Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,157
Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Duh! Hii inaitwa pasua kichwa!Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Mbaya zaidi kiongozi wa serikali ni mmoja tu, wa ccm ndio wametawala hii ni ziara ya kichama na sio kiserikali... Mama ameweka mbele maslahi ya chama chake kuliko serikali! Nilitegemea kama kuongozana na watu angeongozana na watalaam na baadhi ya wafanyabishara ila leo nimejua mama ni empty kabisa
Sio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.
Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.
Neno lukuku ni kama ulitaka kuzungumzia ile tozo ya luku!Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Mbona wachache Sana hebu ongeza na wake zao watoto michepuko na walinzi achilia mbali watu wa usafi , kuandaa malazi, watu wa afya, protocol,food testers na nk
Huyu wanachadema wenzagu anatufuta machozi baada ya JPM kuwa hasafiri anafungua nchi ilikuwa kisiwa
USSR
Ndio maana ninasema ukiondoa mapungufu ya kibinadamu,kwenye mambo mengi MAGUFULI alikuwa sahihiKichekesho ni jana kasema timu ya olimpiki ilikuwa na viongozi wengi kuliko wanamichezo, lakini yeye leo yuko kwenye safari ya kiserikali na wanaccm ni wengi kuliko viongozi wa serikali? Hapo wazungu wanaachaje kuendelea kutuita manyani kwa mfano?
Tena tozo ziongezeke ili tunyooke!Kuna shida gani! Na mna lipa tozo???
Ndio maana ninasema ukiondoa mapungufu ya kibinadamu,kwenye mambo mengi MAGUFULI alikuwa sahihi
Ndio maana nasema dhalimu aliyekuwa na kila uovu ameondoka. Furahini na kushangilia kwamaana aliyepo ni mtetezi wenuDhalimu hakutaka kusafiri kwenda nje ya maana kiingereza kilikuwa kinamsumbua. lakini safari zake za hapa nchini yalikuwa ni matumizi ya hovyo ya pesa za wananchi. Usidhani hatuna uwezo wa kutofautisha matumizi sahihi ya pesa za umma.