wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,143
Mungu wangu🙆♂️🙆♂️Kuna muda unaombea hata hiyo ndege ianguke tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wangu🙆♂️🙆♂️Kuna muda unaombea hata hiyo ndege ianguke tu
Halafu hata sio viongozi wa serikali ni maccm tuuOna huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Nitajie kiongozi mwanamke aliyewahi kufanya makubwa ktk Dunia hii.
Lakini tozo hazikuwepoDhalimu hakutaka kusafiri kwenda nje ya maana kiingereza kilikuwa kinamsumbua. lakini safari zake za hapa nchini yalikuwa ni matumizi ya hovyo ya pesa za wananchi. Usidhani hatuna uwezo wa kutofautisha matumizi sahihi ya pesa za umma.
Kaa kwa kutulia tena ww usilie kabisa ulimponda sana Magu
Usimjibu kilaza huyo kwao wote wanawake walioko ni Kama kina wema sepwtu,shishi,zuchu,tunda ,gigymoney et al so wategemea nini?😂😂😂Angela Markel, Hellen wa Liberia n.k
Actually wapo wengi sema mifumo dume ndio inayowakwamisha!
Kwenye Sherehe ya kuapishwa Kiongozi wafanyibiashara wa nini mkuu? Au unafikiri kule Kutakuwa na kikao?Mbaya zaidi kiongozi wa serikali ni mmoja tu, wa ccm ndio wametawala hii ni ziara ya kichama na sio kiserikali... Mama ameweka mbele maslahi ya chama chake kuliko serikali! Nilitegemea kama kuongozana na watu angeongozana na watalaam na baadhi ya wafanyabishara ila leo nimejua mama ni empty kabisa
Mwenda zake kwa elimu ya kukariri na kutojiamini akatuletea haya😂Kwani Magu asingemteua kuwa makamu angekuwa Rais?
Tafakari kwa kina!
Mbona mlivokua mnabebwa wasukuma mlikua hakuongei. Shut up!Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Waitara anakweda Zambia kufanya nn?😂😂😂Nashindwa kuelewa Watanzania tumepatwa na ugonjwa gani
Ni ama tunakurupuka Kuzungumza au huwa hatupendi kuyaangalia mambo ktk uhalisia wake.
Ukihesabu hao Watu wanaosemwa ni wengi hapo ni Watu 8 tu.Yani ni kweli tunaamini viongozi nane kuongozana na Rais ni wengi?Nani anategemea Rais asafiri peke yake na mpambe?
Tuache umbumbumbu, tuyaangalie mambo Kwa uhalisia
Unaweza kuta yeye mwenyewe ndio anajishauri, hakika tumepatikana anatukamua tozo za kwenda kula maisha na anaowapenda“Anashauriwa” vibaya 🤣.
Ndio maana nasema dhalimu aliyekuwa na kila uovu ameondoka. Furahini na kushangilia kwamaana aliyepo ni mtetezi wenu
Matumizi ya tozo ndio yameanzaRais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za Watanzania.
View attachment 1905055
Haya mambo yanakera walipa kodiOna huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Mikopo ya dhalimu ndio sababu ya hizi tozo.