Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lingusenguse hakuna maji Safi na salamaKila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.
Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.
Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.
Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Kila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.
Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.
Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.
Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Umeandika kweli tupuKila nikifungua kituo chochote cha TV ni huduma za maji tu. Nikafikiri labda ni hivi vituo vilivyozoeleka ambavyo haters huvihusisha na CCM wakati mwingine lakini kumbe sivyo kwani hata nilipofungulia kituo cha CHADEMA TV nao nikakuta wanarusha habari ya uzinduzi wa mradi wa maji yaani wameshindwa kujizuia.
Ni dhahiri mama huyu, katika makubwa anayoyafanya ya kiafya, elimu, barabara nk, maji ameyapa sana kipaumbele.
Maji ni uhai, maji ni baraka, maji ni utu ndo maana hata uumbaji wa viumbe una mchango mkubwa wa maji. Maji ni ulinzi na usalama ndo maana hata wachawi huyaogopa maji.
Mama ameamua kuzifuata baraka za kweli, baraka za watanzania halisi, baraka hizi zinaweza kukausha mate ya wenye chuki na wivu na fitna na hatimaye wasiweze tena kunena chuki zao zilizojaa uwongo na hadaa.
Au siyo? Endelea kiteseka 😂
Tabu Iko pale paleRubbish
Kazi ya Samia imetukuka,hao wengine waliopita hakuna Cha maana walifanya kufikisha maji Kila sehemu
Mimi sijui ila nachojua tabu Iko pale palechawa nasikia malipo yenu yamepanda kidogo kutoka elfu 7 mpk 10 si haba lakini
DP world wameweka mzigo wa kutosha kwenye chama lazima posho zenu zipande kidogoMimi sijui ila nachojua tabu Iko pale pale
Uchawa unakusumbuaWacha porojo Samia analeta ukombozi ambao haukuwahi tokea hapo kabla
Toa upuuzi wako hapa,Kwa hiyo hicho kinachooneshwa sio maji ni mkojo au?Mm sio chadema na siwezi kuwa chadema ila kwenye ukweli sema ukweli maji yapi hayo unayosema labda tuanzia hapa maana kama ni maji haya ya kunywa na matumizi bado kuna sehemu wanatumia maji wanayokunywa wanyama. Siongelei ushabiki yapo maeneo kibao hakuna huduma za maji na hawatarajii kupata leo au kesho hayo maji ya samia labda yale tunayojua yanatoka kwa kila mwanamke
Sio lazima Kila Kijiji Kila mtaa kuwe na maji.Msakuzi tu huku maji hawana
Ova
Wewe ulitakaje?Kwanza aibu mpaka karne hii mnazungumzia maji,sijui kujenga vyoo vya mashule...nk
Ova
Hizi shida hazitakiwi mwananchi kusikia wala kuonaWewe ulitakaje?