Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Point !
 
Kizmkazi kashapata fursa Brazil kaona isiwe tabu wacha watajizika wenyewe
 
We jamaa uko na shida kubwa sana. Unajua binafsi Naunga mkono yeye kwenda alikoenda maana hii itaamsha uwajibikaji wa wanaobaki. Sio lazima awepo maana Kama kutokea ishatokea hakuna namna ya kufanya isitokee
Relax tu gentleman, na unisamehe sana plz,

wacha tumalizane kwanza na uokozi wa wangwana waliokwama kwenye vifusi,

na bila shaka yoyote tukio hili litakua ni funzo na fursa muhimu zaidi ya mwanzo katika kua makini zaidi katika ujenzi na hasa majengo chipukizi chini ya majengo mazito, makubwa na marefu.

I hope,
Itakapoundwa kamati ya uchunguzi itakuja na mapendekezo muhimu zaidi. Kwasasa ni mapema sana kuhitimisha hili πŸ’
 
HUYU NI MTU WA PWANI. WATU WA PWANI OVYO SANA HAWAJALI KABISA WAO NI BATA TU
 
she is really crazy and soo stupid[emoji34],im sorry to say this.

tumeshuhudia marais wanastopisha ziara za nnje na kurudi haraka nchini kwao kutia moyo na kuwapa faraja wananchi wao, sababu wanamuangalia yeye na serikali yake. but this old woman?? noooo kwake ni bora safari,wananchi mtajua wenyewe[emoji57].

imagine, tena,ni kaliakoo, soko linaloingiza mapato mengi ya nchi, but noooo bora akale raha. hadi uko wanamuona hajielewi.

Samia 2025 no!
 
Kuna haja ya kuwafanyia psychometric tests na analysis hawa wapuuzi kabla ya kuwateua kuwa viongozi , huwezi kuteua jitu lina Iq ya 50 halafu unatarajia jitu kama hilo liwe think-tank ya taifa ,ni upuuzi
Inabidi upewe ulinzi.
 
Magu asingesafiri ninauhakika 200000% yule baba kwanza hakua na ratiba za misele ya nje kwahio hio ratiba isingekuwepo pia
Angesafirije na charge ya berry ilikua ishakataa usiruke zaid ya dakika 45 kwa mwez ficha ujinga wako
 
Sisi raia wa brazil ya buza hatuna shida safari za hangaya πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈπŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈπŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈ
 
Wewe nguvu za kuandika haya umepata wapi. Wacha ujinga mkuu
 
Yaani wasaidizi wake viongozi wakuu na vyombo vyote vya Dola vipo eneo la tukio, havitoshi mpaka na Raisi awepo?
Huoni hii fursa adhimu kuwepo katika huo mkutano wa G20 na inaweza kuwa na manufaa ya muda mrefu kama tutaitumia vizuri?

Huoni hata Zelensky Huwa anakwenda fasta akialikwa licha ya kwamba Nchi yake Iko vitani?
 
Personal attacks hizo acha ushamba wewe!! Unajuaje kama anadaiwa au ana jamaa zake wamenaswa chini ya kifusi kiufupi mfariji mkuu ilibidi abaki badala ya kwenda Copacabana β›± kula raha
Anyway Kufa ni kufa tulimuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…