Rais Samia kaniangusha na kunisononesha sana ripoti ya CAG 2021-2022

na katiba hiyo hiyo inampa mamlaka raisi kuwa na maamuzi binafsi .

kiufupi acha uchawa kwa kuongea usilolijua
 
WANGEKUWA WAPINZANI WOTE WANGELALA GEREZA LA KEKO NA KESHO WANGEAMKIA MAHAKAMA ya MAFISADI bahati nzuri hao wote ni MAKADA
Sabaya na yeye ni wa chama gani cha upinzani?
 
Raisi alisema huwa anapita sana humu JF. Naamini hiki uloandika atakiona na kukifanyia kazi.
Sababu tulioumizwa na upotevu huo wa mamilioni ya kodi zetu ni wengi
 
Halafu utasikia mi5 Tena hata kama hataki na ikiwezekana hadi 2030!
Kweli nchi ngumu ya mamluki!
 
Pumbavu stupid haiwezekani.. hauelewi au ?
 
Kuna mawaziri wa hovyo kibao kawakumbatia na hawana msaada wowote kwake.
Chawa hao wanaitwa chawa ukiwaelewa hawakupi tabu... Maji hii inaenda wiki ya 3 Dar kumekauka maji hayatoki Juma Aweso yupo Marekani mvua zinanyesha maji hayatoki what is this alafu baadae akaseme watupishe wakati ujinga ujinga wanafanya unaonekana stupid pumbavu stupid haiwezekani ?
 
Dah......tumpe muda banaa ....miaka 2 ni muda mfupi sana 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hatunywi sumu hatujinyongi.... Hii mistari inaonyesha walivyo jeuri.
 
Raisi alisema huwa anapita sana humu JF. Naamini hiki uloandika atakiona na kukifanyia kazi.
Sababu tulioumizwa na upotevu huo wa mamilioni ya kodi zetu ni wengi
Ngoja tuone raisi atakachowafanya wezi wetu.
 
Pumbavu stupid haiwezekani.. hauelewi au ?
Kumtukana mwizi sio suluhisho. Hata wacheza movie huwa wanatukanana afu wakishamaliza ku act wanalipwa na kila mtu kusahau alichotukanwa.

Dawa ya wezi ni raisi kuagizwa wakamatwe wafungwe na kutaifisha mali zao zote ili iwe funzo na mfano kwa wengine.

Kuwambia wajitasmini ni kuwapa njia nyingine ya kupiga kwa style ambayo wanajua itakuwa ngumu tena kujulikana.
 
Anatumbua wa chini tu ila kule juu huwa hagusi.
Kuna mawaziri wa hovyo kibao kawakumbatia na hawana msaada wowote kwake.
Kama febuary , chemba na nepi wapo tu kwa hisani ya msonga hawana lolote kichwani mwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…