Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Wabongo labda uwaletee malaika awe rais wao .hakuna rais aliyependwa nchi na wote hayupo na hatakuwepo.
Ni kweli wabongo hawana jema ila huyu wa sasa hafai kabisa.
Anafanya ya yule wa 2010-2015 ila huyu kazidisha kasi ya ufisadi
Hajali watu wa hali ya chini kabisa na ndio walio wengi.
 
Ni kweli wabongo hawana jema ila huyu wa sasa hafai kabisa.
Anafanya ya yule wa 2010-2015 ila huyu kazidisha kasi ya ufisadi
Hajali watu wa hali ya chini kabisa na ndio walio wengi.
Mkiambiwa mlete ushahidi wa huo ufisadi hamuwezi kuketa cha ajabu miradi yote ya maendeleo na mazuri mengi aliyoyafanya ndani ya miaka yake miwili hamtaki hata kuzungumzia kama siyo chuki ni nini?
 
Mkiambiwa mlete ushahidi wa huo ufisadi hamuwezi kuketa cha ajabu miradi yote ya maendeleo na mazuri mengi aliyoyafanya ndani ya miaka yake miwili hamtaki hata kuzungumzia kama siyo chuki ni nini?
Tangu karithi madaraka kafanya nini?
Nijulishe mkuu
 
Ha ha ha ha
 
Wanaomtetea sa100 ni watumishi wa serikali wachache sana, na viongozi wa kuteuliwa. Hata kwenye makundi ya whatsapp, wanaomtetea wengi wao ni viongozi au wanaotegemea kupata teuzi (chawa)
Pole sana kwa yaliyokukuta!😄
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumtetea huyu maza
 
Huyu mama kama unaweza pata connection zake nijulishe inbox nimtumie angalau laki aongezee kweny mtaji wake!! Nakala iende kwa Lucas mwashamba, natumai nae atakumbana na sekeseke kama lako mtoa mada!!
Ndugu Lucas nilishamuhaidi kumtandika makofi siku nikionana nae uso kwa uso
 
Unataka ushahidi upi zaidi ya ule uliopo kwenye ripoti ya CAG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…