho kwa style ambayo waanzilishi wa chama hawataitambua mapema.
 
Kujiridjisha ni muhimu jawezi kuchukuwa hatua bila kuwa na ushahidi wa kutosha pili, hizo invoice zinapitia mikono mingi saana kwa wote walikosea ama kazi ya procurement inafanywa na mtu mmoja. Anyway yusubiri report ya TAKUKURU
 
Kujiridjisha ni muhimu jawezi kuchukuwa hatua bila kuwa na ushahidi wa kutosha pili, hizo invoice zinapitia mikono mingi saana kwa wote walikosea ama kazi ya procurement inafanywa na mtu mmoja. Anyway yusubiri report ya TAKUKURU
Acha tusubiri mwisho wa haya yanayoendelea nchini.
 
Good answer 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…