6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 2,819
- 5,996
- Thread starter
- #101
Toka lini mwizi akabembelezwa au kuhamishwa kutoka sehemu aliyoiba kupelekwa sehemu nyingine akaibe zaidi?Sindio viongozi mnaowapenda hao mnalalamika nini sasa? Wanaume wakikamata nchi mnalia lia ooh madikteta. Uliona wapi mtu anayepambana na mwizi akala nae kwenye meza moja.
Dawa ya mwizi ni kunyang'anywa alichoiba, kufukuzwa na kufungwa ili iwe tishio kwa watu wengine wenye mawazo ya kuiba kama ya kwake.