Rais Samia kaona hatari ya Sukuma gang na CHADEMA kuungana, anawatenganisha

Rais Samia kaona hatari ya Sukuma gang na CHADEMA kuungana, anawatenganisha

Cha ajabu kitu gani hapo? nyinyi ni watoto wa juzi mmetoka vyuoni na kurukia tu kujiita wanaharakati wakati uwezo wenu mdogo wa kuchanganuwa mambo.

Mimi si wa kwanza wala wa mwisho ngoja nikuingize darasa dogo tu la siasa.

Baba wa Taifa JK Nyerere kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 alimfanyia kampeni mgombea ubunge wa Nccr Mageuzi Paul Ndobho na yeye binafsi alitamka wazi kura yake ya ubunge atampigia Balozi Ndobho na alishinda ubunge kwenye jimbo la Baba wa Taifa la Musoma vijijini kabla halijagawanywa na kuzaliwa jimbo la Butiama.

Pili tukienda kwenye nchi iliyomfano wa kidemocrasia duniani Mrepublican Collin Powel alitamka wazi anamuunga mkono mgombea wa Democratic Barrack Obama na kura yake atampa Obama na alifanya hivyo.

Maalim Seif alimuacha mgombea wake Urais wa ACT na alimuunga mkono Tundu Lisu hamkuliona hilo?

Ni kipi kinachokushangaza kwangu nikikwambia mama namuunga mkono na akifanya vizuri nitampigia kura?

Vijana wa Chadema jitafakarini sana aina ya siasa zenu, muda si mrefu mtamuona hata Mbowe hafai wakati Mbowe anawazidi akili kwa mbali na hataki siasa za kiharakati, hii ni mara ya pili Freeman Mbowe anakutana na Rais, yule hana akili kama hizi zenu za kumpinga mtu kwa kila jambo halafu baadaye urudi tena kwa mtu yuleyule kumuomba jambo fulani.

Kama nyinyi ni wanaharakati kweli katiba inaruhusu mikutano na maandamano ni kwa nini mnataka ruhusa ya Rais ilihali ni haki yenu ya kikatiba? Ni lini haki ikawa inaombwa?
Ulikosea mwanzo ulivyotumia wingi. Wewe muunge mkono yeyote umpendaye hakuna atakayekushangaa wala kukuuliza.
 
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%

Ni kweli pona pona ya Rais Samia ni ugomvi wa wafuasi wa Chadema na sukuma gang. Siku sukuma gang na chadema wakiuangana ndio mwisho wa CCM.
 
Bora kuwa huru,
Uhuru una thamani ya juu kuliko chochote ndio maana tuliwaondoa wakoloni.
Kipi mtawaliwe kwa nguvu mupate mahitaji yenuya msingi au muishi kwenye huo upigaji watoto wenu wakose ajira na vitu vipande bei kiholela?
 
Hata samwel sitta aliungana na akawapa mileage ya kumshambulia lowasa, mwisho wa siku wakaenda na lowasa wakimsafisha huku sitta akionekana alikuwa na chuki binafsi.

Magufuli aliwajua hao ni watu wa maslahi. Sifa za upinzani wa tanzania;
1. Hawana misimamo inayodumu.
2. Ukiwapa nafasi ya kufanya siasa huru ujue umewapa mbegu ya uharibifu wako hata JK anajua.
3. Ni wapinzani wa majira, kwamba huwa wapinzani wakikosa fursa za ulaji na upigaji.
4. Wengi wamegeuza vyama vyao vya siasa kama vitega uchumi vyao ndio maana vina turn over kubwa ya maafisa waandamizi wa vyama vyao maana huwa wanapishana linapokuja suala la ulaji.
[/QUOT]

Ila wakipigwa Risasi hawajui ulaji si ndio?.
 
Mnasahau sisi, MATAGA na Sukuma Gang, sote ni wanasisiem.

Tanzania tuna kundi la wapigaji wanaojiita wapinzani.

2025 msijekulialia tumewaibia kura.

On aibu, CCM inaongoza miaka yote na ufisadi juu. Matrilioni ya hela yameibiwa miaka yote sitini ya Uhuru, umebaki kulaumu upinzani ambao haudai kodi Wala kukusanya Kodi.
 
Hata samwel sitta aliungana na akawapa mileage ya kumshambulia lowasa, mwisho wa siku wakaenda na lowasa wakimsafisha huku sitta akionekana alikuwa na chuki binafsi.

Magufuli aliwajua hao ni watu wa maslahi. Sifa za upinzani wa tanzania;
1. Hawana misimamo inayodumu.
2. Ukiwapa nafasi ya kufanya siasa huru ujue umewapa mbegu ya uharibifu wako hata JK anajua.
3. Ni wapinzani wa majira, kwamba huwa wapinzani wakikosa fursa za ulaji na upigaji.
4. Wengi wamegeuza vyama vyao vya siasa kama vitega uchumi vyao ndio maana vina turn over kubwa ya maafisa waandamizi wa vyama vyao maana huwa wanapishana linapokuja suala la ulaji.

Acha kuongea uongo. CCM iliyoiba matrilioni kwa ufisadi miaka yote sitini ya Uhuru leo utasemaje kuwa upinzani usiodai Kodi Wala kuwa kwenye serikali ni wezi?. Acha uongo.

Wezi na mafisadi ni CCM.
 
Bora kuwa huru,
Uhuru una thamani ya juu kuliko chochote ndio maana tuliwaondoa wakoloni.
Uhuru usingekuwa na maana mpaka leo serikali ya makaburu ingekuwa madarakani, maana wamefanya maendeleo makubwa hadi kuzishinda nchi nyingi tu za ulaya.

Kwa nini wameondolewa? Na utawala wa weusi ni kama umeshindwa consistency ya kile wameachiwa na makaburu lakini bado haohao ndio wataendelea kushika dola kwa njia ya kura.
 
Ni kweli pona pona ya Rais Samia ni ugomvi wa wafuasi wa Chadema na sukuma gang. Siku sukuma gang na chadema wakiuangana ndio mwisho wa CCM.
Chadema kamwe haiwezi kuungana na wauwaji, labda muwaoneshe Ben saanane yuko wapi.
 
Supporter wa chadema Ila anaahidi kumpigia kura mgombea wa CCM[emoji23][emoji23][emoji23], inashangaza kwa huyu supporter.

Hakuna supporter wa hivi, Ila ni hajiamini tu.

Anajiita supporter wa Chadema halafu anasema Hana chama, huwa anampigia mtu kura na sio chama.
 
On aibu, CCM inaongoza miaka yote na ufisadi juu. Matrilioni ya hela yameibiwa miaka yote sitini ya Uhuru, umebaki kulaumu upinzani ambao haudai kodi Wala kukusanya Kodi.
Two wrongs don't make a right. Tanzania hakuna upinzani wa kweli, ni kikundi cha wahuni na wapigaji kwa kisingizio cha upinzani.

Wana chama chao Umoja Party ambacho kitaingia coaliation na Chadema 2025.
MATAGA na Sukuma Gang ni Wanasisiem na hawawezi kuondoka sisiem.
 
Two wrongs don't make a right. Tanzania hakuna upinzani wa kweli, ni kikundi cha wahuni na wapigaji kwa kisingizio cha upinzani.


MATAGA na Sukuma Gang ni Wanasisiem na hawawezi kuondoka sisiem.
Basi wamuunge mkono Samia, mtu wao keshakufa hata Gwajima hawezi kumfufua
 
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Unyama gani wakati ben sanane na tundu lisu kupigwa shaba ni kesi za mbowe na makomando wake ......najua mtapinga ila huo ndiyo ukweli kamili
 
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Wewe chadema ilisha kufa na ccm ilishakufa sikuizi watz tunataka wazalendo siyo wanasiasa samia hata akiungana na wapinzani wote ni bure nguvu ya wapenda uzalendo ni kubwa kuliko vyama vya siasa kwa sasa ,
 
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Pia ukumbuke asilimia 90% ya wanachama na wafuasi wa chadema ni team sukuma gang tatizo amjui sukuma gang ni nini ,sukuma gang ni nyoyo siyo vyama vya siasa ni kama uzalendo ni nyoyo siyo chama
 
Supporter's wengi wa Chadema tunamuunga mama mkono na miguu, hatuwezi kuungana na genge la wauwaji.
Chadema imekufa kifo cha kibudu niamini mimi ninacho kuambia.
 
Back
Top Bottom